I doubt kama utakuwa umesikia vizuri! Labda useme walimu 4 ambao ni Wakuwait lakini sio total teachers.Mkuu wa kamati ya bajeti katika bunge la Kuwait, Adnan Abdulsamad ametahadhrisha kuwa hivi sasa kuna walimu wanne tu nchini humo wanaofundisha somo la Fizikia na kusisitiza kuwa idadi hiyo haikubaliki kwa namna yoyote.
Kuwait ni kanchi kadogo sana kenye utajiri mkubwa wa mafuta na kwahiyo wana uwezo wa kuajiri walimu toka popote pale duniani!