Chibike
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 4,896
- 7,522
Tumsifu Yesu Kristu
KWANZA kabisa nawapongeza sana Kanisa katoliki angalau kwa kuweka siku maalumu ya kuombea wafu WALIOUWAWA oktoba 29. Tena kwenye barua zenu hamjakwepesha maneno.
Tukiachana na Hilo tendo la kishujaa la kanisa katoliki, nmekua napitia media outlets mbalimbali tumezoa kuona pongezi nyingi za kumwaga ambazo hua zinatolewa kwa rais alieshinda na kuapishwa...ila Sasa ni za kuhesabu au hamna kabisa, si machawa, kampuni mbalimbali watu kimyaaa...
Kulikoni..
KWANZA kabisa nawapongeza sana Kanisa katoliki angalau kwa kuweka siku maalumu ya kuombea wafu WALIOUWAWA oktoba 29. Tena kwenye barua zenu hamjakwepesha maneno.
Tukiachana na Hilo tendo la kishujaa la kanisa katoliki, nmekua napitia media outlets mbalimbali tumezoa kuona pongezi nyingi za kumwaga ambazo hua zinatolewa kwa rais alieshinda na kuapishwa...ila Sasa ni za kuhesabu au hamna kabisa, si machawa, kampuni mbalimbali watu kimyaaa...
Kulikoni..