Maajabu ya shule ya Msingi Kiomboi Bomani

Weka picha kama si uongo
Mkuu wao huyo
IMG-20200319-WA0001.jpg
 
Yanashukuru kwa taarifa Mwalim wa Kiomboi
Halo JF.

Waswahili walisema tembea uone. Katika tembea na pita zangu mkoani Singida hususan wilaya Iramba, natua KIOMBOI mjini yalipo makao makuu ya wilaya.

Nakutana na maajabu ya shule ya Msingi Kiomboi Bomani. Katika shule hii kuna walimu wengi na walio wengi zaidi ni wanawake. Penye wanawake au wabeijing kuna vitimbi na mikasa ya aina yake.

Walimu hawa kutokana na mashindano ya kuvaa, wamelazimishwa kuvaa sare zinazofanana. Uamuzi huu umefanywa na uongozi wa halmashauri ya wilaya ili kupunguza tambo na majungu miongoni mwa wanawake hawa. Lengo ni ili wote walingane.

Sasa nikaona haya pia ni maajabu, japo pia bado wanashindana katika kubadilisha mashati meupe. Leo mtu atava mtumba, kesho la dukani nk. Nikasema kweli binadamu humuwezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mwalimu aliacha ualimu baada ya kusomea accounts alikuwa ansema walimu ni kama watoto wadogo, akili zao huwa hazikui. Sidhani kama ni kweli lakini, hayo yalikuwa maoni yake juu ya walimu wenzake.

alikuwa sawa kabisa, ukimkuta mwalimu mwenye kujitambua anakuwa tofauti na wenzie hata kimaisha kwa mfano amejenga au amepanga nyumba nzuri na ana vimiradi vyake angalau hata kubanda cha kuuza nyanya anapata vijipesa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani kubadilisha nguo ni kosa? Au nguo hazina maadili? Out of story

Mliobahatika kuishi singida hebu tuelezeni Hali ilivyo maana kuna anco yangu kazamia huku 10 years hajawahi rudi home

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HATA ARUSHA KUNA SHULE WALIMU WAKE WANAVAA UNIFORM KILA SIKU KUNA UNIFORM YAKE KWA KWAKO WEWE NDIO MAAJABU KWA SISI WENGINE NI KITU CHA KAWAIDA
Hata mimi shule ya msingi niliyo soma walimu wa kike walikuwa wanavaa uniform, walimu wakiume walikuwa wawili tu walikuwa wanavaa wanavyo taka
 
Halo JF.

Waswahili walisema tembea uone. Katika tembea na pita zangu mkoani Singida hususan wilaya Iramba, natua KIOMBOI mjini yalipo makao makuu ya wilaya.

Nakutana na maajabu ya shule ya Msingi Kiomboi Bomani. Katika shule hii kuna walimu wengi na walio wengi zaidi ni wanawake. Penye wanawake au wabeijing kuna vitimbi na mikasa ya aina yake.

Walimu hawa kutokana na mashindano ya kuvaa, wamelazimishwa kuvaa sare zinazofanana. Uamuzi huu umefanywa na uongozi wa halmashauri ya wilaya ili kupunguza tambo na majungu miongoni mwa wanawake hawa. Lengo ni ili wote walingane.

Sasa nikaona haya pia ni maajabu, japo pia bado wanashindana katika kubadilisha mashati meupe. Leo mtu atavaa mtumba, kesho la dukani nk. Nikasema kweli binadamu humuwezi.
Tupia kapicha na namba ya mwl mmoja aliyependeza sana.
 
Back
Top Bottom