Maajabu: Kuwait ina walimu wanne (4) tu wa physics

Maajabu: Kuwait ina walimu wanne (4) tu wa physics

Hahahaha, unachekesha wewe, kama novel tu ukienda maktaba, kupata iliyoandikwa na mwarabu ni za kumulika na tochi itakuwaje kwenye sayansi?.... Katika kusoma kwangu vitabu nishasoma kimoja tu kimeandikwa mwarabu wa moroko, warabu wamezidiwa kwa mbali hata na wahindi

Haujui unachiokiongea wewe, unaujua mchango wa Waarabu kwenye Dunia ya Sayansi na Hisabati? isitoshe kwani Waafrika hatuna hayo Mafuta na gesi? Linganisha sasa Maisha ya raia wa Qatar, Kuwait, au Saudia na maisha ya Raia wa Nigeria, Angola, Equatorial Guinea &Co.!
 
Hahahaha, unachekesha wewe, kama novel tu ukienda maktaba, kupata iliyoandikwa na mwarabu ni za kumulika na tochi itakuwaje kwenye sayansi?.... Katika kusoma kwangu vitabu nishasoma kimoja tu kimeandikwa mwarabu wa moroko, warabu wamezidiwa kwa mbali hata na wahindi


Na zetu Waafrika unaona ngapi ukilinganisha na za Waarabu? Na kwa nini unataja Wahindi kwani sisi ni Wahindi? Linganisha Waarabu na sisi Waafrika, Wahindi waachie wenyewe ndo wajilinganishe na Waarabu!
 
Nyinyi {waafrika/watz} mnao wasomi kibao hadi viwango vya uphd,je mna kipi cha kujivunia dhidi ya waarabu .......Au ndio hiyo anazungumziwa mwarabu unamuingiza mzungu .......Sio ujilinganishe wewe na mwarabu,ila unampambanisha na wenzako,kisha unajiona wewe ni msomi .......?
 
Kama hujui mchango wa afrika kwenye tasnia ya taaluma unamatatizo ya ubongo

Na zetu Waafrika unaona ngapi ukilinganisha na za Waarabu? Na kwa nini unataja Wahindi kwani sisi ni Wahindi? Linganisha Waarabu na sisi Waafrika, Wahindi waachie wenyewe ndo wajilinganishe na Waarabu!
 
Kama hujui mchango wa afrika kwenye tasnia ya taaluma unamatatizo ya ubongo
Kweli ndugu, taaluma ni nyenzo ya kujikwamua na umasikini na kuendeleza taifa husika kuelekea maisha bora.

Uwezo wa Afrika ktk kujikwamua na umasikini umewafikisha hapa:
upload_2017-1-26_11-19-39.png

Hizo ni poorest contries in the World

Kisha linganisha na position ya nchi hizo unazoziponda hapa:
upload_2017-1-26_11-21-11.png

N.B: Huwezi kuelewa kama akili yako haiko huru, ipo kifungoni.
 

Attachments

  • upload_2017-1-26_11-5-13.png
    upload_2017-1-26_11-5-13.png
    14.9 KB · Views: 54
Hao wazungu mbona hawaji kutuletea maendeleo na sisi kama wanavyofanya kwa waarabu? Money talks wana hela let money work for them.
Lancanshine, soma historia ujue katika kipindi cha ukoloni ni nani alikuwa na makoloni mengi.Bila shaka ni mzungu hasa Mwingereza,ukoloni ulikwisha lakini sasa kuna aina nyingine ya ukoloni ambao ni mkali zaidi kuliko wa zamani ambao ni UKOLONI MAMBO LEO.Mzungu huyo huyo sasa ameizingira dunia nzima kwa mtindo wa huo.Nchi za dunia ya tatu kama za Kiarabu na Afrika ambazo ndizo zinazoongoza kwa ujinga zimekaliwa kooni na wazungu.Kule Uarabuni wazungu wananyonya mafuta yote, wakati huku Afrika wanakomba madini na rasili mali zingine kwa kasi.Waarabu wanalegezwa nguvu kwa kugawanywa na baada kugawanyika wameanza kutwangana wenyewe kwa wenyewe,angalia Libya,Syria,Yemen,Afghanistan, Iraq nk.moto unawaka na hakuna wa kuzima.Huo ndio ukoloni mamboleo ambao umetanda kwenye mataifa dhaifu na yasiokuwa na elimu tegemezi.Mzungu ndio money talks anakugeuza geuza kama chapati kwa sababu unamtegemea kwa kila kitu.
 
Prof,unachoongea bado h ukijui hata chembe moja,natural resources kibao za Kuwait na nyinginezo za Uarabuni ni sawa na Msukuma na almasi.Yeye atazitumia kuchezea bao kwa sababu hawezi kuzi-transform kwenye matumizi mengine ya kumletea tija kwa sababu hana elimu yeyote.Mafuta na gesi ya Uarabuni yanagundulika chini ya ardhi kwa kutumia vifaa maalum vya wazungu,na kuchimbwa wanatumia vifaa vya wazungu.Miundo mbinu yote Uarabuni inafanywa na wazungu,majengo mazuri yote Uarabuni yanajengwa na wazungu,vifaa vyote vinavyotumika kwenye shughuli yeyote ya maendeleo Uarabuni vinatengenezwa na wazungu kwa mfano magari magari mazuri,Vituo vya radio na tv na kila kizuri kilichopo kule ni kazi ya mzungu!!!.Hata chakula anachokula Mwarabu kinazalishwa na wazungu kwa sababu kwao ni jangwa.Hata kama wangekuwa na ardhi yenye rutuba wangetumia matrekta ya wazungu kulimia mashamba.Nguo zote anazovaa Mwarabu anatengenezewa na wazungu.Mwarabu popote alipo ni sawa na kiwete,amwombe sana Mungu wake hawa watu waendelee kumbeba!!!!.Kitu cha kushangaza wakati Mwarabu hana uwezo wowote wa maarifa ya sayansi na teknolojia anatapatapa kutaka kuongoza dunia,ataongozaji dunia kupitia mgongo wa maendeleo wa mzungu?? Hivi sasa Waarabu wote wanapigana vita kali ya wenyewe kwa wenyewe huku wakiharibu kila kitu kwa kutumia zana bora as kivita zilizotengenezwa na wazungu,huu sasa ndio utumwa mbaya kabisa,utumwa wa kukosa akili na maarifa!!!!.
Mkuu Tyupa, pitia tena nilichokiandika, then ulinganishe na comment yako! ni sawa na mtu anayetoka Dar kwenda mwanza kupitia central Tanzania na mwingine akapitia kaskazini. wote watafika mwanza! katika modern world, kunyonywa (exploitation) hakuepukiki! kuwait wana mafuta ingawa hawana technology ya kuyachimba. Nigeria, Angola wote hao wana mafuta lakini maisha yao yakoje? Tanzania ina madini karibia yote lakini uchumi wake ukoje? Tanzania ina Engineers wakila calibre lakini miundombinu yetu ikoje? na nani anatujengea barabara kama siyo mchina etc...! Mzungu alishatutangulia kwenye science and technology na haepukiki! kama ambavyo kuwait anamtegemea mzungu ili aendelee kiuchumi...the same na hapa Bongo! hela ya mzungu ndo ina subsidize budget yetu ili mambo yaende sawa. Kwa nchi kama south Africa na botswana wananufaika na rasilimali kwa kuwa wanaweza ku bargain na investors on 50/50 basis....!kwa upande mwingine nchi kama kuwait and other OPEC members wananufaika na rasilimali yao (OIL) kwa kiwango kinachoonekana tofauti na mwadui or Geita....na hapo ndo tofauti ya waarabu na sisi waswahili kwenye usimamizi wa rasilimali.....!
 
Hawa jamaa bado wananyonywa na America yaani hwajapewa muda wa kupumua kuwait miundo mbinu bado madaraja yale yale ya miaka ya tisini bado kuna matundu ya risasi yaani kuna baadhi ya mitaa ni kama kigamboni Raia wengi walikimbia kipindi cha vita wakati kuwait ilipo vamiwa na Iraq,hawataki kurudi yaani ni kama somalia wengi waliozaliwa kipindi cha kuanzia 1990 mpaka leo hawajui kusoma wala kuandika ina population ndogo sana,kuanzia hapo kila kitu ni mmarekani ukiingia kuwaiti wanalo jeshi dhoofu sana,Sadam aliwapiga vibaya sana alitaka kuifanya kuwait iwe ni state ndani ya iraq ingekuwa sio america wangeisha,na wanazalisha gesi na mafuta kwa kasi ya ajabu sasa jiulize kwanini mpaka leo hawana shule.
Acha kuifananisha Kigamboni na mambo ya kijinga wewe...halafu Kuwait ni level nyingine, hawagusiki wale
 
Lakini wewe siyo Mzungu! Tatizo ninaloliona hapa ni kwamba wengi wenu mnajiweka kwenye nafsi ya Mzungu, lkn nyie ni Waafrika hivyo kama mlitaka kumcheka Mwarabu mlipaswa mmlinganishe na sisi Waafrika, na siyo kumuingiza Mzungu, hayo ya kulinganisha Mzungu na Mwarabu muachie Mzungu mwenyewe lkn siyo sisi Waafrika!
Mimi.siwaelewi.elewi humu ndan
Wamisri
Moroco
Liby
Tunisia
Algeria nk
.hao ni waafrika na.niwaarabu pia

Kwanini msiwe mnasema wa Asia na wafrika??
 
Hiyo source ya habari ndio shida,Radio Tehran.Iran na Kuwaiti ni maadui(Washia na Wasuni) ,hiyo habari inaweza kuwa ya kupikwa.
 
Yani nyie watu mnachuki sana pind mnaposikia waarabu na jna Islam
Chuki chuki chuki mnanikela sana .
Mwarabu anachukiwa kwa sababu yeye ndie kinara wa chuki.Hakuna mzungu mahali popote wanapopigana vita,no Waarabu pekee kila kona ya dunia ndio wanakung'utana,wanachapana kwa sababu ya chuki,wanajitoa mhanga na kujilipua kwa sababu ya chuki,wanaeneza ugaidi dunia nzima kwa sababu ya chuki.Kwa hiyo mtu mwenye chuki hawezi kupendwa.
 
Mimi.siwaelewi.elewi humu ndan
Wamisri
Moroco
Liby
Tunisia
Algeria nk
.hao ni waafrika na.niwaarabu pia

Kwanini msiwe mnasema wa Asia na wafrika??
Waarabu walioko Afrika watabaki kuwa Waarabu wanaokaa bara la Afrika.Waamerika weusi ambao ni Waafrika walioko Amerika kamwe hawezi kuwa Wazungu.
 
Mkuu Tyupa, pitia tena nilichokiandika, then ulinganishe na comment yako! ni sawa na mtu anayetoka Dar kwenda mwanza kupitia central Tanzania na mwingine akapitia kaskazini. wote watafika mwanza! katika modern world, kunyonywa (exploitation) hakuepukiki! kuwait wana mafuta ingawa hawana technology ya kuyachimba. Nigeria, Angola wote hao wana mafuta lakini maisha yao yakoje? Tanzania ina madini karibia yote lakini uchumi wake ukoje? Tanzania ina Engineers wakila calibre lakini miundombinu yetu ikoje? na nani anatujengea barabara kama siyo mchina etc...! Mzungu alishatutangulia kwenye science and technology na haepukiki! kama ambavyo kuwait anamtegemea mzungu ili aendelee kiuchumi...the same na hapa Bongo! hela ya mzungu ndo ina subsidize budget yetu ili mambo yaende sawa. Kwa nchi kama south Africa na botswana wananufaika na rasilimali kwa kuwa wanaweza ku bargain na investors on 50/50 basis....!kwa upande mwingine nchi kama kuwait and other OPEC members wananufaika na rasilimali yao (OIL) kwa kiwango kinachoonekana tofauti na mwadui or Geita....na hapo ndo tofauti ya waarabu na sisi waswahili kwenye usimamizi wa rasilimali.....!
Nashukuru kuelewa kuwa maendeleo ya Kuwait na nchi zingine za Kiarabu zinawategemea wazungu.Mgawanyo wa 50% kwa 50% unaofanywa na wawekezaji na hizo serkali za Kiarabu huo ni mfumo wa sera zao kiuchumi ambazo ziko tofauti na sera zetu.Na wahandisi wengi tulionao sisi Waafrika au Waarabu ni wahandisi ambao si tegemezi kama wahandisi wakizungu.Wahandisi wa kizungu atatengeneza mwenyewe mitambo ya kuchimbia chuma,akichimba chuma atakifinyanga yeye mwenyewe kuwa injini ya gari au mtambo.Kila kitu anachokitumia atatengeneza yeye mwenyewe.Lakini mhandisi wa kwetu atakarabati vitu ambavyo tayari vimeundwa.Kwa hiyo hapo uhandisi au elimu hii si elimu tegemezi.
 
Mdomo mali yako. Na Jf ni Bure kwa hio kuropoka Ruksa.
Ngoja nikusaidie elimu ya Bure.

Ktk hesabati Kuna Somo liitwali ALGEBRA na . algorithm.

Na bila somo.hilo wewe usingeweza kutumia hicho ulichotumia kuandika Utumho huu. Na.kukashifu watu usiowajua na usio na elimu.nao.

Je! Unamjua founder of Algebra na algorithm?

Huyu si mwingine bali ni Muhammad ibn Musa al-Khwarizmi.

Sasa kamsome huyu Baba wa mahesabu ili siku nyingine ushike adabu yako kutukana walio kufungueni fahamu mpk kiumbe km wewe ukaweza kujua hata "1" maana yake nini.

Na huyo ni mmoja tu ya WAARABU kati ya mamia waliokuwa Founders of Great inventions in this planet.

Soma kabla hujaanza kupayuka km mlevi kijana.
Duu, jamani humu kweli kuna watu wamebobea kwa uongo.Hivi ni tangu lini Mwarabu akawa kwenye list ya great inventors.Tafadhali tuorodheshee huo ugunduzi tuoone,labda ugunduzi wa majini.
 
Maendeleo yote Kuwait na nchi zingine zote za Kiarbu yanafanywa na Wazungu.Mwarabu hana uwezo hata wa kutengeneza pini ya kubania nepi.Katika watu weupe Mwarabu ni wa mwisho duniani katika medani ya sayansi na teknolojia ingawa sisi Waafrika kwa wote ndo tunaongoza.Katika vitu vyote anavyotumia mwanadamu katika maisha yake yote vimegunduliwa na vinatengenezwa na mzungu.Sababu kubwa ni kwamba shule na Mwarabu ni kama paka na panya.Ndio maana Kuwait kama jamaa alivyosema nchi nzima ina walimu wa fizikia wa nne tu.Wakati mzungu anafikiri jinsi ya kuweka makazi ya watu mwezini yeye Mwarabu anawaza majini na vitu vya kufikirika na kusadikika.
Mzungu ni mtumwa kama watumwa wengine wanaolipwa na waarabu kwa sababu waarabu wana pesa, kwa nn wasiwatume tu, hata wewe ukitaka nenda kaombe kazi kama unazo qualifications , lakini inaonekana ni kilaza sana maana hujui hata historia ya sayansi kaivumbua nani,akina algebra uliza wacha kukurupuka tu
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] si kwa povu hili.. Unajibu as if wewe ni muarabu.. Waislam bana kwa kuwatetea MABWANA ZENU hamjamboo[emoji13]
Kama wagalatia wanavyokumbatia wakoloni, bila waislam nchi hii mpaka leo wazungu wasingeondoka,
 
Mwarabu anachukiwa kwa sababu yeye ndie kinara wa chuki.Hakuna mzungu mahali popote wanapopigana vita,no Waarabu pekee kila kona ya dunia ndio wanakung'utana,wanachapana kwa sababu ya chuki,wanajitoa mhanga na kujilipua kwa sababu ya chuki,wanaeneza ugaidi dunia nzima kwa sababu ya chuki.Kwa hiyo mtu mwenye chuki hawezi kupendwa.
Chuki ipo tu, Leo hii akifanya kosa mwarabu na kosa hlohlo akafanya mzungu/muisrael mwarabu atasemwa sana kuliko hao wengne na kutaka kukashifu dn ya watu watataja hadi dn yake (muislamu) lkn shoga muisrael/mzungu hawawezi kutaja dn yake (mkristo) , sasa kama wao mnawasema kwa mabaya kwann wasiwachukie kuna mtu katoa mfano wa waanzilish wa algebra na algorithm lkn hawaamn wanataka wasikie mzungu , Jiulize kwa nn mchango wa waarabu hauzungumzwi wala kuandikwa katka vtabu vng? , naomba ukafatilie jina hili IBN SINA kisha uniambie kaandikwa katika kitabu kipi cha medicine . HISTORY YA WAARABU INAFICHWA NA KUWAFANYA WAONEKANE WAJINGA , WAIRAN WALIKUWA NA SKILLS ZA KUTENGENEZA MABOM DUNIA IKAWAANDAMA NA KUWAANGAMIZA WATAALAM WAKE,,,, KWENYE UKWEL NITASEMA TU WAKRISTO TUMEJAZWA CHUKI ,,,
USIRUHUSU DN YAKO IINGILIWE FIKRA ZAKO
 
Back
Top Bottom