Herr muller
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 1,017
- 1,209
Asante sana, umesema kweli bila elimu kigoma itazidi baki nyuma,Kiuchumi inakua kwa kasi now days kutokana na kuwepo kwa barabara nzur miaka ya iv karibuni, uwez fananisha na mikoa kama tabora,singida,Lindi, rukwa, baada ya miaka mitano kigoma ifafika levo za mikoa kama iringa, kuna mvua za kutosha,vyakula vingi, tatizo ni ELIMU & MIUNDOMBINU hususani barabara za kuingia na kutoka kwenda mikoani