Ma-handsome hawana lolote kitandani

Ma-handsome hawana lolote kitandani

Kwa jinsi ulivyo pimbi umeshindwa hata kunyambua sentensi dogo kama hii.



Unadhihilisha wazi ni jinsi gani ulivyo katahira ka kiwago cha juu kabisa.

Nikiendelea kubishana na wewe ni kutharirisha utu wangu, maana wewe unasumbuliwa na bahele, mimi mzee wa zamani niliecheza na mamayo enzi hizo nitaweza wapi kubishana na kivulana.





Unadhihilisha wazi ni jinsi gani ulivyo katahira ka kiwago cha juu kabisa.

Nikiendelea kubishana na wewe ni kutharirisha utu wangu, maana wewe unasumbuliwa na bahele, mimi mzee wa zamani niliecheza na mamayo enzi hizo nitaweza wapi kubishana na kivulana.[/QUOTE]

stress zako peleka mbele huko wewe nani unipangie mimi cha kuandika? kwendraaaaa

uzee wako usiniletee mimi mimi siyo nilisababisha ukaanda uzee wako uzeeke vizuri na miradi yako. unajivika uzee sasa hapa mmu unatafuta nini? wewe si bure uliruka step ya makuzi inakusumbuwa sasa. hebu kafie uyole huko.
 
hakuna uhusiano wowote, sura nzuri, pesa na kazi kitandani ni three idependent factors, kuwepo kwa factor moja hakuhusiani na kuwepo kwa factor nyingine. MCHUNGUZI HURU
 
hahahhahahaha nimekusamehe tayari!
kumbe una stress za kunyimwa mkopo?
hakyamama JF kweli kichaka!
kwa hiyo unaamini wote humu tuna omba mikopo ya vyuo?
mxiiiiiiiiiiou
sura kama unapiga mswaki!

haahahaahaah uwiiiii eti sura kama unapiga mswaki
 
Back
Top Bottom