Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Ponda raha mkuu manake hayo matawi yenyewe hayana manufaa zaidi ya kuongeza mzigo wa matumizi kwa chama.Eti go Lema upuuzi mtupu
ukiona adui yako anatapatapa ujue umemshika pabaya, London mmemeongea yote mara waliohudhuria ni wauza unga mara ni watu kumi tena ni waccm waliokuwa wanamsanifu lema..sasa tunaenda ujerumani tafuteni ya kuongea tena lakini mnacho sahau ni kwamba chama hakikurupuki kwenda huko kufungua matawi..je umeiona nyomi ya Ifakara moro jana?