Scared
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 10,887
- 17,613
Mgumu kuelewa wapi we si ulisema weekend hawaweki faida vipi na Leo sio siku ya kazi hapo hamna kituUnahitaji elimu ya kutosha sana kuhusu uwekezaji. Wewe ni mgumu sana kuelewa mkuu
Mgumu kuelewa wapi we si ulisema weekend hawaweki faida vipi na Leo sio siku ya kazi hapo hamna kituUnahitaji elimu ya kutosha sana kuhusu uwekezaji. Wewe ni mgumu sana kuelewa mkuu
Hapo hata 2% unaweza pewa na usifanye lolote kama ni staili hiyo ni utapeli Fulani hivi hamna kituHapana. Sio 13 costant ni mpaka 13% inamaana pia unaweza kuambulia 12%
Acha upotoshaji MkuuHapo hata 2% unaweza pewa na usifanye lolote kama ni staili hiyo ni utapeli Fulani hivi hamna kitu
12-13%Hapo hata 2% unaweza pewa na usifanye lolote kama ni staili hiyo ni utapeli Fulani hivi hamna kitu
Bora kuuza viazi, ujinga mtupu.Bora nianzishe kausha damu ntajua nitakavyo pambana na BOTView attachment 3158002
tofauti na utt ni 1% tu, ambayo haiwezi ikanifanya nikahamia m pesa ambako msimamizi wa mfuko hajulikani, ambapo utt kila mtu anajua inasimamiwa na hazina ya jamhuri ya muungano wa Tz
Halafu sio kila mtu anaweza fanya biashara. Mimi nimeweka huko na sijawahi kutoa. Zinaongezeka tu. Na kila mwezi naonhezea huko. Wengine ni wafanyakazi na hatuwezi kukimbizana na biashara.Hio ni passive income mzee sio biashara ya kukupa faida kila siku😆! Badala ya kuweka hela ikakaa bila kuzalisha unaiweka humo. Gawio lako la 13M kama una watoto uhakika wa ada unakuwepo bila kelele kila January.
Kweli biashara ni kipawa sio kila mtu amejaliwa kipawa hicho.Halafu sio kila mtu anaweza fanya biashara. Mimi nimeweka huko na sijawahi kutoa. Zinaongezeka tu. Na kila mwezi naonhezea huko. Wengine ni wafanyakazi na hatuwezi kukimbizana na biashara.
Ndio maana ya faida mpaka 13%. Hata ukienda dukani ukakuta punguzo mpaka 70% usiende kichwakichwa. Maana inaweza ikawa 2% pia.Upotashaji Gani kama unaweza kupata asilimia 12% ambayo wao hawajaisema basi hata asilimia 2% inawezekana
Minimum 12% maximum 13.5%Ndio maana ya faida mpaka 13%. Hata ukienda dukani ukakuta punguzo mpaka 70% usiende kichwakichwa. Maana inaweza ikawa 2% pia.
😲😲😲Ebo! 50million nayo kibunda toka lini??!!! Hela ya kubadilishia mboga hiyo.
Hela ndu gu yangu nikianzia $1million.
Chini ya hapo wee una vijisent
Unaendeleaje mkuuMgumu kuelewa wapi we si ulisema weekend hawaweki faida vipi na Leo sio siku ya kazi hapo hamna kitu
Kama kawaaUnaendeleaje mkuu
Mfuko upi huo wenye 12%? Mostly hao utt kwa mwaka ina-range 10-11%, ambayo ni pungufu kidogo ya 1% ya uwekezaji wako kwa mwezi.Kama hii tuu 12%interest mwanawane.