Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 3,884
- 3,805
Mkuu wao huyoWeka picha kama si uongo
Mkuu wao huyoWeka picha kama si uongo
WalaMkuu wao huyoView attachment 1406326
Halo JF.
Waswahili walisema tembea uone. Katika tembea na pita zangu mkoani Singida hususan wilaya Iramba, natua KIOMBOI mjini yalipo makao makuu ya wilaya.
Nakutana na maajabu ya shule ya Msingi Kiomboi Bomani. Katika shule hii kuna walimu wengi na walio wengi zaidi ni wanawake. Penye wanawake au wabeijing kuna vitimbi na mikasa ya aina yake.
Walimu hawa kutokana na mashindano ya kuvaa, wamelazimishwa kuvaa sare zinazofanana. Uamuzi huu umefanywa na uongozi wa halmashauri ya wilaya ili kupunguza tambo na majungu miongoni mwa wanawake hawa. Lengo ni ili wote walingane.
Sasa nikaona haya pia ni maajabu, japo pia bado wanashindana katika kubadilisha mashati meupe. Leo mtu atava mtumba, kesho la dukani nk. Nikasema kweli binadamu humuwezi.
😀😀😀Mkuu wao huyoView attachment 1406326
Sijui kwanini walimu wanavibweka Sana, au sbb wanakaa na watoto tuu.
Kuna mwalimu aliacha ualimu baada ya kusomea accounts alikuwa ansema walimu ni kama watoto wadogo, akili zao huwa hazikui. Sidhani kama ni kweli lakini, hayo yalikuwa maoni yake juu ya walimu wenzake.
Hao wanabadili hadi kero ndiyo maana wakaanzishiwa sarewalimu wengi akili zao hazipo sawa, unakuta anamtisha mtoto “leo utajua mimi nani” mara “leo utajuta kunifahamu”. na pia wengi huwa hawabadili nguo na nguo zao ni mitumba tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Saivi naona kila mwalimu ana duka la rejareja au M pesa. Wanajitahidi walau.alikuwa sawa kabisa, ukimkuta mwalimu mwenye kujitambua anakuwa tofauti na wenzie hata kimaisha kwa mfano amejenga au amepanga nyumba nzuri na ana vimiradi vyake angalau hata kubanda cha kuuza nyanya anapata vijipesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi shule ya msingi niliyo soma walimu wa kike walikuwa wanavaa uniform, walimu wakiume walikuwa wawili tu walikuwa wanavaa wanavyo takaHATA ARUSHA KUNA SHULE WALIMU WAKE WANAVAA UNIFORM KILA SIKU KUNA UNIFORM YAKE KWA KWAKO WEWE NDIO MAAJABU KWA SISI WENGINE NI KITU CHA KAWAIDA
Mimi pia nilikuunga mkono boss..nilishauri hapa jana kuwa hawa walimu wanawake waanze kuajiriwa kuanzia umri wa miaka 35, mkaniponda na kuukaushia uzi wangu mpaka sielewi hata ulikopotelea. endeleeni kushuhudia nyie wenyewe!!!
Tupia kapicha na namba ya mwl mmoja aliyependeza sana.Halo JF.
Waswahili walisema tembea uone. Katika tembea na pita zangu mkoani Singida hususan wilaya Iramba, natua KIOMBOI mjini yalipo makao makuu ya wilaya.
Nakutana na maajabu ya shule ya Msingi Kiomboi Bomani. Katika shule hii kuna walimu wengi na walio wengi zaidi ni wanawake. Penye wanawake au wabeijing kuna vitimbi na mikasa ya aina yake.
Walimu hawa kutokana na mashindano ya kuvaa, wamelazimishwa kuvaa sare zinazofanana. Uamuzi huu umefanywa na uongozi wa halmashauri ya wilaya ili kupunguza tambo na majungu miongoni mwa wanawake hawa. Lengo ni ili wote walingane.
Sasa nikaona haya pia ni maajabu, japo pia bado wanashindana katika kubadilisha mashati meupe. Leo mtu atavaa mtumba, kesho la dukani nk. Nikasema kweli binadamu humuwezi.
ha haaaaa....kamusi ya singidani.Ungeweka picha tungechagua michepuko. Si unajua kamusi ya Singida haina neno noo
aaaaahhhhhaaaaaaahhJuhudi Za Awamu Hii Ya Tano