M-wekeza kutoka Vodacom Riba 13%

M-wekeza kutoka Vodacom Riba 13%

Kama pesa yako unayopeleka bank bank wenyewe wanaenda kuiwekeza au kukopesha watu nawewe bado unaona bank nisafe kuweka pesa sasa unaogopa nini wewe kwenda kuwekeza?
Benki zinajulikana Sasa hao sanlam Mimi nimewajua kupitia Vodacom
 
Asilimia moja nikubwa sana mkuu🤣
tofauti na utt ni 1% tu, ambayo haiwezi ikanifanya nikahamia m pesa ambako msimamizi wa mfuko hajulikani, ambapo utt kila mtu anajua inasimamiwa na hazina ya jamhuri ya muungano wa Tz
 
Wangewezesha hela za mkoba ziweze kuwekezwa kwa kikundi ingekuwa safi sana
Wazo zuri sana kama wataliona nakulifanyia kazi itakuwa vzr sana japo sio rahisi kulikubali mana linawafaidisha zaidi wenyekikundi ,kuna mavikundi yanamipesa mingi sana kudamp milion 10,20 hadi 50 kwa mwaka kwao ni easly tu
 
Mzee hawa jamaa inaonekana matapeli tu ngoja nikatoe pesa zangu aisee umesema faida inakua inawekwa Kila siku ila mpaka Leo sikua ya nne account inasoma faida 0
Yani unawekeza siku nne tu unataka faida hii nayo kali ! Mimi nilianza kidogo kidogo saivi nina kama 2.5M kila mwisho wa mwezi Interest wanaweka.
 
Mgumu kuelewa wapi we si ulisema weekend hawaweki faida vipi na Leo sio siku ya kazi hapo hamna kitu
Watu hawajafaham namna inavyofanya kazi. Mf leo nimeweka 1000/- nategemea kwa 13% mwaka mzima ni 11300/- ambapo faida ni 1300/-. Ukitaka kujua kwa mwezi nimekusanya ngap chkua hyo 1300÷12 utapata kama 108/- kila mwezi. Ukitaka kujua kwa siku unapata ngap chukua 108÷30=3.6 kila siku kama faida yako.
 
Yani unawekeza siku nne tu unataka faida hii nayo kali ! Mimi nilianza kidogo kidogo saivi nina kama 2.5M kila mwisho wa mwezi Interest wanaweka.
Hivi inachukua siku ngapi hadi faida kuanza kuonekana? Kwenye mkataba wao wana sema ukiwekeza siku za kazi yani j3 hadi ijumaa kabla ya saa tatu asubuhi basi faida utaanza kuiona siku inayofuata saa 8 mchana.

Atakaeweka baada ya saa 3 asubuhi faida ataona siku inayofuata saa 2 usiku

Sasa mkuu mie nimeweka kijisenti changu tangu jana saa 12 asubuhi ila hadi sasa faida inasoma 0 je hii imekaaje au hata nyie wazoefu ndo iko hivyo ni hadi mwisho wa mwezi ndo inaanza kuonekana??
 
Hivi inachukua siku ngapi hadi faida kuanza kuonekana? Kwenye mkataba wao wana sema ukiwekeza siku za kazi yani j3 hadi ijumaa kabla ya saa tatu asubuhi basi faida utaanza kuiona siku inayofuata saa 8 mchana.

Atakaeweka baada ya saa 3 asubuhi faida ataona siku inayofuata saa 2 usiku

Sasa mkuu mie nimeweka kijisenti changu tangu jana saa 12 asubuhi ila hadi sasa faida inasoma 0 je hii imekaaje au hata nyie wazoefu ndo iko hivyo ni hadi mwisho wa mwezi ndo inaanza kuonekana??
Utaiona tu mkuu hao ni uhakika wanaweka
 
Back
Top Bottom