excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,862
Last edited by a moderator:
Wapi kawaida? hebu tujaalie uko nyumbani kwako una kabiti chako cha miaka 17 mpaka 20 , halafu wamekuja vijana (rafiki /jirani)kukutembelea , kabinti kako kanapitapita ukumbini ,je utaridhika na uchokozi wa nafsi wanofanyiwa hao vijana na hako kabinti kako? au mke alete hizo mambo mbele ya wageni/rafiki zako?Mbona mimi sijaona cha ajabu sana hapo mkuu?
Sehemu za kifua kuonekana ni jambo la kawaida, ili mradi hayuko kanisani au msikitini.
Mkuu zimenyonywa mpaka zimekuwa manefelanefela! Mtoto mdogo wa 20 yrs yanakuwa hivyo? Hovyo kabisa!!!!
Jamani I miss u,umeadimika sana... 12th of September