Zanzibar 2020 Maalim Seif atangaza kugombea urais Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo

Hii ndio mara yake ya mwanzo mbona kugombea ndani ya ACT. Tokea 1995 hio vipi wakati chama chenyewe kimeanzishwa 2015.
Dah! Umenikumbusha Marehemu Pierre Nkuruzinza na claims zake kuhusu ukomo wa urais nchini Burundi.
 
Naona hofu imewatanda wana CCM, nyinyi tatizo lenu nini hasa? Si chama chenu kinakubalika mbona povu jingi. Maalim Seif ni mwiba kwa siasa za Zanzibar na mara hii sijui mutatumia mbinu gani kupora Uraisi kule Zanzibar. Vijana wamejipanga vizuri ENOUGH IS ENOUGH.
Kwa ubabe wa jeshi la Tanganyika, mgombea wa ccm lazima atangazwe mshindi
 
Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Maalim Seif Hamad ametangaza kugombea Urais Visiwani Zanzibar kupitia chama chake cha ACT-Wazalendo. Atachukua fomu ya kugombea urais Tarehe 4 mwezi Julai.

Amewaomba Wazanzibari kumkubali kama walivyofanya kwa chaguzi zilizopita kwa kuongeza idadi ya wanaompigia kura kila uchaguzi mpya tangu mwaka 1995.

Amesema walifanya tafiti kuona kama wazanzibar kama bado wanamkubali na tafiti hiyo ilionyesha kuwa bado anakubalika ndani ya Zanzibar

Amedai tafiti waliyofanya ilionyesha kuwa, kuna wazanzibari waliahidi kutopiga kura kama asipopewa turufu ya chama kugombea Urais Zanzibar


Tunamuunga mkono wana CDM atuwakilishe kwenye UKAWA Zanzibar.
 
Huyu babu kikongwe atagombea hadi akiwa kaburini,kwa nini asimuachie Hussain Mwinyi damu changa kipenzi cha wazanzibari
Wazanzibar hawawezi kukuelewa ujue! Labda agombee kwa Chama kingine. Kuliko kuipigia kura CCM wako tayari kumpigia kura Maalim hata akiwa kaburini!
Wao wasichotaka kusikia ni CCM na Muungano ambao ni Koti linalowabana.
Maadam Muungano upo haitatokea CCM ishinde uchaguzi wa Zanzibar!
Nadhani sasa hivi Vifaru vya Kijeshi vinaandaliwa tayari kwenda kuthibiti hali baada ya Rais Pandikizi la CCM kutangazwa!!
 
Wapinzani wa kiafrika bhana kila mwaka ni wanagombea wale wale tu , lipumba , maalim , Laila odinga, agaton n.k miaka yote wao tu.

Madikiteta sana.
 
Maalimu akikubali kuporwa tena ushindi kama ilivyotokea chaguz zilizopita , atakuwa mtu wa ajabu sana.
 
Zitto hii nafasi ilikuwa ya Jusa na Zanzibar mngesimama vizuri mngechukua. Lakini kwa huyu Mkongwe hakuna anaewaunga mkono hamjaja na jipya
 
Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Maalim Seif Hamad ametangaza kugombea Urais Visiwani Zanzibar kupitia chama chake cha ACT-Wazalendo. Atachukua fomu ya kugombea urais Tarehe 4 mwezi Julai.

Amewaomba Wazanzibari kumkubali kama walivyofanya kwa chaguzi zilizopita kwa kuongeza idadi ya wanaompigia kura kila uchaguzi mpya tangu mwaka 1995.

Amesema walifanya tafiti kuona kama wazanzibar kama bado wanamkubali na tafiti hiyo ilionyesha kuwa bado anakubalika ndani ya Zanzibar

Amedai tafiti waliyofanya ilionyesha kuwa, kuna wazanzibari waliahidi kutopiga kura kama asipopewa turufu ya chama kugombea Urais Zanzibar


Toka 95 mpaka leo, dah... wamemchoka sana aisee..
 
Atagombea hadi apoteze uwezo wa kutembea hatakuwa Rais wa Zanzibar yeye na wanaofanana nao mawazo
kama mungu akiamua kumpa hakuna wa kuzuia mkuu. Japo afya yake kwa sasa sio nzuri sana maana niliona siku za karibuni walikuwa wana msaidia kutembea kwa kumshika mkono.
Wacha wananchi wa Znz waamie hiyo ndio demokrasia.
 
Amesema atachukua fomu kugombea sasa kuna kosa gani kama Chama wataona hana uwezo wa kukubalika si wako watia nia wengine wataangaliwa?

Amesema Wazanzibari tafiti zaonyesha anakubalika sasa watakaomchagua ni wazanzibari wewe huko Tanganyika unaumia nini?

Usiwe na wasiwasi akipata atakuwa Rais wa Zanzibar na sio wa Tanganyika ni vizuri ku-deal na eneo lako zaidi sio busara kuingilia mawazo ya watu kama wazanzibari wanamkubali mwache atimize matakwa ya hao Wazanzibari.

Mbona Tanganyika muko bizi sana mpaka kubadilisha katiba Bungeni kumuongezea muda Meko aendelee kuwa rais wa maisha? kwanini hujadili hili?
Hii ni simulizi ya vijiwe vya kahawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom