Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,135
Raia wake hupenda kupumzika kabla ya kuchoka.........
- Ni jiji pekee ambalo mtu hujenga kwanza na kuomba kibali baadaye = Ujenzi holela
- Ni jiji Pekee ambalo halina building codes katika ya jiji (city center)
- NI jiji Pekee ambalo mtu hujenga jengo la hata orofa 18 bila kujenga maegesho ya magari
- Ni jiji pekee ambalo mtu akiwa na matofali ya kutosha na viezekeo basi hujenga ghorofa popote -cheki pale Kariakoo
- Ni jiji pekee ambalo 80% ya makazi yake ni holela (unplanned)
- Ni jiji pekee ambalo ukiwa unatoka katika ya mji umbali hata wa km 10 bado kuna foleni ya kutisha kutoka nje ya jiji kimara, mbezi, tegeta, mbagala)
- Ni jiji pekee ambalo 70% ya maeneo yake yananuka kinyesi
- Ni jiji ambalo huwa na mito mingi sana kwa muda mfupi wakati wa mvua (kutiririsha choo)
- Ni jiji pekee ambalo weekend huwa na foleni kubwa katika ya mji- miji mingi huwa hakuna foleni watu wanaenda mashambani/ picnic etc
- Ni jiji pekee ambalo lina nyumba nyingi za wageni kuliko idadi ya wageni wanaoingia jijini- Guest houses nyingi kuliko makanisa na misikiti
- Ni jiji pekee ambalo watu wake wengi hawajitambui na hawajui haki zao
- Ni jiji pekee Duniani ambalo 95% ya magari ya kuzoa taka yenyewe tu ni takataka
- NI jiji pekee ambalo mtu anaweza kuanzisha baa, ukumbi hata katikati ya makazi ya watu bila shida
- NI jiji Pekee ambalo mtu anaweza akaamua kufunga barabara na maisha yakaendelea tu
- Ni jiji pekee ambalo wakazi wake wengi hawajawahi kumiliki chombo cha moto zaidi ya pasi
- .....
- ......
16- watu wengi wakija Dar kusoma hawarudi walikotoka (majumbani kwao/mkoa au kijiji).
1. Ni jiji pekee lenye milipuko ya magonjwa kama red eyes, kipindupindu, vikohozi na mafua n.k
2. Ni jiji ambalo raia wake hawaaminiani unaweza hata kama wanatembea njia mtu unawasiwasi kuwa anaweza kukukaba
3. Ni jiji lililojaa mbu
4. Ni jiji amabalo fukwe zake zimejaa vinyesi kama coco beach
5. Ni jiji lililojaa matapeli
Jiji linaloongoza kwa watu waoga kuliko majiji yote.
-lenye vyangudoa/ machoko lukuki! Wa kila aina
-biashara za vitu vya
kimagumash mpaka madawa ya b'nadam & vibudu+vitu vilivyo expire
-mateja
- Ni jiji pekee ambalo mtu hujenga kwanza na kuomba kibali baadaye = Ujenzi holela
- Ni jiji Pekee ambalo halina building codes katika ya jiji (city center)
- NI jiji Pekee ambalo mtu hujenga jengo la hata orofa 18 bila kujenga maegesho ya magari
- Ni jiji pekee ambalo mtu akiwa na matofali ya kutosha na viezekeo basi hujenga ghorofa popote -cheki pale Kariakoo
- Ni jiji pekee ambalo 80% ya makazi yake ni holela (unplanned)
- Ni jiji pekee ambalo ukiwa unatoka katika ya mji umbali hata wa km 10 bado kuna foleni ya kutisha kutoka nje ya jiji kimara, mbezi, tegeta, mbagala)
- Ni jiji pekee ambalo 70% ya maeneo yake yananuka kinyesi
- Ni jiji ambalo huwa na mito mingi sana kwa muda mfupi wakati wa mvua (kutiririsha choo)
- Ni jiji pekee ambalo weekend huwa na foleni kubwa katika ya mji- miji mingi huwa hakuna foleni watu wanaenda mashambani/ picnic etc
- Ni jiji pekee ambalo lina nyumba nyingi za wageni kuliko idadi ya wageni wanaoingia jijini- Guest houses nyingi kuliko makanisa na misikiti
- Ni jiji pekee ambalo watu wake wengi hawajitambui na hawajui haki zao
- Ni jiji pekee Duniani ambalo 95% ya magari ya kuzoa taka yenyewe tu ni takataka
- NI jiji pekee ambalo mtu anaweza kuanzisha baa, ukumbi hata katikati ya makazi ya watu bila shida
- NI jiji Pekee ambalo mtu anaweza akaamua kufunga barabara na maisha yakaendelea tu
- Ni jiji pekee ambalo wakazi wake wengi hawajawahi kumiliki chombo cha moto zaidi ya pasi
- .....
- ......
Watafanya nini wakati kila kitu hata juu yake kipo hivyo hovyp????
Tafakari:
Ni nchi pekee duniani ambaye Rais wake ana PhD zaidi ya 'tatu' peke yake!!
Ni nchi pekee, yenye kutumia aina mbili za noti ''fedha zake'' (sasa sijui mzunguko wake ukoje na jinsi ya ku-control hizo pesa ukoje!)
Pia ni nchi pekee duniani ambapo kuna aina mbili tofauti za leseni za kuendeshea magari!!!
jiji lenye wakazi wachafu.