Maajabu ya biashara ya uchimbaji wa madini ya dhahabu

Maajabu ya biashara ya uchimbaji wa madini ya dhahabu

Mi nitakuja kurudi kwenye dhahabu lakin siyo kuchimba nitanunua hiyo dhahabu then nitaenda bank badala ya kifungua money account mi nitafungua gold account hapo nahakikisha naweka hata kilo mbili tukutane baada ya ten years
Kwa bei ya leo, kilo 2 za dhahabu ni karibu shilingi milioni 500 pesa ya Tanganyika
 
Hi ni biashara pekee ambayo mtu au mchimbaji anaweza kukukopesa hata milioni 50 bila kuandikishana au kuwepo na shahidi yoyote.
View attachment 3282399

Ni biashara ambayo mtu anaweza kukuuzia udongo ambao hauna uhakika wa kilichomo ndani.
View attachment 3282400

Ni biashara ambayo pamoja na mtu anaweka pesa kubwa, ila wanaamini uchawi kwa asilimia 90

Biashara ya dhahabu ni biashara ambayo inaweza ikakufanya milionea kwa mwezi mmoja na ikachukua pesa zako zote ukawa maskini ndani ya miezi mitatu.

Ardhi ina siri nyingi sana na pesa ina siri nyingi sana.

Unaweza ukachimba shimo au duara ukaambulia udongo tu, ila mwenzako akachimba pembeni tu akapata utajiri.

Pamoja na pesa walizonazo wachimbaji wa dhahabu, hakuna mtu mwenye pesa za kuwekeza kwa kiwango kikubwa cha kutumia sayansi kama wazungu.


Dhahabu ambayo tayari imechimbwa ni kama asilimia 3 tu ya dhahabu ambayo haijaguswa Tanzania.

Nimefanya kazi kwenye uchimbaji miiaka nane hakuna kitu utanidanganya kwenye dhahabu.
UKO SAHIHI SANA NDG!!!! MIE 2020 NILIKWENDA KUJARIBU KUCHIMBA UKO KATORO , LWAMGASSA, TEMBO, MHOLOLO, MATEBA NA VIJIJI VINGI TU UKO KATORO. NILIKAA KWA MUDA WA MWAKA, LAKINI KAMA ULIVYOKWISHA ELEZEA MAUZA UZA NA CHANGAMOTO ZA HAPA NA PALE, ILIBIDI KUUZA GARI KULIPA MADENI NA KUPATA NAULI YA KURUDI DAR KUJIPANGA UPYA !!!!!!! ILA SIYO MCHEZO!!!! HIZO PICHA UMENIKUMBUSHA MBALI SANA .Please note miaka hiyo one gramm ilikuwa 70 mpaka 90 elfu kama sikosei, ila sasa gram moja ni 100usd. = 260K
 
Awali ya yote itambulike kuwa mimi si mjuzi kiviile wa hiyo Biashara.
Pili, hakuna sehemu nimewahi kuandika kuwa unaweza kuifanya kwa Mtaji mdogo.

Ninachoweza kusema;
Uwanda wa Biashara hiyo ni mpana mno.
Unaposema unataka kuifanya ni kutokea pembe ipi:
Kuchimba?
Kuichuuza eneo inapochimbwa,?
Kuileta mjini tokea inapochimbwa?
Kuisafirisha Ng'ambo ama vipi?

Lolote utakalolichagua kati ya hayo,
Je, swali la msingi lingine, wewe unaifahamu hiyo
Dhahabu yenyewe hata ukiiona?
inafananaje, au zipo za tofautitofauti kiasi gani?
Wapi inapatikana?
Kwenye mazingira gani na kwa utaratibu gani?

Iwapo unayo majibu chanya ya maswali hayo upo pazuri.
Lakini kama huna majibu hayo nashauri uyatafute mwenyewe na utaratibu mzuri ufike maeneo mengi li ujiridhishe kuujua ugumu amn urahisi wa mazingira muhimu ya chanzo cha mzigo wako.
asante kwa ushauri wako mzuri umenipa mwanga
 
Hi ni biashara pekee ambayo mtu au mchimbaji anaweza kukukopesa hata milioni 50 bila kuandikishana au kuwepo na shahidi yoyote.
View attachment 3282399

Ni biashara ambayo mtu anaweza kukuuzia udongo ambao hauna uhakika wa kilichomo ndani.
View attachment 3282400

Ni biashara ambayo pamoja na mtu anaweka pesa kubwa, ila wanaamini uchawi kwa asilimia 90

Biashara ya dhahabu ni biashara ambayo inaweza ikakufanya milionea kwa mwezi mmoja na ikachukua pesa zako zote ukawa maskini ndani ya miezi mitatu.

Ardhi ina siri nyingi sana na pesa ina siri nyingi sana.

Unaweza ukachimba shimo au duara ukaambulia udongo tu, ila mwenzako akachimba pembeni tu akapata utajiri.

Pamoja na pesa walizonazo wachimbaji wa dhahabu, hakuna mtu mwenye pesa za kuwekeza kwa kiwango kikubwa cha kutumia sayansi kama wazungu.


Dhahabu ambayo tayari imechimbwa ni kama asilimia 3 tu ya dhahabu ambayo haijaguswa Tanzania.

Nimefanya kazi kwenye uchimbaji miiaka nane hakuna kitu utanidanganya kwenye dhahabu.
kwann uliacha
 
Nipo MUSASA hapa sehemu moja panaitwa LUSUNGWA,KWA BIBI NA ZIZINI
DAAAH LILIKUWA LIMENITOKA HILI CHIMBO HA HA HA 11 safi sana. nakumbuka hilo chombo zaidi zaidi ni kuuza mchanga wa dhahabu, ma lorry kama yote. sasa wakati harakati zinaendelea hapo MSASA, Mara chimbo la MLOLO mbele kidogo tu na MSASA ULU
 
Nipo MUSASA hapa sehemu moja panaitwa LUSUNGWA,KWA BIBI NA ZIZINI
DAAAH LILIKUWA LIMENITOKA HILI CHIMBO HA HA HA 11 safi sana. nakumbuka hilo chombo zaidi zaidi ni kuuza mchanga wa dhahabu, ma lorry kama yote. sasa wakati harakati zinaendelea hapo MSASA, Mara chimbo la MLOLO mbele kidogo tu na MSASA ULU
 
Hi ni biashara pekee ambayo mtu au mchimbaji anaweza kukukopesa hata milioni 50 bila kuandikishana au kuwepo na shahidi yoyote.
View attachment 3282399

Ni biashara ambayo mtu anaweza kukuuzia udongo ambao hauna uhakika wa kilichomo ndani.
View attachment 3282400

Ni biashara ambayo pamoja na mtu anaweka pesa kubwa, ila wanaamini uchawi kwa asilimia 90

Biashara ya dhahabu ni biashara ambayo inaweza ikakufanya milionea kwa mwezi mmoja na ikachukua pesa zako zote ukawa maskini ndani ya miezi mitatu.

Ardhi ina siri nyingi sana na pesa ina siri nyingi sana.

Unaweza ukachimba shimo au duara ukaambulia udongo tu, ila mwenzako akachimba pembeni tu akapata utajiri.

Pamoja na pesa walizonazo wachimbaji wa dhahabu, hakuna mtu mwenye pesa za kuwekeza kwa kiwango kikubwa cha kutumia sayansi kama wazungu.


Dhahabu ambayo tayari imechimbwa ni kama asilimia 3 tu ya dhahabu ambayo haijaguswa Tanzania.

Nimefanya kazi kwenye uchimbaji miiaka nane hakuna kitu utanidanganya kwenye dhahabu.
Hivi kwanini imani za kishirikina kwenye uchimbaji madini na uvuvi ziko juu sana? Maeneo hayo?,halikadhalika uzinzi,ulevi,ugomvi,wizi na kila aina ya uovu vinashamiri sana maeneo hayo,why, twambie mkuu.
 
Mwakitoryo ulikuwa namba ngapi nimechimba sana namba 2 na namba 3 baadae nikaondoka zangu ila nasikia siku hizi wachina wametapakaa vibaya mno. Dutwa na Nyarugusu nilikaa ila sikuwahi kuzidisha wiki kwenye hayo machimbo.
Hapo mwakitoryo kuanzia mama ntikie, boda boda wamiliki wa Bar, wachimbaji hadi ma boss wote ni wachawi
 
Hiyo ya kukopeshwa pesa bila kuandikishana wala shahidi yeyote kwa mara ya kwanza nilisikiaga chimbo moja huko Mpepo.
Mkopeshaji anakuwa na uhakika kwamba utapata hela tu na huwezi kukimbia maana unakuwa umezoea mazingira ya utafutaji machimboni kuliko uraiani.
 
We kama una amini ndege unayopanda ilejengwa kwa uchawi mbona ujafika ULAYA
Ichawi ni sayansi ambayo haijathibitishwa, haipo kwenye makaratasi


Ndege inatumia principle zilizo thibitishwa kama vile benouli principle , newtons law of motion n.k


Mganga anapoangalia uelekeo wa mkanda wa dhahsbu kwa kutumia sample ya jiwe la duarani anatumia principle nyingi ikiwemo law of probability na inaleta majibu zaidi ya gold detector watu wanachimba na wanapata kwa kipimo cha elfi tatu tu


Vijana wa mjini mjifunze udadisi msiwe na mindset isiyotoka nje ya box


Huu ni mfano wa gold detector ya kienyeji

Nipo gamboshi mkuu napata shule ya uchawi wenye tija, ninachokiandika ni kutoka field sio story za kusadikika
 
Ichawi ni sayansi ambayo haijathibitishwa, haipo kwenye makaratasi


Ndege inatumia principle zilizo thibitishwa kama vile benouli principle , newtons law of motion n.k


Mganga anapoangalia uelekeo wa mkanda wa dhahsbu kwa kutumia sample ya jiwe la duarani anatumia principle nyingi ikiwemo law of probability na inaleta majibu zaidi ya gold detector watu wanachimba na wanapata kwa kipimo cha elfi tatu tu


Vijana wa mjini mjifunze udadisi msiwe na mindset isiyotoka nje ya box


Huu ni mfano wa gold detector ya kienyeji

Nipo gamboshi mkuu napata shule ya uchawi wenye tija, ninachokiandika ni kutoka field sio story za kusadikika
Mpumbavu wewe
 
Ichawi ni sayansi ambayo haijathibitishwa, haipo kwenye makaratasi


Ndege inatumia principle zilizo thibitishwa kama vile benouli principle , newtons law of motion n.k


Mganga anapoangalia uelekeo wa mkanda wa dhahsbu kwa kutumia sample ya jiwe la duarani anatumia principle nyingi ikiwemo law of probability na inaleta majibu zaidi ya gold detector watu wanachimba na wanapata kwa kipimo cha elfi tatu tu


Vijana wa mjini mjifunze udadisi msiwe na mindset isiyotoka nje ya box


Huu ni mfano wa gold detector ya kienyeji

Nipo gamboshi mkuu napata shule ya uchawi wenye tija, ninachokiandika ni kutoka field sio story za kusadikika
Sayansi ijawai kuwa uchawi. Ndio maana mganga wa kienyeji ajawai kuunda ndege mchana
 
wtu mnapenda kuuliza maswali ya kijinga sana....unataka kuingia kwenye biashara ambayo hujui bei ya bidhaa sokoni fanya utafiti kilo moja sasa ni sawa na m250tzs lakini kuna watu wanafanya kwa mtaji wa laki 5 hio biashara...au chini ya hapo kabisa..cha muhimu unajua unachokinunua..unajua kinauzwaje na dhamani yake sokoni....ukifika field unakuta wachimbaji ni wajuzi kuliko wewe unauziwa mabati na maudongo unarudi na ni ngumu kutoboa
Sana mkuu 💯
 
Back
Top Bottom