Mstahiki Mea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 5,581
- 10,110
- Thread starter
- #221
Dah basi wewe ni mgumu sana kuelewa mkuu yani mtu akae na pesa yako mtu mwenye akili ashindwe kupata faida? Letsay mtu akae na milion 50 yako then kwa mwezi akulipe laki 5 atashindwa kupata faidašHii bado sijaielewa wao wanapataje faida