Maajabu ya Tanzania ripoti ya CAG ya matumizi 2020-2021 kujadiliwa 2023-2024

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,606
8,744
Yaani CAG anagundua makosa ya budget ya 2020-2021 halafu anaitoa 2022 lakini wakubwa wanaipeleka mbele katikati ya budget ya 2023-2024. Hivyo matatitizo ambayo yamegunduliwa yanaweza yakawa yanaendelea kwa miaka 2 kabla ya kufanyiwa kazi!. Lakini cha ajabu kama kweli Bunge kazi yake ni kushauri ni kwanini ushauri wa ripoti ya 2020-2021 usubiri mpaka mwisho wa mwaka 2023 kujadiliwa kama mawazo yao yana tija? Bunge linasema mawazo yao hayasikilizwi sasa yatasikilizwaje na serikali wakati ni miaka zaidi ya miwili tokea yatokee! na wakati mwingine serikali inakuwa imeanza kuyatafutia njia ya kuyatatua. Mfano CAG kagundua tatizo la maunuzi ya ndege je serikali kwa muda huu ambao bunge halijadili wala kutoa mawazo watawezaje kufanya maamuzi ambayo hayawezi kusibiri miaka! ukizingatia hii ni tender ya ujenzi? halafu baadae wanalaumu serikali haisikilizi. Kwani kikao cha Bunge kikiisha kuna ubaya gani kuongeza wiki mbili kujadili ripoti badala ya kupeleka mbele miezi 7!!!
 
Yaani CAG anagundua makosa ya budget ya 2020-2021 halafu anaitoa 2022 lakini wakubwa wanaipeleka mbele katikati ya budget ya 2023-2024. Hivyo matatitizo ambayo yamegunduliwa yanaweza yakawa yanaendelea kwa miaka 2 kabla ya kufanyiwa kazi!. Lakini cha ajabu kama kweli Bunge kazi yake ni kushauri ni kwanini ushauri wa ripoti ya 2020-2021 usubiri mpaka mwisho wa mwaka 2023 kujadiliwa kama mawazo yao yana tija? Bunge linasema mawazo yao hayasikilizwi sasa yatasikilizwaje na serikali wakati ni miaka zaidi ya miwili tokea yatokee! na wakati mwingine serikali inakuwa imeanza kuyatafutia njia ya kuyatatua. Mfano CAG kagundua tatizo la maunuzi ya ndege je serikali kwa muda huu ambao bunge halijadili wala kutoa mawazo watawezaje kufanya maamuzi ambayo hayawezi kusibiri miaka! ukizingatia hii ni tender ya ujenzi? halafu baadae wanalaumu serikali haisikilizi. Kwani kikao cha Bunge kikiisha kuna ubaya gani kuongeza wiki mbili kujadili ripoti badala ya kupeleka mbele miezi 7!!!
Mkuu Kamundu, ni wewe na sisi ndio tuta shangaa!!! tena tuta shangaa sana. Hicho sio kipaumbele na hakina madhara.
 
Ambao bado hamjakubali kuwa Tanzania ni channel ya vichekesho mnapata tabu sana.
 
Yaani CAG anagundua makosa ya budget ya 2020-2021 halafu anaitoa 2022 lakini wakubwa wanaipeleka mbele katikati ya budget ya 2023-2024. Hivyo matatitizo ambayo yamegunduliwa yanaweza yakawa yanaendelea kwa miaka 2 kabla ya kufanyiwa kazi!. Lakini cha ajabu kama kweli Bunge kazi yake ni kushauri ni kwanini ushauri wa ripoti ya 2020-2021 usubiri mpaka mwisho wa mwaka 2023 kujadiliwa kama mawazo yao yana tija? Bunge linasema mawazo yao hayasikilizwi sasa yatasikilizwaje na serikali wakati ni miaka zaidi ya miwili tokea yatokee! na wakati mwingine serikali inakuwa imeanza kuyatafutia njia ya kuyatatua. Mfano CAG kagundua tatizo la maunuzi ya ndege je serikali kwa muda huu ambao bunge halijadili wala kutoa mawazo watawezaje kufanya maamuzi ambayo hayawezi kusibiri miaka! ukizingatia hii ni tender ya ujenzi? halafu baadae wanalaumu serikali haisikilizi. Kwani kikao cha Bunge kikiisha kuna ubaya gani kuongeza wiki mbili kujadili ripoti badala ya kupeleka mbele miezi 7!!!
Mkuu hata kuijadili ni funika kombe tu maan hakuna kitachobalika!! Bora waachane na kuijadili maan hakuna jipya watalofanya.. business as usual ✔️
 
Yaani CAG anagundua makosa ya budget ya 2020-2021 halafu anaitoa 2022 lakini wakubwa wanaipeleka mbele katikati ya budget ya 2023-2024. Hivyo matatitizo ambayo yamegunduliwa yanaweza yakawa yanaendelea kwa miaka 2 kabla ya kufanyiwa kazi!. Lakini cha ajabu kama kweli Bunge kazi yake ni kushauri ni kwanini ushauri wa ripoti ya 2020-2021 usubiri mpaka mwisho wa mwaka 2023 kujadiliwa kama mawazo yao yana tija? Bunge linasema mawazo yao hayasikilizwi sasa yatasikilizwaje na serikali wakati ni miaka zaidi ya miwili tokea yatokee! na wakati mwingine serikali inakuwa imeanza kuyatafutia njia ya kuyatatua. Mfano CAG kagundua tatizo la maunuzi ya ndege je serikali kwa muda huu ambao bunge halijadili wala kutoa mawazo watawezaje kufanya maamuzi ambayo hayawezi kusibiri miaka! ukizingatia hii ni tender ya ujenzi? halafu baadae wanalaumu serikali haisikilizi. Kwani kikao cha Bunge kikiisha kuna ubaya gani kuongeza wiki mbili kujadili ripoti badala ya kupeleka mbele miezi 7!!!
Usiirudishe nyuma. Hii ni ripoti ya 2021- 2022.

Ile ya 2020-2021 ilishajadiliwa na tukaambiwa JPM alinajisi nchi na watu kadhaa waliondolewa ikiwemo bandari.
 
Usiirudishe nyuma. Hii ni ripoti ya 2021- 2022.

Ile ya 2020-2021 ilishajadiliwa na tukaambiwa JPM alinajisi nchi na watu kadhaa waliondolewa ikiwemo bandari.
😂😂😂 Ni ya 2020/21

Wameamua kumjadili tena Shujaa Magufuli

Nchi ngumu sana hii bwashee!
 
Yaani CAG anagundua makosa ya budget ya 2020-2021 halafu anaitoa 2022 lakini wakubwa wanaipeleka mbele katikati ya budget ya 2023-2024. Hivyo matatitizo ambayo yamegunduliwa yanaweza yakawa yanaendelea kwa miaka 2 kabla ya kufanyiwa kazi!. Lakini cha ajabu kama kweli Bunge kazi yake ni kushauri ni kwanini ushauri wa ripoti ya 2020-2021 usubiri mpaka mwisho wa mwaka 2023 kujadiliwa kama mawazo yao yana tija? Bunge linasema mawazo yao hayasikilizwi sasa yatasikilizwaje na serikali wakati ni miaka zaidi ya miwili tokea yatokee! na wakati mwingine serikali inakuwa imeanza kuyatafutia njia ya kuyatatua. Mfano CAG kagundua tatizo la maunuzi ya ndege je serikali kwa muda huu ambao bunge halijadili wala kutoa mawazo watawezaje kufanya maamuzi ambayo hayawezi kusibiri miaka! ukizingatia hii ni tender ya ujenzi? halafu baadae wanalaumu serikali haisikilizi. Kwani kikao cha Bunge kikiisha kuna ubaya gani kuongeza wiki mbili kujadili ripoti badala ya kupeleka mbele miezi 7!!!
Akili zetu zinarudi tartiib
 
Mkuu,

UJINGA, MARADHI NA UMASIKINI ndio matatizo makuu ya hii Nchi.

"Nani atamfunga Paka kengele?" Hili ni swali ambalo hata Rais wa Nchi hajui jibu lake.

Mwizi analalamika, Mwenye mali analalamika, Msimamizi mkuu wa mali analalamika, Mlinzi wa mali analalamika.

Blame Society.
 
Yaani CAG anagundua makosa ya budget ya 2020-2021 halafu anaitoa 2022 lakini wakubwa wanaipeleka mbele katikati ya budget ya 2023-2024. Hivyo matatitizo ambayo yamegunduliwa yanaweza yakawa yanaendelea kwa miaka 2 kabla ya kufanyiwa kazi!. Lakini cha ajabu kama kweli Bunge kazi yake ni kushauri ni kwanini ushauri wa ripoti ya 2020-2021 usubiri mpaka mwisho wa mwaka 2023 kujadiliwa kama mawazo yao yana tija? Bunge linasema mawazo yao hayasikilizwi sasa yatasikilizwaje na serikali wakati ni miaka zaidi ya miwili tokea yatokee! na wakati mwingine serikali inakuwa imeanza kuyatafutia njia ya kuyatatua. Mfano CAG kagundua tatizo la maunuzi ya ndege je serikali kwa muda huu ambao bunge halijadili wala kutoa mawazo watawezaje kufanya maamuzi ambayo hayawezi kusibiri miaka! ukizingatia hii ni tender ya ujenzi? halafu baadae wanalaumu serikali haisikilizi. Kwani kikao cha Bunge kikiisha kuna ubaya gani kuongeza wiki mbili kujadili ripoti badala ya kupeleka mbele miezi 7!!!
Narudia tena, wajibu na madaraka ya CAG siyo kukagua tu bali kudhibiti matumizi. Asitwishe mzigo wake kwa Bunge. Makosa anayoyaona katika shughuli zake za kila siku za udhibiti na wakati wa ukaguzi ayafikishe kwenye vyombo husika wayashughulikie.

Bunge wajibu wake ni kutunga sheria km kama makosa yaliyoonekana na CAG yanatokana sababu za udhaifu wa sheria zilizopo. Pia Bunge ni kuisimamia Serikali kutimiza wajibu wake km utekelezaji wa mapendekezo ya CAG ya Udhibiti na Ukaguzi.
 
Usiirudishe nyuma. Hii ni ripoti ya 2021- 2022.

Ile ya 2020-2021 ilishajadiliwa na tukaambiwa JPM alinajisi nchi na watu kadhaa waliondolewa ikiwemo bandari.


Hata kama ni muda huu wakianza kujadili mwezi wa kumi na moja na kutoa mapendekezo mwezi wa kumi na mbili maana yake serikali itaanza kufanyia kazi mapendekezo yao 2024! je kuna ubishi hapo?
 
Yaani CAG anagundua makosa ya budget ya 2020-2021 halafu anaitoa 2022 lakini wakubwa wanaipeleka mbele katikati ya budget ya 2023-2024. Hivyo matatitizo ambayo yamegunduliwa yanaweza yakawa yanaendelea kwa miaka 2 kabla ya kufanyiwa kazi!. Lakini cha ajabu kama kweli Bunge kazi yake ni kushauri ni kwanini ushauri wa ripoti ya 2020-2021 usubiri mpaka mwisho wa mwaka 2023 kujadiliwa kama mawazo yao yana tija? Bunge linasema mawazo yao hayasikilizwi sasa yatasikilizwaje na serikali wakati ni miaka zaidi ya miwili tokea yatokee! na wakati mwingine serikali inakuwa imeanza kuyatafutia njia ya kuyatatua. Mfano CAG kagundua tatizo la maunuzi ya ndege je serikali kwa muda huu ambao bunge halijadili wala kutoa mawazo watawezaje kufanya maamuzi ambayo hayawezi kusibiri miaka! ukizingatia hii ni tender ya ujenzi? halafu baadae wanalaumu serikali haisikilizi. Kwani kikao cha Bunge kikiisha kuna ubaya gani kuongeza wiki mbili kujadili ripoti badala ya kupeleka mbele miezi 7!!!
Mkuu hayo ni madhara hasi ya mbio za mwenge wa uhuru. Waganga wa kienyej walitoa "spell" ili pale ukiwekwa katika kilele cha mlima Kilimanjaro, uangaze nje ya mipaka ya Tanzania, kwa maana ya siri giza litamalaki ndani ya akili za Watanzania.

Hii " spell" ni lazima itenguliwe kwa mamlaka ya mbingu. Tena pasipo kupindisha maneno, itenguliwe kwa jina lipitalo majina yote yale, mbinguni na duniani, Jina kuu la BWANA YESU KRISTO. Amen.
 
Back
Top Bottom