masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,813
- 16,864
Last edited by a moderator:
Thubutu mimi ni hendisamu na bado kazi napiga kama kawa.
mimi sina tatizo lolote labda hii drama hujailewa ilikoanzia, mwanamke kutongozwa ni sunna na asipotongozwa basi ana matatizo makubwa, lakini huyu ameanza tabia ya kila thread kufanya personal attack na humiliation kwa lara 1 bila sababu.
msg za huyu jamaa kumtongoza Lara 1 mimi alinionesha nikamwambia sioni tatizo wala ubaya wowote ila leo ndio baada ya jamaa kuzidi personal attack ikabidi Lara 1 azimwage hapa screen short short ndio jamaa akakimbilia kwa refa pm zikafutwa baadaye thread ikafungwa.
akitaka amani aishi maisha yake aachane na maisha ya watu, hata strippers wana waume zao.
kumbe tulipitwa wengi lol
Hahahahaaa mimi sitongozaji kwa maneno mengi KITONGOZEO changu shekeli tuu
Kundi la kwanza: Ma-handsome boys, hawa kitandani ni hovyoo kabisa, wanadhani watapendwa kwasababu ya sura zao pekee na si kugegeda.
Thubutu mimi ni hendisamu na bado kazi napiga kama kawa.
fanya mambo ya maana hachana na ngono.Hakyamama vile ulifkr uongo?
Nadhani huo ni ushauri umetoa siyo lazima uzingatiwe,cha muhimu watu wafanye utafiti wenyewe.kama kuna kaukweli fulani hivi
Kundi la kwanza: Ma-handsome boys, hawa kitandani ni hovyoo kabisa, wanadhani watapendwa kwasababu ya sura zao pekee na si kugegeda.
Kundi la pili: Wanaume wenye pesa, hawa wanadhani watapendwa kwa pesa zao hivyo hawana time ya kutumia nguvu zao nyingi kwenye kugegeda, pesa inaongea.
Wanawake wengi wanaotembea na makundi hayo hapo juu huchepuka kwa lengo la kutafuta kuridhishwa kimapenzi.
Kundi la mwisho: ni ndugu zangu namimi, sio mahandsome na wala hatuna pesa... aisee, mwanamke usimuachie mbunye mwanaume wa aina hii... lazima iote sugu, tena utakimbia na chupi mkononi, atakusugua mpaka utasikia raha baadae itakuwa maumivu na kero.
Wanaume hawa kwakuwa hawana pesa wala si mahandsome hivyo wao silaha yao ni kugegeda tu, hapo ndipo wanapochukua marks zao za bure. Wanawake wanaogegedwa na hili kundi la hawa jamaa mara nyingi huchepuka kutafuta mabwana wa kupiga nao picha na wenye pesa. Ila kwa kugegeda hili ndio kundi linaloongoza Tanzania na Africa mashariki na kati.
..............................................
UPDATE: Nimeulizwa sana swali kwamba "wewe MCHUNGUZI HURU umejuaje kuhusu hilo swala"
Kiufupi ni kwamba, mimi ni mchunguzi, na nimebobea katika hili swala. Hivyo kwa kutumia njia zangu za kiuchunguzi nilifanya mahojiano na wanawake tofauti na nikabaini hayo niliyowasilisha hapo. Kubali au Kataa, wanaume ma-handsome hawana lolote kitandani, wanatumika kupiga picha tu.
....................
MCHUNGUZI HURU
kusimamia show kipaji, lishe na ukanda, naishia hapo.
Hakyamama mods wana hila na macho Yangu my Wii!si waneifuta!
Sasa kuwakomesha ukiniquote hii post uniwekee!
This is family business no one mess with Mke wetu and get away with it!
Eti OLESAIDIMU?
hahahahhahahhahah kweli bhana huwezi bishana na mtu alietafini kwa vitendo.