Sasa hao vijana wakiachiwa wagombee wakishinda,CCM itakubali matokeo?Namhurumia Mh. Seif, maana anawazibia vijana nafasi, yeye wakati wake ulishapita aachane na mambo ya kugombea abaki mshauri tu.
Sasa hao vijana wakiachiwa wagombee wakishinda,CCM itakubali matokeo?Namhurumia Mh. Seif, maana anawazibia vijana nafasi, yeye wakati wake ulishapita aachane na mambo ya kugombea abaki mshauri tu.
Hajwahi kushindwa tangu mwaka 1995! Sema ataporwa ushindi kwa mabavu.Maalim atashindwa vibaya sana na itakuwa mwisho wake wa Kisiasa!
Semeni tu,chama hakina mgombea mwingine basi,yani anazidiwa akili na dogo mzitomtakapo acha kumwibia kura zake ataachaa kugombea
Siyo kukubali, Seif hajawahi kupata kura nyingi, siku zote anaangukia pua!Sasa hao vijana wakiachiwa wagombee wakishinda,CCM itakubali matokeo?
Hajwahi kushindwa tangu mwaka 1995! Sema ataporwa ushindi kwa mabavu.
Teh Teh! Kama anaangukia pua,mbona Uchaguzi unarudiwa?Siyo kukubali, Seif hajawahi kupata kura nyingi, siku zote anaangukia pua!
Tulia sindano ikuingie vizuri.Atagombea hadi apoteze uwezo wa kutembea hatakuwa Rais wa Zanzibar yeye na wanaofanana nao mawazo
Ndiomana anaitwa Sultan SeifNi wakati sasa wa kuandaa vijana wengine toka 1995 jina ni lile lile
Wa Malawi amewahi kugombea mara ngapi?unafananisha vitu viwili tofauti, huyu wa wa Malawi chama chake ndio kilikuwa CCM ya Malawi,maalimu anajidanganya anadhani ni yeye na si chama ndio kinaweza kuleta ushindi.Maalim ataiona tu ikulu na kamwe hatakuwa raisi wa Zanzibar.Atawapigia magoti akina Mwinyi /Mbarawa ambao mmoja wapo ndie atakuwa raisi wa ZenjYa Malawi umeyasikia lakini?
Ndivyo wazanzibar wanavyosema
Wapinzani wa kiafrika bhana kila mwaka ni wanagombea wale wale tu , lipumba , maalim , Laila odinga, agaton n.k miaka yote wao tu.
Madikiteta sana.
Zitto hii nafasi ilikuwa ya Jusa na Zanzibar mngesimama vizuri mngechukua. Lakini kwa huyu Mkongwe hakuna anaewaunga mkono hamjaja na jipya
Haiwezekani ugombee mara nne umashindwa bado unakomaa tu.
Tatzo hujui mi ni naniMambo usiyoyafahamu ulikua uyakalie kimya tu
Tatzo hujui mi ni nani
Najua upo ACT ila so sadest mchezo huwa wanaujua mashabiki mnapoteza bila sababu ya msingi tutaonana hapa Novemberhata mimi hunijui nani mkuu
Sasa mkuu wewe mwana CCM unaumia nini na wapinzani?