Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
16- watu wengi wakija dar kusoma hawarudi walikotoka (majumbani kwao/mkoa au kijiji).
katika hili mkuu umenena ukweli mtupu na wenye kufanya wide research
16- watu wengi wakija dar kusoma hawarudi walikotoka (majumbani kwao/mkoa au kijiji).
Ndyo jiji linalokuwa kwa kasi ingawa chafu,hata mtoa mada amekimbia kwao yupo Dar anashangaa,watu wake hawapendi siasa uchwara wapo busy kusaka hela,
16-ni jiji ambalo wa2 wake wengi ni wezi na mafisadi 17-jiji linaloongoza kuwa na watoto wengi wa mitaani na mateja wengi
Ilala ni Wilaya Tajiri katika Tanzania.
jiji watanzania wote hufikiria kuhamia huko dar,sababu wanaofika hhuko huwaringishia mambo ambayoNi jiji pekee ambalo limeharibiwa na wakuja
Ni jj pekee ambalo lina minara mingi ya sm na tv lakini kuna maeneo akuna mawasiliano kabisa