kindoki
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 213
- 218
Wadau kijij hiki kinapatikana kusini mwa mkoa Wa Kigoma uliopo kanda ya ziwa, Kijij hiki ni kidogo sana kina wakazi wasiozidi 2000, kijiji hiki hakuna mwizi. Kila baada ya nyumba mbili kuna mchawi, ukiwaangalia mikononi wamevaa ma bangili ya shaba.
Asili yao ni wakongo karibu wote, hakuna umeme, nishati inayotumika ni kuni, mkaa, sola pawa, watu wanaacha vitu nje, maduka wazi na hakuna anayethubutu kuiba. Shughuli yao kubwa ya uchumi ni uvuvi,
Sasa kubwa kuliko ambayo imenifanya nicharaze uzi huu ni kwamba Luna MAMBA ambaye anaonekana Mara kwa Mara hapa kijijini na inasadikika ni MAMBA wa MTU , yupo hapo kwa ajili ya kusaidia kazi za uvuvi za uyo MTU. Watu wanafanya shughuli zao kama kawaida na akamati mtu, mimi ni mgeni mahali hapa na nimemshuhudia kwa macho yangu uyo mamba na nikajaribu kutoa wazo auwawe lakini nikaambiwa na wazee wa kijiji kuwa nisirudie kusema hivyo.
Nikakaa zangu kmya coz hapa nimekuja kufanya kazi ya muda mfupi halafu nitaondoka kurejea mkoani, Kigoma kuna mambo.
Asili yao ni wakongo karibu wote, hakuna umeme, nishati inayotumika ni kuni, mkaa, sola pawa, watu wanaacha vitu nje, maduka wazi na hakuna anayethubutu kuiba. Shughuli yao kubwa ya uchumi ni uvuvi,
Sasa kubwa kuliko ambayo imenifanya nicharaze uzi huu ni kwamba Luna MAMBA ambaye anaonekana Mara kwa Mara hapa kijijini na inasadikika ni MAMBA wa MTU , yupo hapo kwa ajili ya kusaidia kazi za uvuvi za uyo MTU. Watu wanafanya shughuli zao kama kawaida na akamati mtu, mimi ni mgeni mahali hapa na nimemshuhudia kwa macho yangu uyo mamba na nikajaribu kutoa wazo auwawe lakini nikaambiwa na wazee wa kijiji kuwa nisirudie kusema hivyo.
Nikakaa zangu kmya coz hapa nimekuja kufanya kazi ya muda mfupi halafu nitaondoka kurejea mkoani, Kigoma kuna mambo.