Sir Khan
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 5,212
- 9,459
kwahiyo jamaa anatupiga kamba?Mi nipo hapa mkuu hizo story niza kusadikika tu hazna uhakika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwahiyo jamaa anatupiga kamba?Mi nipo hapa mkuu hizo story niza kusadikika tu hazna uhakika
Sana tukwahiyo jamaa anatupiga kamba?
Tanzania ni kubwaNdio maana yaneno maajabu
ulitegemea neno ajabu lije kwa mtu kula ndizi huku akitembea!!
Ndugu yangu dunia inamengi na sio kila jambo lazima utalifaham
Nenda kule utaambiwa
Hao nyoka ni nyoka wakichawi sio nyoka tuwajuae sisi
na anapo kuuma nimekuambia lazima ukatibiwe na Mganga jamii ya kabila hilo lakitongwe
kutapika kwako hayo magamba ndio kupona kwako yanatoka kama sumu meusi,
pia nikupe nyingine
kule Mbuzi hafungwi zizini
Kiangazi huachwa msimu mzima wakizurula hovyo
Na ifikapo masika ndio hukamatwa na kufungwa nyuma ya nyumba kamba miguuni nje kabisa ya nyumba na kwakuwa ni msimu wa kilimo tu
sasa olewako uibe
Mbuzi ataita Meee mee tumboni kama mmemla
na kama umembeba Hatashuka
Kuna shule huko?Watu wanajua ni uongo lakin ukwel ndio huo, Mimi nipo iki kijiji kwa muda wa miez minne sasa nimejionea mengi ya kustaajabisha apa kijijini LUBENGELA, awanywi bia ila wanapombe yao inatoka Congo inaitwa SEN'XA, gongo inasubili kwa huo mziki wa SEN'XA, jamaa awachimbi vyoo, wanajisaidia kwenye mawe kandokando ya ziwa
Wadau kijij hiki kinapatikana kusini mwa mkoa Wa Kigoma uliopo kanda ya ziwa, Kijij hiki ni kidogo sana kina wakazi wasiozidi 2000, kijiji hiki hakuna mwizi. Kila baada ya nyumba mbili kuna mchawi, ukiwaangalia mikononi wamevaa ma bangili ya shaba.
Asili yao ni wakongo karibu wote, hakuna umeme, nishati inayotumika ni kuni, mkaa, sola pawa, watu wanaacha vitu nje, maduka wazi na hakuna anayethubutu kuiba. Shughuli yao kubwa ya uchumi ni uvuvi,
Sasa kubwa kuliko ambayo imenifanya nicharaze uzi huu ni kwamba Luna MAMBA ambaye anaonekana Mara kwa Mara hapa kijijini na inasadikika ni MAMBA wa MTU , yupo hapo kwa ajili ya kusaidia kazi za uvuvi za uyo MTU. Watu wanafanya shughuli zao kama kawaida na akamati mtu, mimi ni mgeni mahali hapa na nimemshuhudia kwa macho yangu uyo mamba na nikajaribu kutoa wazo auwawe lakini nikaambiwa na wazee wa kijiji kuwa nisirudie kusema hivyo.
Nikakaa zangu kmya coz hapa nimekuja kufanya kazi ya muda mfupi halafu nitaondoka kurejea mkoani, Kigoma kuna mambo.
Karema ya wapi hiyo mkuuHuo ukanda wote wa ziwa Tanganyika hapafai, kuna wachawi balaa
Kuna kijiji kinaitwa KALEMA, pale kulikua na mamba mkubwa sana, alikua anatafuna watu balaa
Siku ameuawa walikuta pale tumboni ameandikwa kwa maandishi makubwa BADO WEWE.
Mpaka sibwesa unapafahamuHao watongwe wanapatikana kule maeneo ya sibwesa,kalya,fipa, hao gusa unate
HUKO NDIPO PANAFAA KUISHI.Nimependa hiyo ya kutokuwepo wizi maana wa tz wizi imekua sehemu ya ajira kwa baadhi yetu
Na ukanda wa mwese nako ni balaaHao watongwe wanapatikana kule maeneo ya sibwesa,kalya,fipa, hao gusa unate
Jirani na ikoraKarema ya wapi hiyo mkuu
Ok napafahamuJirani na ikora
Itaunguaje wakati kila kitu ni electrons kwenye chips au digital?Kuhusu kumfotoa picha huyo mamba,haikamati yani inaungua,niliwahi kufika hicho kjiji kina maajabu sana.
Kigoma ipo kanda ya magharibi mzee baba
Yakutoshuka nilishuhudia jamaa aliyeiba mikungu ya ndizi kwa mzee mmoja, Tiba yake alipigwa fimbo moja kiunoni na mikungu ya ndizi ikadondoka fasta. Ila jamaa alitozwa dume la kondoo.Ndio maana yaneno maajabu
ulitegemea neno ajabu lije kwa mtu kula ndizi huku akitembea!!
Ndugu yangu dunia inamengi na sio kila jambo lazima utalifaham
Nenda kule utaambiwa
Hao nyoka ni nyoka wakichawi sio nyoka tuwajuae sisi
na anapo kuuma nimekuambia lazima ukatibiwe na Mganga jamii ya kabila hilo lakitongwe
kutapika kwako hayo magamba ndio kupona kwako yanatoka kama sumu meusi,
pia nikupe nyingine
kule Mbuzi hafungwi zizini
Kiangazi huachwa msimu mzima wakizurula hovyo
Na ifikapo masika ndio hukamatwa na kufungwa nyuma ya nyumba kamba miguuni nje kabisa ya nyumba na kwakuwa ni msimu wa kilimo tu
sasa olewako uibe
Mbuzi ataita Meee mee tumboni kama mmemla
na kama umembeba Hatashuka