TUMBOO
JF-Expert Member
- Jun 27, 2014
- 3,827
- 2,013
Ila huko kihomboi ni kiboko ya yote maana kuna rafik angu alikua anafundisha new kihomboi sec ilibidi serikal iingilie kati ahamishwe nasikia hadi walimu wakiume ....wana mambo ya ajabu ule mji ni mdogo ivyo kuna majungu na mashindano plus wivu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app