Ma-handsome hawana lolote kitandani

Ma-handsome hawana lolote kitandani

mimi sina tatizo lolote labda hii drama hujailewa ilikoanzia, mwanamke kutongozwa ni sunna na asipotongozwa basi ana matatizo makubwa, lakini huyu ameanza tabia ya kila thread kufanya personal attack na humiliation kwa lara 1 bila sababu.

msg za huyu jamaa kumtongoza Lara 1 mimi alinionesha nikamwambia sioni tatizo wala ubaya wowote ila leo ndio baada ya jamaa kuzidi personal attack ikabidi Lara 1 azimwage hapa screen short short ndio jamaa akakimbilia kwa refa pm zikafutwa baadaye thread ikafungwa.

akitaka amani aishi maisha yake aachane na maisha ya watu, hata strippers wana waume zao.

mmmmh aiseee
 
mimi sina tatizo lolote labda hii drama hujailewa ilikoanzia, mwanamke kutongozwa ni sunna na asipotongozwa basi ana matatizo makubwa, lakini huyu ameanza tabia ya kila thread kufanya personal attack na humiliation kwa lara 1 bila sababu.

msg za huyu jamaa kumtongoza Lara 1 mimi alinionesha nikamwambia sioni tatizo wala ubaya wowote ila leo ndio baada ya jamaa kuzidi personal attack ikabidi Lara 1 azimwage hapa screen short short ndio jamaa akakimbilia kwa refa pm zikafutwa baadaye thread ikafungwa.

akitaka amani aishi maisha yake aachane na maisha ya watu, hata strippers wana waume zao.

Mkuu issue hizi haina haja ya kuongea hapa..

Hamna mwanamke asiyetongozwa humu kama jamaa kamtongoza demu wako na umejua unaachana nae tu.

Mademu wenyewe hawa leo utagombana na watu kesho mnaachana.
 
maneno ya faraja kwa maskini mwenye sura mbaya hayo zaidi ya hapo hakuna lolote...
umesahau kundi la handsome, anahela, gym fresh mwili safi, anakula vizuri kwenye game anapeleka vizuri sana... Kama unahisi hili kundi halipo kawaulize wadada, we mwanaume unakuja na classificationnya aina za wanaume umetoa wapi? we unagegedwa kwani?
 
Nakuelewa sana kaka mkubwa ila najua una uwezo wa kulimaliza hili bila kujaza shendele!!!!!
Atakuwa kakuelewa, cha maana angalia yako na mywife wako mtarajiwa chekini kurasa za mbele!!!!

nakuheshimu mkuu lakini with only one condition aachane kumattack Lara 1, I will be useless man if can't protect my woman.

ni ruksa washindane kwa hoja kwenye topic na siyo kuingilia maisha ya mtu.
 
episodes za mwanzo zilishuhudia mitongozo ya pm live katika screenshots mapema asubuhi..what the heck aisee!!

Mkuu zilinipita unajua ka-smart4ne kangu toka jana jioni hakaleti notification ... sijui kwann
 
Mkuu issue hizi haina haja ya kuongea hapa..

Hamna mwanamke asiyetongozwa humu kama jamaa kamtongoza demu wako na umejua unaachana nae tu.

Mademu wenyewe hawa leo utagombana na watu kesho mnaachana.

wewe mbona mgumu sana kuelewa? ni wapi nimelalamika demu kutongozwa? hivi huwa mnasoma kweli kabla kucomment?
 
nakuheshimu mkuu lakini with only one condition aachane kumattack Lara 1, I will be useless man if can't protect my woman.

ni ruksa washindane kwa hoja kwenye topic na siyo kuingilia maisha ya mtu.

Sure thy should be protected!!!!!

As well mamah anaweza weka kwa ignore list nawe pia then mkawa na amani na furaha
 
mkuu licha ya wanawake kuwa wengi hivi huku wakizidi kushuka bei kuna watu bado wanagombania wanawake ?
Halafu zile siri za PM zinavujishwa teh teh
kuna siku maajabu yatashangaa vituko vya binadamu.

teh teh teh

Aisee kumbee..!
 
nakuheshimu mkuu lakini with only one condition aachane kumattack Lara 1, I will be useless man if can't protect my woman.

ni ruksa washindane kwa hoja kwenye topic na siyo kuingilia maisha ya mtu.

Blaza u are way too old for this ujuee!
Ishapita hiii tupa kule
Aaaand If at all Lara ndo piko kikweli will you puleeez make zis puraivet!
Itakusave vitu vingi sana blaza!
 
Back
Top Bottom