Ma-handsome hawana lolote kitandani

Ma-handsome hawana lolote kitandani

naweza kumtetea mtoa mada MCHUNGUZI HURU kuna chunguzi zingine huambatana na stori zinazo zagaa mtaani kuhusu aina ya watu
wadada nyie ndio chanzo cha haniridhishi vibamia hivi kwa akili yenu nyie mnao hoji wanaume tunachunguliana nyuchi ?
kumbukeni hakusema wote hivyo kwa namna moja au nyingine namuunga mkono na miguu mtoa mada
 
Last edited by a moderator:
Nyie mnaouliza jinsia ya mchunguzi huru mna shida. anaweza akawachukua ke kadhaa na me wa aina anayoitaka kisha akaangalia ni ke waliokutana na me gani walioridhika zaidi.
Wakati huo SI unit ya kuridhika ikiwa ni nini???!!
 
Mm sijui kama ni handsome au la?

Perfomance yangu inabidi nimpate mtu humu halafu ataleta mrejesho kama ni Div 1 au Div 5
 
Najitolea kuwa laizmeni

mkuu licha ya wanawake kuwa wengi hivi huku wakizidi kushuka bei kuna watu bado wanagombania wanawake ?
Halafu zile siri za PM zinavujishwa teh teh
kuna siku maajabu yatashangaa vituko vya binadamu.

teh teh teh
 
uzushi huo ww kama unalisura libaya ndo ujitetee iv..poor
 
Sio mpango kaka!!!!

Let the by gones be so!!!!!

mimi sina tatizo lolote labda hii drama hujailewa ilikoanzia, mwanamke kutongozwa ni sunna na asipotongozwa basi ana matatizo makubwa, lakini huyu ameanza tabia ya kila thread kufanya personal attack na humiliation kwa lara 1 bila sababu.

msg za huyu jamaa kumtongoza Lara 1 mimi alinionesha nikamwambia sioni tatizo wala ubaya wowote ila leo ndio baada ya jamaa kuzidi personal attack ikabidi Lara 1 azimwage hapa screen short short ndio jamaa akakimbilia kwa refa pm zikafutwa baadaye thread ikafungwa.

akitaka amani aishi maisha yake aachane na maisha ya watu, hata strippers wana waume zao.
 
mimi sina tatizo lolote labda hii drama hujailewa ilikoanzia, mwanamke kutongozwa ni sunna na asipotongozwa basi ana matatizo makubwa, lakini huyu ameanza tabia ya kila thread kufanya personal attack na humiliation kwa lara 1 bila sababu.

msg za huyu jamaa kumtongoza Lara 1 mimi alinionesha nikamwambia sioni tatizo wala ubaya wowote ila leo ndio baada ya jamaa kuzidi personal attack ikabidi Lara 1 azimwage hapa screen short short ndio jamaa akakimbilia kwa refa pm zikafutwa baadaye thread ikafungwa.

akitaka amani aishi maisha yake aachane na maisha ya watu, hata strippers wana waume zao.

Nakuelewa sana kaka mkubwa ila najua una uwezo wa kulimaliza hili bila kujaza shendele!!!!!
Atakuwa kakuelewa, cha maana angalia yako na mywife wako mtarajiwa chekini kurasa za mbele!!!!
 
Back
Top Bottom