Marco Seth
JF-Expert Member
- Oct 21, 2022
- 5,288
- 6,758
Yani ni mazoea tuHata sasa huwa nashangaa,
Uadui na paka kipindi kile ulitokana na Nini😄
Unakuta wengn wamezaliwa wanakuta hiyo hal ipo na kuona raha kuyapiga
Au ile usiku mtu akiona paka kwenye corner au fensi
Unaskia Ushindwe toka pepo 🐈⬛ alf lipaka jeusi macho yanang’aa mtu
Anamrushia mawe alf ss kama nyau ni jasiri anarushiwa jiwe hakimbii (ogopa huyo nyau) anakukimbilia wewe mbona utakimbia tu😅