Mkuu PakaJimmy ninachokifahamu mimi ni kwamba kuna gari maalumu kwa ajili ya kusafisha barabara kwa maji,yaani zinatumia maji kusafisha barabara japo sijawahi ziona hapa nchini kwetu,hope ndiyo hicho kinachofanyika wadau wanakiita kupiga deki.KUPIGWA DEKI imekuwa kana neno la utani na mizaha, eleza wanachofanya ninini ili wasomaji wajue!
Sometimes tunaexagerate mno taarifa zetu.
Nıpo ubungo mataa: Morogoro road na Samnujoma road zınapıgwa dekı: Kwelı Obama Nomaaaaa.....! Tutashuhudıa mengı
Hahahaahaaaa obama kaja ombaomba wanafaudu....dah!!wataombea awe anakuja kila mwezi....Nasikia ubungo pameng'aa mpaka basi, afu naskia posta ombaomba wote wamechukuliwa na kuwekwa mahali huko wanakamua vyuku na vyoda kwa kwenda foward...
Nasikia ubungo pameng'aa mpaka basi, afu naskia posta ombaomba wote wamechukuliwa na kuwekwa mahali huko wanakamua vyuku na vyoda kwa kwenda foward...
Hakuna picha!Leo asubuhi maeneo ya Ubungo,
![]()
Leo asubuhi maeneo ya Ubungo,
![]()