nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Kwanini umeamua kuchukua sample ya hawa jamaa ku represent wanaume???? Afu nshaona wanaume wanaojibu humu mada ime wa touch. Mwanaume awe na sauti kama david wakati and the like.
Afu wanaume wenye sauti nzito ni wapole sana. Wenye sauti nyembamba we! Wana kelele na wanajua kulalamika sana.
Afu wanaume wenye sauti nzito ni wapole sana. Wenye sauti nyembamba we! Wana kelele na wanajua kulalamika sana.
Sauti ya Kiume ikoje?
ni ipi kati ya hizi: ya Nyerere, ya Mkapa, ya JK, ya Mbowe, ya Silaa, ya Obama, ya Bush, au ya Makamba?
Hebu kwa mnaojua sauti za hao watu hapo juu mniambie ipi ya kiume ipi siyo, ili nijiangalie sauti yangu iko kwenye kundi lipi hapo.