Ma-handsome hawana lolote kitandani

Ma-handsome hawana lolote kitandani

Poor me!!!!
We festi boni wao tena nkajua labda hata kwa kulumagia tu kumbeeeee danh!!!
Toa khanga zooote kabatini ukune hayo macho sasa
Kipaaaaaaji blaza !
Talent!
Kuna wanaojifunzia ukubwani ila ukizaliwa nacho ndo jora zima la kanga bado hayataacha kuwasha!
Hiv JF haina kitengo cha Archives?
Nsaidie dogo hii ni high matters of State!
 
Ubwege ni kuhisi unajua kitu usichokijua, unafaham maana ya uchunguzi? uchunguzi na research vipo sawa?
We pimbi kweli kweli.. unapotoa statement kama hiyo yaka inayohusu generalization hiyo ni rsearch maana inahusisha kukusanya taarifa na kutoa report kama ulichokiandika hapo kwenye hiyo mada yako. wewe ndo unatakiwa ueleze tofauti ya uchunguzi na research, sina mda wa kukufundisha juu ya hili maana mi sio mwalimu wako. Kaa chini ufikiri kwa kina, maana huo uchunguzi wako ni UTUMBO mtupu hauna tofauti na division five.... waachie wasomi wafanye hizi tafiti, sio kujitia wewe mchunguzi akati hujui chochote kuhusu uchunguz wala research, kujitia tu kimbelembele... Pumbaf wewe mchunguz wa kiboya. huo ubonngo wako upo hiv :flame::llama:
 
Unajidanganya!
Huwezi kujua uwezo wa watu wote,anaweza akawa handsome au ana pesa na akapiga mzigo fresh.
Sijui ww uliwajuaje?

Mbona watu hawa wako njema tuuuu ila wanagombewa sana ndio mana wanachoka ila sio kweli kabisa kwamba ni wachovu vinginevyo tutavunja kanuni ya aliyenacho ataongezewa
 
Check page no 7!

Hakyamama mods wana hila na macho Yangu my Wii!si waneifuta!

Sasa kuwakomesha ukiniquote hii post uniwekee!
This is family business no one mess with Mke wetu and get away with it!
Eti OLESAIDIMU?
 
Last edited by a moderator:
Huu umaarufu wa kuweka sredi nyingi JF unawapeleka kubaya!
Sasa hapa nikikuuliza ushaona performance za mahandiii wangapi utarusha ngumi!
Vp kuhusu madushe yao ?marefu mafupi?.
Enh ndo maswali unataka tukuulize!,na uyajibu!

Hapo kwenye red: Ndiyo namna ya kujibu watu wa namna hii. Anaponda wengine huku mwenyewe akijinadi. Tabia ya hovyo kabisa. Ati mchunguzi huru aliyebobea. Too low to read!

cc: Mchunguzi huru.
 
Back
Top Bottom