Maajabu ya kijiji cha llubengela-ziwa Tanganyika Kigoma

kindoki

JF-Expert Member
Sep 17, 2018
213
218
Wadau kijij hiki kinapatikana kusini mwa mkoa Wa Kigoma uliopo kanda ya ziwa, Kijij hiki ni kidogo sana kina wakazi wasiozidi 2000, kijiji hiki hakuna mwizi. Kila baada ya nyumba mbili kuna mchawi, ukiwaangalia mikononi wamevaa ma bangili ya shaba.

Asili yao ni wakongo karibu wote, hakuna umeme, nishati inayotumika ni kuni, mkaa, sola pawa, watu wanaacha vitu nje, maduka wazi na hakuna anayethubutu kuiba. Shughuli yao kubwa ya uchumi ni uvuvi,

Sasa kubwa kuliko ambayo imenifanya nicharaze uzi huu ni kwamba Luna MAMBA ambaye anaonekana Mara kwa Mara hapa kijijini na inasadikika ni MAMBA wa MTU , yupo hapo kwa ajili ya kusaidia kazi za uvuvi za uyo MTU. Watu wanafanya shughuli zao kama kawaida na akamati mtu, mimi ni mgeni mahali hapa na nimemshuhudia kwa macho yangu uyo mamba na nikajaribu kutoa wazo auwawe lakini nikaambiwa na wazee wa kijiji kuwa nisirudie kusema hivyo.

Nikakaa zangu kmya coz hapa nimekuja kufanya kazi ya muda mfupi halafu nitaondoka kurejea mkoani, Kigoma kuna mambo.
 
Mandhari ya kijiji chenyewe
IMG_20181212_114630_504.jpeg
 
Wadau kijij iki kinapatikana kusini mwa mkoa Wa kigoma uliopo kanda ya ziwa,kijij iki ni kidogo sana,kina wakazi wasiozidi 2000, kijiji iki hakuna mwizi, kila baada ya nyumba mbili kuna mchawi,ukiwaangalia mikononi wamevaa ma bangili ya shaba,asili yao ni wakongo karibu wote, hakuna umeme, nishati inayotumika ni kuni,mkaa, sola pawa, watu wanaacha vitu nje,maduka wazi na hakuna anayethubutu kuiba,shughuli yao kubwa ya uchumi ni uvuvi, sasa kubwa kuliko ambayo imenifanya nicharaze Uzi huu ni kwamba Luna MAMBA ambaye anaonekana Mara kwa Mara apa kijijini na inasadikika ni MAMBA wa MTU , yupo apo kwa ajili ya kusaidia kazi za uvuvi za uyo MTU,watu wanafanya shughuli zao kama kawaida na akamati mtu, Mimi ni mgeni mahali apa na nimemshuhudia kwa macho yangu uyo mamba na nikajaribu kutoa wazo auwawe lakin nikaambiwa na wazee wa kijiji kuwa nisirudie kusema ivyo,nikakaa zangu kmya coz apa nimekuja kufanya kazi ya muda mfupi AF nitaondoka kurejea mkoani, kigoma kuna mambo
Mkuu hakuna tatizo hapo watu wanaishi kiafrika zaidi, hakuna cha ajabu.
Hapo umeona mambo machache sana ni kwakuwa hujaitembelea sana nchi hii. Nakukuhakikishia kuna badhi ya vituko ndani ya jamuhuri ya Tanzania ukiambiwa hutaamini.
Endelea kuitembelea Tanzania utaona mengi tu
 
Wadau kijij iki kinapatikana kusini mwa mkoa Wa kigoma uliopo kanda ya ziwa,kijij iki ni kidogo sana,kina wakazi wasiozidi 2000, kijiji iki hakuna mwizi, kila baada ya nyumba mbili kuna mchawi,ukiwaangalia mikononi wamevaa ma bangili ya shaba,asili yao ni wakongo karibu wote, hakuna umeme, nishati inayotumika ni kuni,mkaa, sola pawa, watu wanaacha vitu nje,maduka wazi na hakuna anayethubutu kuiba,shughuli yao kubwa ya uchumi ni uvuvi, sasa kubwa kuliko ambayo imenifanya nicharaze Uzi huu ni kwamba Luna MAMBA ambaye anaonekana Mara kwa Mara apa kijijini na inasadikika ni MAMBA wa MTU , yupo apo kwa ajili ya kusaidia kazi za uvuvi za uyo MTU,watu wanafanya shughuli zao kama kawaida na akamati mtu, Mimi ni mgeni mahali apa na nimemshuhudia kwa macho yangu uyo mamba na nikajaribu kutoa wazo auwawe lakin nikaambiwa na wazee wa kijiji kuwa nisirudie kusema ivyo,nikakaa zangu kmya coz apa nimekuja kufanya kazi ya muda mfupi AF nitaondoka kurejea mkoani, kigoma kuna mambo
Halafu na ww Kindoki si wa hukohuko Kongo!? Mkuu fanya mpango basi wakupe mbinu tuwadhibiti wezi wa flat scrin huku bongo!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom