Lulu anachukiwa na wengi kwa matendo yake ambayo si ya kawaida kwa mtoto wa umri wake. Ufuska wa kutembea na kina Komba wa kwaya, ritz 1, waarabu na pia ujasiri wake wa mambo magumu isivyo kawaida. Ni kweli lulu siyo wa kawaida. Lakini alaumiwe pale anapokuwa kaharibu na bila kuwaacha waharibifu wenzie kama hlo ji babu komba la ccm.
Kumtukana kila wakati hata pale hajakosea, inamfanya awe sugu kwa kujua hata asipokosea yeye hutukanwa tu kwa sababu ni Eliza. Hata siku amekosea ukamwonya, hawezi kujua ni wakati upi anasemwa kwa makosa na wakati gani ni kwa hobby ya watukanaji.