Wazolee
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 4,035
- 4,730
Quran ni kitabu chenye muongozo na mafundisho ya dini ya kiislam ni ufunuo kutoka Kwa Mungu muumba Mbingu na aridhi kupitia Kwa mtume wake Muhammad (s,a,w)
Kadiri binaadamu wanavyopata ufuhamu wa kugundua mambo mbali mbali wanaikuta Quran ipo mbele Yao Kwa hatua nyingi sana
1) Mwaname na mwanamke ndani ya Quran wametajwa mara 23 na binaadamu ameumbwa Kwa chromosomes 23
2) Neno Day / siku ndani ya Quran limetajwa mara 365
Na idadi ya siku Kwa mwaka mmoja ni siku 365
3) Neno month/ mwezi ndani ya Quran limetajwa mara 12
Na idadi ya miezi Kwa mwaka mmoja ni miezi 12
4) Neno nchi kavu / Landi limetajwa mara 23 na neno Sea limetajwa mara 32
Ukitafuta asilimia hapo nchi kavu ni 29% na sea ni 71%
5) Universal expansion
Ulimwengu unatanuka sayansi imelithibisha hili tayari
Hiyo ndio Quran Kila kitu kipo very systemic
Kadiri binaadamu wanavyopata ufuhamu wa kugundua mambo mbali mbali wanaikuta Quran ipo mbele Yao Kwa hatua nyingi sana
1) Mwaname na mwanamke ndani ya Quran wametajwa mara 23 na binaadamu ameumbwa Kwa chromosomes 23
2) Neno Day / siku ndani ya Quran limetajwa mara 365
Na idadi ya siku Kwa mwaka mmoja ni siku 365
3) Neno month/ mwezi ndani ya Quran limetajwa mara 12
Na idadi ya miezi Kwa mwaka mmoja ni miezi 12
4) Neno nchi kavu / Landi limetajwa mara 23 na neno Sea limetajwa mara 32
Ukitafuta asilimia hapo nchi kavu ni 29% na sea ni 71%
5) Universal expansion
Ulimwengu unatanuka sayansi imelithibisha hili tayari
Hiyo ndio Quran Kila kitu kipo very systemic