Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,730
Mkuu unazungumzia Kalema ya Mpanda Katavi?wale ni nyokoHuo ukanda wote wa ziwa Tanganyika hapafai, kuna wachawi balaa
Kuna kijiji kinaitwa KALEMA, pale kulikua na mamba mkubwa sana, alikua anatafuna watu balaa
Siku ameuawa walikuta pale tumboni ameandikwa kwa maandishi makubwa BADO WEWE.