Salaam!
Tukiwa wadogo, tulipenda sana kuwinda mapaka shume na kuyashambulia kwa mawe, sababu ya kuyawinda, yalizidi wizi wamboga majumbani na uharibifu uliokithiri.
Yaani sie tulipoona mapaka tu jalalani, tulivizia, tukakusanya mawe yetu na kuanza kuyashambulia kwa ghafula, furaha yetu ilikuwa ni kuona mtaa wetu haui makao ya mapaka shume.
Sasa siku ya siku ikafika, tukiwa Katika harakati zetu za kuwinda mapaka shume, tukaliona paka shume moja jalalani, kama kawaida yetu Kila mmoja akakusanya mawe yake na kuchukua position yake kwa Siri kulizunguka jalala tayari kwa mashambulizi.
Tulipopeana ishara ya kushambulia, Kila mmoja akarusha jiwe kumuelekea paka, jiwe moja litatua kichwani mwa paka shume, jiwe hillo lilirushwa na rafiki YANGU mmoja alikuwa left handed,
Paka alipopigwa jiwe lile, aliruka juu na kurudi chini, sasa kwa kawaida yetu, tungejiandaa kurusha mawe awamu ya pili na tatu, jambo moja la ajabu lilitufanya tusite kidogo kuendelea kumshambulia paka shume.
Alianza kutoa milio ya ajabu, akaanza kujirarua mwenyewe ngozi yake na kujitoboa Hadi macho kwa makucha yake, anaruka juu na kujivuringisha kwa hasira muda wote alijikita Katika kujidhuru mwenyewe mwili wake, alikimbilia mahali na kujiviringa kwenye kamba na akafanikiwa kujitia kitanzi na kuning'inia,aliendelea kujidhuru bila kukoma!
Mara ararue uso wake, damu ikichuruzika, anageuka na kuanza kuula mkia wake mwenyewe, haaaa! Ilikuwa mbaya sana kuangalia.
Sie kuona hayo, tukaona mambo yamekorogeka, tukakimbilia mbali na mazingira Yale na kukaa na kuendelea kutizama tukio lile ambalo tulianza kumhurumia Tena paka yule.
Sasa kuna tabia Fulani zimeanza kuonyesha na chama Fulani ambazo naona zinafanana na kuchanganyikiwa kwa paka yule, tabia hizi zinaanza kutufanya kuacha kukishambulia na badala yake tunaanza kukihurumia.
Nawasilisha 🙏
Tukiwa wadogo, tulipenda sana kuwinda mapaka shume na kuyashambulia kwa mawe, sababu ya kuyawinda, yalizidi wizi wamboga majumbani na uharibifu uliokithiri.
Yaani sie tulipoona mapaka tu jalalani, tulivizia, tukakusanya mawe yetu na kuanza kuyashambulia kwa ghafula, furaha yetu ilikuwa ni kuona mtaa wetu haui makao ya mapaka shume.
Sasa siku ya siku ikafika, tukiwa Katika harakati zetu za kuwinda mapaka shume, tukaliona paka shume moja jalalani, kama kawaida yetu Kila mmoja akakusanya mawe yake na kuchukua position yake kwa Siri kulizunguka jalala tayari kwa mashambulizi.
Tulipopeana ishara ya kushambulia, Kila mmoja akarusha jiwe kumuelekea paka, jiwe moja litatua kichwani mwa paka shume, jiwe hillo lilirushwa na rafiki YANGU mmoja alikuwa left handed,
Paka alipopigwa jiwe lile, aliruka juu na kurudi chini, sasa kwa kawaida yetu, tungejiandaa kurusha mawe awamu ya pili na tatu, jambo moja la ajabu lilitufanya tusite kidogo kuendelea kumshambulia paka shume.
Alianza kutoa milio ya ajabu, akaanza kujirarua mwenyewe ngozi yake na kujitoboa Hadi macho kwa makucha yake, anaruka juu na kujivuringisha kwa hasira muda wote alijikita Katika kujidhuru mwenyewe mwili wake, alikimbilia mahali na kujiviringa kwenye kamba na akafanikiwa kujitia kitanzi na kuning'inia,aliendelea kujidhuru bila kukoma!
Mara ararue uso wake, damu ikichuruzika, anageuka na kuanza kuula mkia wake mwenyewe, haaaa! Ilikuwa mbaya sana kuangalia.
Sie kuona hayo, tukaona mambo yamekorogeka, tukakimbilia mbali na mazingira Yale na kukaa na kuendelea kutizama tukio lile ambalo tulianza kumhurumia Tena paka yule.
Sasa kuna tabia Fulani zimeanza kuonyesha na chama Fulani ambazo naona zinafanana na kuchanganyikiwa kwa paka yule, tabia hizi zinaanza kutufanya kuacha kukishambulia na badala yake tunaanza kukihurumia.
Nawasilisha 🙏