Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 71
mukama ameelezea utekezaji wa falsafa ya kujivua gamba.sekretariat ya chama ilijivua gamba pamija na kamati kuu
Amiri jeshi mkuu gani anaanguka hovyo hovyo.
Mods mpigeni huyu ban,unakumbuka nape aliwaambiaje mwanza,.......ukuta.jaza.
Ahutubie akiwa amekaa inaruhusiwa jamani. Hawa jamaa zake ndio wanamwangusha. wanajua jamaa hajapumzika tangu lini lakini wanam-over work. Waache ni mbaya. Wamwekee ratiba na wahakikishe inafuatwa. Obama mwenyewe anafuata ratiba. Wakiona amechoka wamkalishe bana. HATUTAKI AIBU KIMATAIFA
Najua usiku leo utakoma,ngoja wamalize,utachubuliwa vibaya!watch out!we nyumba ndogo ya mbowe unasemaje wewe.naona jamaa amekuacha kidogo umeanza kuwashwa
Dr. Bana yule msomi kilaza anayenunuliwa kwa sahani ya ubwabwa kuongea pumba!Na utalia sana kaka, dr. bana kasema mkamkashifu hakuna chama mbadala! inaelekea hukumuelea mbadala maana yake hata kama ccm sio haifanyi vyema bado hakuna altenative hivyo ni lazima watu wachague ccm.
Vyama vya kikanda,kidini na kieneo havina nafasi katika taifa hili.
Notę: kashauri wana ccm washughulikie na ya kwao, ya wapinzani wayaache, wawaachie wenyewe