kwanza mimi jf app for android kwangu sasa hivi haifunguki, nimeuninstall na kuinstall upya hola, natumia opera mini na mozira, hakuna notification zaidi ya pm wa access ya like button mpska naonekana kama mchoyo wa kutoa like.
nimecheka sana hii post nilikuwa sijaiona, take it easy we can talk any time, ni munkari tu umempanda ngoja nimchukulie chupa ya dompo alirelax.
hahaha wakati wengine wana vipaji vya kuimba, kuigiza, si vipaji vyetu ndio hivyo
kwanza mimi jf app for android kwangu sasa hivi haifunguki, nimeuninstall na kuinstall upya hola, natumia opera mini na mozira, hakuna notification zaidi ya pm wala access ya like button mpaka naonekana kama mchoyo wa kutoa like.
kwa heshima na ushauri wa wazee wenzangu OLESAIDIMU and my sisters wacha nikuweke kiporo tu.
the most important am the king na ndio nammega nakula mema ya nchi mbinguni mahesabu tu.
nenda full site utakuta mwonekano wake kama wa kwenye kompyuta hapo utaona notification ila kuchangia lazima urudi touch site au wapsite
hahaha naona unautumia msemo wa mpwa ipasavyo....
Wenye sura tafarani wataushadadia kweli huu uzi.
kwa heshima na ushauri wa wazee wenzangu OLESAIDIMU and my sisters wacha nikuweke kiporo tu.
the most important am the king na ndio nammega nakula mema ya nchi mbinguni mahesabu tu.
Utadhani mmekosa nini sijui!!!!?????
Hivi nyie dada zangu. ...mna kipaji eeenh???!!!
Poor me!!!!Yani nawashwaje macho!.
Sina tu namna !.
Vipaji vingine ni inborn blaza sema tu ndo hivo
WHAAAAAAAAT.? So you think i deserve their wrath? Reallly? Take back your oders or i will have to disobey you my King! MY HONOR IS AT STAKE HERE! Please reconsider my lord!
mchunguzi huru we ulijuaje hayo yote
Nimekuekea tenaa wahi sasa cc Khantwe!Hhaahaahhaaha umejuaje aisee kweli wewe uko vikosi vyote vya anga,cha farasi,cha majini duuu thanx sana
aisee nilikosa uondo sikuona huo uzii asubuhi mods na wenyewe wikiend yote hiii kuamka asubuhi ahaaa