Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
Mnatumia kodi zetu vibaya, badala mfungue matawi vijijini mnakimbilia nchi za nje, hivi kuna manufaa gani huko? Naipenda chadema ila kwa mwendo napata wasiwasi nanyi. Hizo garama anazotumia ni za kwake binafsi au za chama? Si ruzuku hio? Kodi zetu? Upuuzi mtupu makamanda wangu mnaoufanya. Huku serengeti hatuna matawi ya chama, sasa hapo mnajitanua nje huku ndani pamejaa? Watz hebu tuache hizi siasa uchwara!
Wewe mwongo tu . Mbona hujawaita? Kule ulaya ameombwa kwenda kufungua matawi, ameshakwenda kutimiza wajibu huo . Akirudi opereresheni sangara inaingia huko kwenu Bwagamoyo. Mtazimia mwaka huu