Nıpo ubungo mataa: Morogoro road na Samnujoma road zınapıgwa dekı: Kwelı Obama Nomaaaaa.....! Tutashuhudıa mengı
Hivi yale maji ni ya kuosha barabara. Nimewahi huku town nashangaa kulivyotulia. Obama ni rais wengine ni mbwembwe tu.
Leo barabara za Dar nyeuuuupeee! Yaani magari machache sana. Ni heri kukaa home leo kama huna jambo la maana.
KUPIGWA DEKI imekuwa kana neno la utani na mizaha, eleza wanachofanya ninini ili wasomaji wajue!Nıpo ubungo mataa: Morogoro road na Samnujoma road zınapıgwa dekı: Kwelı Obama Nomaaaaa.....! Tutashuhudıa mengı
KUPIGWA DEKI imekuwa kana neno la utani na mizaha, eleza wanachofanya ninini ili wasomaji wajue!
Sometimes tunaexagerate mno taarifa zetu.
Nahisi huwa wanajiuliza hivi hawa watu wananini kwenye akili zao maana wanauwezo wa kufanya kila ila hawafanyiKumbe inawezekana kwa Dar Es Salaam kuwa mji msafi. Huu ujio wa Obama hapa kwetu umeleta tafsiri ya hajabu na ya kufurahisha kwa tunaoishi hapa Dar. Jiji limekuwa safi mpaka mtu unaona haibu, yaani usafi kila kona ya jiji, wazururaji wamefungwa au wamerudi vijijini kwani hawaonekani kuzurura tena, amani jijini imerudi, na machangu wamehamia makaburini. Sasa kama hii inawezekana kwanini tumsubiri Obama kusafisha jiji na kuleta amani? Jamani, ujinga mwingine tunajitakia wenyewe.