Ponda raha mkuu manake hayo matawi yenyewe hayana manufaa zaidi ya kuongeza mzigo wa matumizi kwa chama.Eti go Lema upuuzi mtupu
kashachukua pesa za cameroon uk tayari
Ponda raha mkuu manake hayo matawi yenyewe hayana manufaa zaidi ya kuongeza mzigo wa matumizi kwa chama.Eti go Lema upuuzi mtupu
Viva CDM mpaka tuntemeke anywe sumu
wakati mwingine nashindwa kuwaelewa hawa cdm, nilitegemea nisikie aelekea kijiji fulani, hawa wa majuu siunaweza kutana nao huku mtandaoni, hebu tumieni akili imarisheni chama vijijini acheni ulimbukeni kama hawa wengine.
Muda huu M4C inaenda kitongoji kwa kitongoji, mtaa kwa mtaa, nyumba kwa nyumba na KITANDA kwa KITANDA Wilaya nzima ya KILOMBERO.. Unajipya?.
wakati mwingine nashindwa kuwaelewa hawa cdm, nilitegemea nisikie aelekea kijiji fulani, hawa wa majuu siunaweza kutana nao huku mtandaoni, hebu tumieni akili imarisheni chama vijijini acheni ulimbukeni kama hawa wengine.
Baada ya kufanya uzinduz wa tawi la CHADEMA mjini london kwa mafanikio makubwa kamanda GODBLESS LEMA ameondoka nchini uingereza na kueleke katika mji wa Frankfut nchini kufungua matawi ya CHADEMA katika muendelezo wa M4C.