Phlagiey
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 3,499
- 1,687
Hata mimi shahidi...tehe
He!he!he! haya mwaga ushahidi hapa kila mtu aone..
Hata mimi shahidi...tehe
hivi Wii Ennie yupo
mchunguzi huru wewe ni wa kike? kuna shuhuda tunategemea kuzipata kwa wahusika wenyewe.
Hata masista duu nao wale wale
kumbe tulipitwa wengi lol
Huu umaarufu wa kuweka sredi nyingi JF unawapeleka kubaya!
Sasa hapa nikikuuliza ushaona performance za mahandiii wangapi utarusha ngumi!
Vp kuhusu madushe yao ?marefu mafupi?.
Enh ndo maswali unataka tukuulize!,na uyajibu!
fanya mambo ya maana hachana na ngono.
mimi sina tatizo lolote labda hii drama hujailewa ilikoanzia, mwanamke kutongozwa ni sunna na asipotongozwa basi ana matatizo makubwa, lakini huyu ameanza tabia ya kila thread kufanya personal attack na humiliation kwa lara 1 bila sababu.
msg za huyu jamaa kumtongoza Lara 1 mimi alinionesha nikamwambia sioni tatizo wala ubaya wowote ila leo ndio baada ya jamaa kuzidi personal attack ikabidi Lara 1 azimwage hapa screen short short ndio jamaa akakimbilia kwa refa pm zikafutwa baadaye thread ikafungwa.
akitaka amani aishi maisha yake aachane na maisha ya watu, hata strippers wana waume zao.
Kwani mleta mada ni jinsia gani mwalimu?
hahahhahahaha nimekusamehe tayari!Hebu tuanze kujadili kwanini wanajiunga vyuo vikuu kwa kutumia diploma hawapewi mikopo na bodi?
Nlitegemea wewe uniambie kilichojiri. Kumbe nawe ulipitwa?
Sitegemei haya maneno yatoke kwenye kinywa cha mtu mzima anaejitambua, lazima atakuwa ni mvulana anaesumbuliwa na barehe ndio atakuwa kayaandika haya maneno.
we naeeee
kwani kuntafuta saba mara sabini shing ngaaapi?
Ni bure kabisaaaaaaa. Nakutafuta hutafutiki ujue
Sasa nimeelewa. Nimeikumbuka siredi yako moja hivi...Big up MCHUNGUZI HURUAm proud of my handsome husband,
Kwa jinsi ulivyo pimbi umeshindwa hata kunyambua sentensi dogo kama hii.hivi ni nani anayetumia kinywa kuandika hapa jf? akili yako ndogo na hujielewi, dandia treni acha kudandia watu.
kama ni balehe au uvulana or whatever anaujuwa lara 1. au ungependa kumsubstute ili uwe shuhuda wa balehe yangu?
Sitegemei haya maneno yatoke kwenye kinywa cha mtu mzima anaejitambua
Kwa kifupi kabisa naweza kusema MMU imegeuka Bunge Maalum la Katiba ndogo....
Ngoja niwahi kaunta ya juu kwenye screen kubwa.