CHIMBULI WA CHIMBULI
JF-Expert Member
- Jan 10, 2013
- 468
- 160
Wapi picha?!
Nasikia ubungo pameng'aa mpaka basi, afu naskia posta ombaomba wote wamechukuliwa na kuwekwa mahali huko wanakamua vyuku na vyoda kwa kwenda foward...
wewe ndo umeongea point mkuu, wengine wanapiga kelele tu, wagonjwa wana lala chini mahospitalini eti leo kaja mpumbafu mmoja nchi mpaka raisi mwenyewe ananyenyekea kama MUNGU kashuka kuja kutukomboa, niko natazama BBC NEWS, wao ndo wameongea sababu ya Obama kuja Tanzania ni competitions ya G8 kuweza ku exploit resources zilizopatikana especially Gesi ya mtwara, Naumia sana aiseeh ...
Hapa hapa Dar Es Salaam kuna wakazi kibao hawana maji ila Obama anakuja maji yanapatikana hata ya kumwangalia barabara. Kweli Tanzania tunastahili kuchekewa na majirani.
Kila mara huwa nagombana na viongozi wangu kwa tabia yao ya kuwapa mashuka mapya wagonjwa waliolazwa wodini pale tunapotarajia ugeni, wakati mwingine mambo haya hufanyika hata pale ambapo dawa na vifaa tiba hamna. Yaani huwa najiona mpumbafu pale mgonjwa anaponiuliza eti 'hata panado hamna?'
Leo nimejifunza kitu, kumbe upumbafu huu unaanzia huko juu! Nadhani Ikulu!
Akika Yesu au Mohammad sijui itakiwaje, nadhani wataoaka rangi hewa kabisa!
Hilo la kupiga deki namimi nimeliona, inasikitisha sana.
Muda bado, hatuma shughuli ingine leo zaidi kumshanga mgeni subiri mida ifike utatuona barabarani!
Hivi yale maji ni ya kuosha barabara. Nimewahi huku town nashangaa kulivyotulia. Obama ni rais wengine ni mbwembwe tu.
Mwongo huyu. Mi nipo ubungo hapa. mbona amna mtu anapiga deki barabara. labda wafagizi ndo nilikuta wapo bize kile kinjia cha Ubungo maziwa wanafagia. Deki? aaaah....jamani punguzeni uongo. Barabara yenyewe ya kupiga deki iko wapi...Strabarg wametindua kila mahali.
![]()
Nini kinafanyika hapo?