Kigoma Region Tanzania
JF-Expert Member
- May 25, 2021
- 229
- 593
Samaki huyo mwenye mpomo au Komwe jina lake anaitwa NDUBU, ni samaki mwenye kuvutia kwa macho anapendeza mno akiwa kwenye maji. Samaki huyu ni moja ya kivutio cha watalii katika ziwa letu Tanganyika.
Hutumika kama samaki wa kuliwa ni mtamu sana na mwenye ladha nzuri na pia hutumika kama samaki wa mapambo (aquarium) akiwa kwenye maji humeremeta.
NDUBU hupatikana ziwa Tanganyika wilaya ya Uvinza maeneo ya Kalya, Sibwesa na Buhingu ndiko hupatikana kwa wingi samaki wa mapambo.
Kama ilipendekezwa watoto wa Shule ya msingi wavae Socks za pundamilia Ilikuwa ni kwasababu ya kiashirio cha wanyama hao wafahamike, hivyo basi hakuna budi tuseme socks za pundamilia pia ni Kiwakilishi kizuri cha samaki wetu huyu mtamu. MR NDUBU
Kitaalamu anafahamika kama ''Cyphotilapia frontosa'' kigoma f1 (First Filial), Wapo Jinsia ya kiume na jinsia ya kike.
Utajiri wa ziwa Tanganyika.
Ndubu ni huyu samaki mwenye mistari na komwe
MR NDUBU
MR NDUBU
Hutumika kama samaki wa kuliwa ni mtamu sana na mwenye ladha nzuri na pia hutumika kama samaki wa mapambo (aquarium) akiwa kwenye maji humeremeta.
NDUBU hupatikana ziwa Tanganyika wilaya ya Uvinza maeneo ya Kalya, Sibwesa na Buhingu ndiko hupatikana kwa wingi samaki wa mapambo.
Kama ilipendekezwa watoto wa Shule ya msingi wavae Socks za pundamilia Ilikuwa ni kwasababu ya kiashirio cha wanyama hao wafahamike, hivyo basi hakuna budi tuseme socks za pundamilia pia ni Kiwakilishi kizuri cha samaki wetu huyu mtamu. MR NDUBU
Kitaalamu anafahamika kama ''Cyphotilapia frontosa'' kigoma f1 (First Filial), Wapo Jinsia ya kiume na jinsia ya kike.
Utajiri wa ziwa Tanganyika.
Ndubu ni huyu samaki mwenye mistari na komwe
MR NDUBU
MR NDUBU