Maajabu ya Jiji la Dar es Salaam

Maajabu ya Jiji la Dar es Salaam

NI jiji pekee ambalo viongozi wa serikali na chama tawala wanaongoza kwa kuvunja sheria kwa kujenga kwenye sehemu za wazi na pia kuziba barabara!!
 
kweli kabisa na wenye midomo mirefu ya matusi na kujua kila kitu kwa sauti wake kwa waume
 
napenda tu kuwajulisha wale watoto kuwa pale makao mapya arusha kuna vijumba vya round round ndio kazi yake linza ya kwanza baadaya kugraduate sitetei ila ni bora mjue kuwa nae yumo yumo ameanza zamani hata nyumba yangu nilibandika bango lake ndio tz yetu hii we go for easy and cheap
 
  1. Ni jiji pekee ambalo mtu hujenga kwanza na kuomba kibali baadaye = Ujenzi holela
  2. Ni jiji Pekee ambalo halina building codes katika ya jiji (city center)
  3. NI jiji Pekee ambalo mtu hujenga jengo la hata orofa 18 bila kujenga maegesho ya magari
  4. Ni jiji pekee ambalo mtu akiwa na matofali ya kutosha na viezekeo basi hujenga ghorofa popote -cheki pale Kariakoo
  5. Ni jiji pekee ambalo 80% ya makazi yake ni holela (unplanned)
  6. Ni jiji pekee ambalo ukiwa unatoka katika ya mji umbali hata wa km 10 bado kuna foleni ya kutisha kutoka nje ya jiji kimara, mbezi, tegeta, mbagala)
  7. Ni jiji pekee ambalo 70% ya maeneo yake yananuka kinyesi
  8. Ni jiji ambalo huwa na mito mingi sana kwa muda mfupi wakati wa mvua (kutiririsha choo)
  9. Ni jiji pekee ambalo weekend huwa na foleni kubwa katika ya mji- miji mingi huwa hakuna foleni watu wanaenda mashambani/ picnic etc
  10. Ni jiji pekee ambalo lina nyumba nyingi za wageni kuliko idadi ya wageni wanaoingia jijini- Guest houses nyingi kuliko makanisa na misikiti
  11. Ni jiji pekee ambalo watu wake wengi hawajitambui na hawajui haki zao
  12. Ni jiji pekee Duniani ambalo 95% ya magari ya kuzoa taka yenyewe tu ni takataka
  13. NI jiji pekee ambalo mtu anaweza kuanzisha baa, ukumbi hata katikati ya makazi ya watu bila shida
  14. NI jiji Pekee ambalo mtu anaweza akaamua kufunga barabara na maisha yakaendelea tu
  15. Ni jiji pekee ambalo wakazi wake wengi hawajawahi kumiliki chombo cha moto zaidi ya pasi
  16. .....
  17. ......

Majibu:
1 - 5 = Ni kazi ya serikali ambayo wananchi tuliichagua kuendelea kula, kukagua maeneno mara kwa mara na kutoa vibali vya ujenzi.
6 = Ni kutokana na maendeleo, wakazi wengi ni matajiri wanamiliki magari yao binafsi.
7 = Wananchi wenyewe wa maeneo husika ni wachafu na vyoo vichafu, mtu mzima hafundishwi kufanya usafi.
8 = Uchafu unaotokana na wanajiji kuziba mitaro na miundombinu feki (Serikali na wananchi)
9 = Maendeleo, wanajiji wanamihela ya kutanua wakiwa na magari yao ya kifahari weekend tofauti na Mikoani choka mbaya
10 = Guest house wanajiji wanazitumia vizuri kuliko wageni, ndiyo maana zinaongezeka na kudumu.

N.B: UKITAFAKARI KWA KUTUMIA AKILI KIDOGO SANA UTAGUNDUA YOTE YANASABABISWA NA MWANANCHI MWENYEWE, SERIKALI TULIICHAGUA WENYEWE KWA HIYO JIJI LITAENDELEA KUWA LILIVYO NA ZAIDI.
 
Hili la ujenzi holela - Llileta balaa kubwa sana nyumba moja ilipoungua kule Kimara; Gari la zimamoto lilipofika lilishindwa kuifikia ile nyumba kwasababu kuna majirani waliamua kushindana ni nani anaweza kujenga liukuta likubwa hadi wakaziba njia kwa kiasi cha gari kubwa kushindwa kupita. Matokeo yake wafanyakazi wa zimamoto wakabaki kushuhudia nyumba inavyoteketea kwani mpira usingeweza kufika umbali ule😡
 
lagos, bombay,dhaka, port au prince nazo hizoooo
 
ni jiji ambalo watu wake weingi hawamjui mungu si kwamba hawamjui kwamba ndiye muumba wa dunia hii but kwa sababu ya raha za hili jiji zuri
 
1. ni jiji pekee lenye milipuko ya magonjwa kama red eyes, kipindupindu, vikohozi na mafua n.k
2. Ni jiji ambalo raia wake hawaaminiani unaweza hata kama wanatembea njia mtu unawasiwasi kuwa anaweza kukukaba
3. Ni jiji lililojaa mbu
4. Ni jiji amabalo fukwe zake zimejaa vinyesi kama coco beach
5. Ni jiji lililojaa matapeli
 
1. Ni jiji pekee lenye milipuko ya magonjwa kama red eyes, kipindupindu, vikohozi na mafua n.k
2. Ni jiji ambalo raia wake hawaaminiani unaweza hata kama wanatembea njia mtu unawasiwasi kuwa anaweza kukukaba
3. Ni jiji lililojaa mbu
4. Ni jiji amabalo fukwe zake zimejaa vinyesi kama coco beach
5. Ni jiji lililojaa matapeli

-lenye vyangudoa/ machoko lukuki! Wa kila aina
-biashara za vitu vya
kimagumash mpaka madawa ya b'nadam & vibudu+vitu vilivyo expire
-mateja
 
Ni jiji ambalo meya wake ni mission town!! Taperi nambari moja [ UDA SAGA]!!
 
Watafanya nini wakati kila kitu hata juu yake kipo hivyo hovyp????

Tafakari:

Ni nchi pekee duniani ambaye Rais wake ana PhD zaidi ya 'tatu' peke yake!!
Ni nchi pekee, yenye kutumia aina mbili za noti ''fedha zake'' (sasa sijui mzunguko wake ukoje na jinsi ya ku-control hizo pesa ukoje!)
Pia ni nchi pekee duniani ambapo kuna aina mbili tofauti za leseni za kuendeshea magari!!!
 
  1. Ni jiji pekee ambalo mtu hujenga kwanza na kuomba kibali baadaye = Ujenzi holela
  2. Ni jiji Pekee ambalo halina building codes katika ya jiji (city center)
  3. NI jiji Pekee ambalo mtu hujenga jengo la hata orofa 18 bila kujenga maegesho ya magari
  4. Ni jiji pekee ambalo mtu akiwa na matofali ya kutosha na viezekeo basi hujenga ghorofa popote -cheki pale Kariakoo
  5. Ni jiji pekee ambalo 80% ya makazi yake ni holela (unplanned)
  6. Ni jiji pekee ambalo ukiwa unatoka katika ya mji umbali hata wa km 10 bado kuna foleni ya kutisha kutoka nje ya jiji kimara, mbezi, tegeta, mbagala)
  7. Ni jiji pekee ambalo 70% ya maeneo yake yananuka kinyesi
  8. Ni jiji ambalo huwa na mito mingi sana kwa muda mfupi wakati wa mvua (kutiririsha choo)
  9. Ni jiji pekee ambalo weekend huwa na foleni kubwa katika ya mji- miji mingi huwa hakuna foleni watu wanaenda mashambani/ picnic etc
  10. Ni jiji pekee ambalo lina nyumba nyingi za wageni kuliko idadi ya wageni wanaoingia jijini- Guest houses nyingi kuliko makanisa na misikiti
  11. Ni jiji pekee ambalo watu wake wengi hawajitambui na hawajui haki zao
  12. Ni jiji pekee Duniani ambalo 95% ya magari ya kuzoa taka yenyewe tu ni takataka
  13. NI jiji pekee ambalo mtu anaweza kuanzisha baa, ukumbi hata katikati ya makazi ya watu bila shida
  14. NI jiji Pekee ambalo mtu anaweza akaamua kufunga barabara na maisha yakaendelea tu
  15. Ni jiji pekee ambalo wakazi wake wengi hawajawahi kumiliki chombo cha moto zaidi ya pasi
  16. .....
  17. ......

Duh hata JIKO la MKAA? au KUNI?
 
Watafanya nini wakati kila kitu hata juu yake kipo hivyo hovyp????

Tafakari:

Ni nchi pekee duniani ambaye Rais wake ana PhD zaidi ya 'tatu' peke yake!!
Ni nchi pekee, yenye kutumia aina mbili za noti ''fedha zake'' (sasa sijui mzunguko wake ukoje na jinsi ya ku-control hizo pesa ukoje!)
Pia ni nchi pekee duniani ambapo kuna aina mbili tofauti za leseni za kuendeshea magari!!!

Jiji pekee ambako wezi, vibaka, majambazi na matapeli wanaheshimika kuliko wavuja jaso. Jararibu kuwa mjanja wa jiji uone jinsi utakavyoheshimika. Misheni towni ndo dili bwana
 
1. ni jiji pekee lenye milipuko ya magonjwa kama red eyes, kipindupindu, vikohozi na mafua n.k
2. Ni jiji ambalo raia wake hawaaminiani unaweza hata kama wanatembea njia mtu unawasiwasi kuwa anaweza kukukaba
3. Ni jiji lililojaa mbu
4. Ni jiji amabalo fukwe zake zimejaa vinyesi kama coco beach
5. Ni jiji lililojaa matapeli
 
Back
Top Bottom