Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,666
- 6,742
Igweeeeeee
Hii nchi ukiifikiria kiundani utaishia kulaani wazazi wako kukuzaa bongo
Nimepata kwenda kumtembelea rafiki yangu ana site yake huko goba, mji umepangika vizuri na watu wanaishi maisha standard ikiwa na ujenzi wa kisasa kabisa
Ajabu ya eneo hili goba mageti hususani upande huu wa Nashpark paris hadi muhimbili na maeneo baadhi kwa robati hakuna internet kabisa
Yaani imenifikirisha sana, inawezekanaje sehemu ndani ya jiji kama dar es salaam halina network? Kweli tuko gizani
Hili kwangu ni ajabu
Hii nchi ukiifikiria kiundani utaishia kulaani wazazi wako kukuzaa bongo
Nimepata kwenda kumtembelea rafiki yangu ana site yake huko goba, mji umepangika vizuri na watu wanaishi maisha standard ikiwa na ujenzi wa kisasa kabisa
Ajabu ya eneo hili goba mageti hususani upande huu wa Nashpark paris hadi muhimbili na maeneo baadhi kwa robati hakuna internet kabisa
Yaani imenifikirisha sana, inawezekanaje sehemu ndani ya jiji kama dar es salaam halina network? Kweli tuko gizani
Hili kwangu ni ajabu