Kigoma Region Tanzania
JF-Expert Member
- May 25, 2021
- 229
- 593
BUHIGWE
Mwenyekiti wa Kijiji cha Kigogwe wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma ametoa wito kwa serikali kupitia wizara ya ujenzi na makampuni ya ujenzi kuweza kujitolea kukamilisha ujenzi huu ambao kwasasa unaendelezwa na wanakijiji,
Ndugu Methusela Ntahonsigaye ambaye ndiye mwenyekiti ameeleza ya kwamba 'Wananchi hawa wanahitaji sapoti kukamilisha ujenzi huu, Serikali, Kampuni na wadau karibuni Kigogwe Buhigwe mkoani Kigoma.'
Eneo hili bado ni kikwazo katika kufikia maendeleo endelevu. Pamoja nakulima michikichi usafiri na usafirishaji havitawezekana na hivyo kutokuyafikia masoko.
Tazama Video fupi
Mwenyekiti wa Kijiji cha Kigogwe wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma ametoa wito kwa serikali kupitia wizara ya ujenzi na makampuni ya ujenzi kuweza kujitolea kukamilisha ujenzi huu ambao kwasasa unaendelezwa na wanakijiji,
Ndugu Methusela Ntahonsigaye ambaye ndiye mwenyekiti ameeleza ya kwamba 'Wananchi hawa wanahitaji sapoti kukamilisha ujenzi huu, Serikali, Kampuni na wadau karibuni Kigogwe Buhigwe mkoani Kigoma.'
Eneo hili bado ni kikwazo katika kufikia maendeleo endelevu. Pamoja nakulima michikichi usafiri na usafirishaji havitawezekana na hivyo kutokuyafikia masoko.
Tazama Video fupi