Lwekatare wa CUF kuhamia CHADEMA

Lwekatare wa CUF kuhamia CHADEMA

*Alisema mwanae mmoja alimuomba ampe hiyo kadi ya kafu ili aiweke kama kumbukumbu ya babaye na aliikabidhi kwa Susan wa chadema ili amtafute mwanae na kumpatia ili iwe kumbu kumbu kuhusu maisha ya kisiasa ya baba yake.

Alisimama David Kalikawe ambaye ni mwanzilishi wa tawi la kwanza la chadema hapa Kagera;
*Alimpongeza Lwakatare na kumkaribisha katika chama.
Aliwashangaa wanaobeza kuhama kwa Lwakatare lakini akasema anakumbuka kuwa hata Dr Slaa alikuja Chadema baada ya kutoona anatendewa haki Sisi Maf...... pale alipoachwa kwenye uteuzi wa kugombea ubunge kupitia sisi Maf..... huku akipewa Patrick Qorro. Katika uchaguzi huo Dr Slaa alimuangusha vibaya Patrick, alutolea hata mfano wa balozi Christopher Ngaiza na kuwaona kama ni mavuno sawana haya ya Lwakatare.
Leo yeye ni muhimiri wa chama na mwiba kwa mafisadi.
*Alimkaribisha Dr Slaa kuzungumza na wananchi wa Bukoba mjini.
 
Nimefuatilia sana matukio yote haya na kama kawaida yangu najaribu sana kutazama upande wa pili kinyume cha Picha nzima inayotembea sasa hivi..
Pia kwa sababu nina marafiki na jamaa zangu wa karibu huko BK, mji ambao nimewahi kukaa ingawa sii muda mrefu miaka 80's baada ya vita nadhani pia mchango wangu unaweza kuwapa picha kamili ya huu upande ambao wewngi wetu tunashindwa au tunapuuza kuutazama..
Ni katika reality exploration zangu, nimekuwa mgumu kukubaliana na mawazo ya wengi kuhusiana na swala zima la Lwakatare kuhamia Chadema...Inanitisha zaidi ya kufurahia kutokana na sababu mbili muhimu ambazo zinatandika wingu zito kwa wakazi wa Bukoba mjini..

1. kwanza, kuhama kwake kunazua majungu makubwa kati ya vyama ambavyo vilikuwa chanzo cha muungano wa vyama vya Upinzani..Majungu ambayo matokeo yake ni wazi kabisa kwamba watakuja gawana kura..Na wakija gawana kura kati ya CUF na Chadema basi bila shaka mnafahamu mshindi nani hapa!

2. Sababu za kuhama ambazo zinazotembea mjini zinahusu zaidi UDINI.. Yaani sababu kubwa ya Lwakatare kuondoka/kuondolewa CUF na kupokelewa Chadema ni kwa sababu ya dini yake... Hii ni sumu kubwa ktk maendeleo ya vyama vyote hivi viwili..Tujihadhali sana na mtazamo huu kwa wananchi.
Navyojua mjini Bukoba, kwa hesabu kubwa unajengwa na Waislaam ambao kutokana na hizi hisia za Udini kuingia kati ya swala hili, sidhani kama Lwakatare atakuwa na mvuto mkubwa kwa waislaam isipokuwa Wakristu ambao kwa taarifa nilizozipata wapo wengi wamehamia mjini hivyo kuufanya mji wa Bukoba kuwa na mchanganyiko mkubwa.Hivyo basi, sidhani kama kuna matunda ktk jambo hilim pande zote mbili kukubali kuachia uvumi huu ukitembea ovyo!

Kutokana na sababu hizi mbili naogopa sana kinachokuja huko mbele ya safari pamoja na kwamba Wahaya umoja na muungano wa jamii zao haufuati sana dini..lakini kama kutatokea kichochezi kama hiki cha fitna na tenguzi, nachelea kusema makosa makubwa yamefanyika toka Uongozi wa pande hizi mbili.

Unaweza kutokubaliana nami lakini haya ni mawazo yangu ambayo yametokana na hisia zilizoambatana na tetesi nilizozipata. Ushauri wangu nadhani ungekuwa kwamba kabla ya Lwakatare hajahamia CVhadema viongozi wa pande hizi mbili wangekutana na kuzungumiza swala hili kiundani zaidi wakizingatia umuhimu wa muafaka walioujenga..Kuzuka kwa fitna na uhasama kati ya vyama hivi na hasa UDINI ukitumiwa kuwa kiamsho cha fikra za Lwakatare kunanipa wasiwasi mkubwa sana hata kama yeye anafahamu fika kuwa vitu hivi havihusiani..

Nitawaomba viongozi wa Chadema na CUF kukaa kitako kueleishana kilichotokea na kujaribu kuondoa wingu hili kubwa linalozidi kutanda mjini Bukoba na hasa Uswahilini..Sintapenda kuona kura za wanachi zikitazama kwanza dini ya mhusika au ushindani utokane na dini zao kwani wananchi watakuwa hawatumii tena akili zao kufikiri uwezo wa mhusika Kisiasa. Kura zitagawanywa kulingana na dini za waumini jambo ambalo ni hatari sana kwa vyama vyote hivi viwili..
 
Last edited:
Kikukubwa hapa ni kwamba Lwakatare amesema kuwa alipokuwa n cheo ndani ya CUF alikuwa akilipwa sh 300,000 kwa mwezi hivyo amewaomba wananchi waone ni jinsi gani alivyokuwa anafanya kazi nyingi na kulipwa kiduchu.

Wana JF,
Rejea thread yangu yenye title:

Mijadala ya CUF ndani ya JF yasababisha Mkutano wa ghafla CUF-Taifa
inapatikana hapa https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...are-wa-cuf-kuhamia-chadema-17.html#post495735
Nilitoa taarifa ifuatayo:

Yah, Imetajwa kwenye kikao. Na baadhi ya wajumbe ambao wanaweza kumudu hii njia mpya ya mawasiliano wamepewa jukumu la kujiunga na kujibu mapigo.

Nikamalizia hivi:

Kuanzia sasa angalia ID za wachangiaji wa hoja za CUF/Lwakatare nyingi zitakuwa ngeni na mpya.

Sasa angalia ID ya Bw. Ukoko alafu tafakari. Haja ya kutoa taarifa kwenye suala hili haihitajiki kwa mtu atakayepata mantiki toka hapo juu. Assume unaangalia Tangazo la Haki Elimu, si kila kitu wanakutafunia. Simply, ...... at work!

Eni wei, najua wengine itawauma, ila ukweli kadi zimerejeshwa na kununuliwa kama vocha za tiGO.

Bandugu naomba mie nijipe likizo kidogo maana nimechoka ile mbaya. Toka mida ile nahudumia Mramba na Rubisi.
 
*Dr Slaa alianza kwa kumpa fomu ya kujisajili ambayo aliijaza na kukabidhiwa kadi baada ya kulipa 1500 kama ada ya kadi na ada ya uanachama.
*Alimkabidhi Katiba ya chama akimtaka aisome na kuilewa maana Chadema inaongozwa na katiba tole la mwaka 2006. Akisistiza chama hakiongozwi kwa matakwa ya mtu tu bali kwa katiba.
*Kisha alikabidhiwa bendela aliyopewa na Profesor Baregu na Balozi Ngaiza,
*Baada ya hapo Profesor Baregu alimkabidhi kalamu kama alama ya kumuonyesha aigie kazini kama msomi na kuanza kuandikisha wanachama wapya na kazi nyinginezo za chama.
*Dr slaa alianza kwa kuwashukuru watu wote kwa kuwa watulivu kwa muda wote mrefu waliokaa pale.
*Alileta salaam na kuomba radhi kwamba ingawa walipanga kuja kwa ndege ya kukodi akiwa na viongozi wengi wa chadema pamoja na wabunge walio Dodoma katika hafla hiyo iliyokuwa imepewa jina la Lwakatare day, ghafla kampuni yenye ndege ilfuta safari kwa kuwambia kwamba haitawezekana tena maana ndege imeharibika. Haijulikani kama ni kweli au ni hujuma hata hivyo wanamshukuru Mungu.
Alileta Salaam za mwenyekiti Ndugu Mbowe ambaye alisema amefiwa na shemeji yake(mke wa kaka yake Jenerali Mbowe) na alikuwa katika mazishi kule Moshi, na atapanga kuja baadaye kuonana na wananchi wa Bukoba na kuwashukuru.
*Alisema kwa jinisi anavyomfahamu Lwakatare, si bidhaa ya kunadiwa na ni yeye Lwakatare mwenyewe aliyeomba kwenda Chadema bila kushawishiwa na uongozi wa chadema. Na ametumia haki yake kikatiba.
Na kwamba kama kijana anayechumbia anavyomchunguza mchumba wake kabla ya kuingia katika ndoa ndivyo alivyoichunguza Chadmea na kuona ndio inamfaa. Baada ya watu kunyoosha mikono wakimtaka aende Chadema.
*Amesema anakubuka jinsi Lwakatare alivyokuwa tayari kuruhusu kuandika katika gazeti la mwana halisi habari za ufisadi alioutangaza mwembe yanga akiwa kama Mkurugenzi wake. Alifichua kuwa kabla ya Mwanahalisi walianzisha gazeti hilo likiwa Hali halisi kabla ya kulibadilisha na kuliita mwanahalisi.
*Alieleza kuwa yeye kama mbunge hawezi kuficha ni kiasi gani cha mshahara wanapata maana si siri. Na kusema anajisikia uchungu kuona mbunge analipwa posho ya shilingi 160,000 kila siku awapo bungeni, whether amechangia au kasinzia., lakini mwalimu aliyemaliza diploma analipwa kiasi hicho hicho kwa mwezi tena kabla ya makato. Anadai alipotoa hoja yafanyike mabadiliko ili wafanyakazi wengine nao waongezewe kidogo walimshupalia kweli wabunge wa sisi maf....
*alizungumzia kashfa mbali mbali na hasa yale yanayojili Bungeni sasa hivi.
Alionyesha jinsi serilkali ilivyotenga kifungu kwa ajili ya chai sh 20 bilioni, na kifungu cha takrima 10 bilioni. Akahoji je kweli hii ndio bajeti inayoitwa bajeti ya wananchi na wabunge wa sisi maf..... wanashadadia kuwa ni bajeti iliyo bora? Alisema pesa hiyo tu inatosha kujenga shule 300 za sekondri bila kuchangisha mtu pesa.
*Aliwafungua watu macho kuwa hakuna kodi zilizopunguzwa kama inavyotangazwa ila vitu muhimu havikupunguzwa kadi labda vitu visivyo muhimu sana kama sanitary pads za wakina mama na kodi za kulima na kuvuna ambazo alisema mkulima wa kawaida wa jembe la mkono hana chake hapo.
*Alizungumzia rushwa katika ununuzi wa ndege ya rais, rada na jinsi Chenge alivyohusika kwa kuwekewa pesa uswiss, akaziamishia katika kinchi kimoja kidogo uLya kikianza na jina la Lies..... na baadaye jersey kisiwani uingereza, kisha akammegea Dr Idrisa Rashid 160000 USD.
Alieleza masuala ya Meremeta na yaliyojili Bungeni.
*Alieleza na yanayomkabili Bungeni na kushangaa kwamba wabunge wa sisi maf.... walitoa matusi kabisa lakini aliyesema ovyo ovyo wanafanya mipango kumfukuza Bungeni na kuonya kuwa akifukuzwa Chadema ita organise maandamano nchi nzima.

kabla ya Slaa kuzungumza samahani Profesor Baregu alisema kwa muda mrefu amekuwa akitani kuona consolidation ya vyama ambayo itazaa chama kimoja chenye nguvu na anadhani kama unabii unaelekea kutimia.

Naishia hapa na wengine waliokuwepo wanaweza kuongezamengine ambayo sikuyaweka.
Nawakilisha hoja na kuiunga mkono 100%😀



 
1. ......Majungu ambayo matokeo yake ni wazi kabisa kwamba watakuja gawana kura..Na wakija gawana kura kati ya CUF na Chadema basi bila shaka mnafahamu mshindi nani hapa!

Mchukia Fisadi said:
Amekili kuwa yeye ni muumini wa ushirikiano ......... na siri anayo kwa nini haikuwezekana.

*Amesema si lazima tu yeye peke yake ndiye awe mgombea katika jimbo hili la Bukoba ....... Lakini anasema yuko tayari kushirikiana na mgombea yeyote na kumpigia kampeni kama atakuwa anakubalika hata kama atakuwa ametoka katika chama chake cha zamani Kafu.

Mkandala said:
Navyojua mjini Bukoba, kwa hesabu kubwa unajengwa na Waislaam ambao kutokana na hizi hisia za Udini kuingia kati ya swala hili, sidhani kama Lwakatare atakuwa na mvuto mkubwa kwa waislaam isipokuwa Wakristu

Inashabihiana na extract toka post yangu ya "Yaliyojiri leo hii BK mjini":

Omutwale said:
Wale wenye msimamo mkali wa kidini (mimi simo) wameanzisha uvumi kuwa Maaskofu ndiyo waliomshauri Lwakatare atoke CUF na kwenda CHADEMA kwa ahadi ya kumpigia debe 2010. (Hii nitaelezea siku zijazo kampeni ya namna hii zinaweza kula kwa nani na kwa sababu gani)

Nitajitahidi kuweka sawa
 
Nimefuatilia sana matukio yote haya na kama kawaida yangu najaribu sana kutazama upande wa pili kinyume cha Picha nzima inayotembea sasa hivi..
Pia kwa sababu nina marafiki na jamaa zangu wa karibu huko BK, mji ambao nimewahi kukaa ingawa sii muda mrefu miaka 80's baada ya vita nadhani pia mchango wangu unaweza kuwapa picha kamili ya huu upande ambao wewngi wetu tunashindwa au tunapuuza kuutazama..
Ni katika reality exploration zangu, nimekuwa mgumu kukubaliana na mawazo ya wengi kuhusiana na swala zima la Lwakatare kuhamia Chadema...Inanitisha zaidi ya kufurahia kutokana na sababu mbili muhimu ambazo zinatandika wingu zito kwa wakazi wa Bukoba mjini..

1. kwanza, kuhama kwake kunazua majungu makubwa kati ya vyama ambavyo vilikuwa chanzo cha muungano wa vyama vya Upinzani..Majungu ambayo matokeo yake ni wazi kabisa kwamba watakuja gawana kura..Na wakija gawana kura kati ya CUF na Chadema basi bila shaka mnafahamu mshindi nani hapa!

2. Sababu za kuhama ambazo zinazotembea mjini zinahusu zaidi UDINI.. Yaani sababu kubwa ya Lwakatare kuondoka/kuondolewa CUF na kupokelewa Chadema ni kwa sababu ya dini yake... Hii ni sumu kubwa ktk maendeleo ya vyama vyote hivi viwili..Tujihadhali sana na mtazamo huu kwa wananchi.
Navyojua mjini Bukoba, kwa hesabu kubwa unajengwa na Waislaam ambao kutokana na hizi hisia za Udini kuingia kati ya swala hili, sidhani kama Lwakatare atakuwa na mvuto mkubwa kwa waislaam isipokuwa Wakristu ambao kwa taarifa nilizozipata wapo wengi wamehamia mjini hivyo kuufanya mji wa Bukoba kuwa na mchanganyiko mkubwa.Hivyo basi, sidhani kama kuna matunda ktk jambo hilim pande zote mbili kukubali kuachia uvumi huu ukitembea ovyo!

Kutokana na sababu hizi mbili naogopa sana kinachokuja huko mbele ya safari pamoja na kwamba Wahaya umoja na muungano wa jamii zao haufuati sana dini..lakini kama kutatokea kichochezi kama hiki cha fitna na tenguzi, nachelea kusema makosa makubwa yamefanyika toka Uongozi wa pande hizi mbili.

Unaweza kutokubaliana nami lakini haya ni mawazo yangu ambayo yametokana na hisia zilizoambatana na tetesi nilizozipata. Ushauri wangu nadhani ungekuwa kwamba kabla ya Lwakatare hajahamia CVhadema viongozi wa pande hizi mbili wangekutana na kuzungumiza swala hili kiundani zaidi wakizingatia umuhimu wa muafaka walioujenga..Kuzuka kwa fitna na uhasama kati ya vyama hivi na hasa UDINI ukitumiwa kuwa kiamsho cha fikra za Lwakatare kunanipa wasiwasi mkubwa sana hata kama yeye anafahamu fika kuwa vitu hivi havihusiani..

Nitawaomba viongozi wa Chadema na CUF kukaa kitako kueleishana kilichotokea na kujaribu kuondoa wingu hili kubwa linalozidi kutanda mjini Bukoba na hasa Uswahilini..Sintapenda kuona kura za wanachi zikitazama kwanza dini ya mhusika au ushindani utokane na dini zao kwani wananchi watakuwa hawatumii tena akili zao kufikiri uwezo wa mhusika Kisiasa. Kura zitagawanywa kulingana na dini za waumini jambo ambalo ni hatari sana kwa vyama vyote hivi viwili..

Kwa udini sina la kusema ingawa sikubaliani kabisa na hoja hii.
Anaye iweka mbele anaionyesha kwa maslahi yake binafsi. Lazima aje na ushahidi.
Kwa mfano lazima aonyeshe statistic au ushahidi fulani.
Suala la udini kafu lilikuwa initiated na sisi m ili kuwafanya wakristo wasikimbilie kule. Lwakatare alikuwa kule na watu wakisikia PR hizo bado walimfuata. Naona yanarudi yale yale. Yeye binafsi kayakataa wazi wazi.
Nimeona watu wengi, nawaelewa watu wengi, na najua watu wengi wa dini zote mbili kwa Lwakatare.
Siamini kabisa jambo hili labda kama linatumika ili uonyesha waislamu kuwa wasiwe na imani naye. Lakini halina ukweli. Nina hakika.
 
Mchukia Ufisadi,
Mkuu hivi tetesi za Bongo unazifahamu ama unazungumza tu ili mradi kulainisha watu..
Ushahidi gani unaoutaka wewe ikiwa Lwakatare ni mkristu amehama chama ambacho kinadaiwa kuwa ni cha Waislaam..Lwakatare mwenyewe ndio wanamchukulia kuwa sababu mkuu wangu..Ebu kwanza fikiria uzito wa tetesi hizi ktk akili za mlalahoi. Unafikiri watu watasubiri ushahidi unaotaka wewe?..

Nimesema hizi ni tetesi na sumu ya maendeleo ya vyama vyote hivi viwili kwani wananchi wataanza kuamini na wakisha amini huwezi kuwambia CUF sii chama cha Waislaam au Chdema sii chama cha wakristu..
Inachukua muda mfupi sana kwa Wadanganyika kuamini haya..Na nakuhakikishia asilimia 90 ya Wakristu wanaamini CUF ni chama cha Waislaam/Wapemba kutokana na kampeni ya CCM kukidondosha chama hicho baada ya uchaguzi wa mwaka 2000..Kufikia uchaguzi wa mwaka 2005, CUF Kushnehi! na umeona watu humu kibao wakitoa hoja zao wakiamini kabisa kwamba CUF ni chama cha waislaam...CCM hawakutoa ushahidi wowote wala hawakuwa na haja ya kufanya hivyo.. kwani Ndivyo Tulivyo!
Ushahidi hakuna zaidi ya sisi wenyewe kuona dini za watu (wakazi wa Pwani) wanaokipa support chama hicho..
It's just a wake up call mkuu wangu.
 
Mchukia Ufisadi,
Mkuu hivi tetesi za Bongo unazifahamu ama unazungumza tu ili mradi kulainisha watu..
Ushahidi gani unaoutaka wewe ikiwa Lwakatare ni mkristu amehama chama ambacho kinadaiwa kuwa ni cha Waislaam..Lwakatare mwenyewe ndio wanamchukulia kuwa sababu mkuu wangu..Ebu kwanza fikiria uzito wa tetesi hizi ktk akili za mlalahoi. Unafikiri watu watasubiri ushahidi unaotaka wewe?..

Nimesema hizi ni tetesi na sumu ya maendeleo ya vyama vyote hivi viwili kwani wananchi wataanza kuamini na wakisha amini huwezi kuwambia CUF sii chama cha Waislaam au Chdema sii chama cha wakristu..
Inachukua muda mfupi sana kwa Wadanganyika kuamini haya..Na nakuhakikishia asilimia 90 ya Wakristu wanaamini CUF ni chama cha Waislaam/Wapemba kutokana na kampeni ya CCM kukidondosha chama hicho baada ya uchaguzi wa mwaka 2000..Kufikia uchaguzi wa mwaka 2005, CUF Kushnehi! na umeona watu humu kibao wakitoa hoja zao wakiamini kabisa kwamba CUF ni chama cha waislaam...CCM hawakutoa ushahidi wowote wala hawakuwa na haja ya kufanya hivyo.. kwani Ndivyo Tulivyo!
Ushahidi hakuna zaidi ya sisi wenyewe kuona dini za watu (wakazi wa Pwani) wanaokipa support chama hicho..
It's just a wake up call mkuu wangu.
Mkuu,
Nashukuru sana kwa angalizo lako hili.Tatizo hapa ni idara yetu ya usalama wa Taifa(Disinformation unit) inayofanya kazi hii kwa kusaidiana na CCM.Hawa jamaa wamefikia mahali wako tayari kuwafanya wananchi wahasimiane ili CCM ipite.Ni unit hii hii ili-recruit wapinzani(Mrema & Mtikila) kuchochea wananchi wa Tarime wamchukie Mengi na Mbowe,bahati nzuri wanachi wa kule wakawa waelevu wakazibaini hila hizo.Tutawashauri Viongozi wetu jinsi ya kuepuka Ghilba hizo nakushukuru sana kwa angalizo hili litatusaidia.Natoa wito kwa viongozi wa CUF hawajapoteza kitu,ni Lwakatale huyuhuyu atakayetumika kujenga daraja la maelewano na CHADEMA katika mkakati wa pamoja wa kuiangusha CCM.Kuhama kwake ni kabadilisha mbinu ya medani katika vita dhidi ya wakoloni weusi.
 
*Amekili kuipenda sana kafu hadi kumiliki kadi namba 149 ya mwaka 1991lakini anasema anaipenda nchi yake sana kuliko vyama vya siasa.
*Amesema ameamua kuwa muandishi na kuna kitabu anachoandika ingawa kakili anahitaji msaada ili akichapishe, ambapo alipata ahadi ya sh laki 3 toka kwa Dr Slaa, laki 2 toka kwa Baregu, 250,000 toka Balozi Ngaiza nk nk nk.
*Amesema mipango yake anayofikiria kuianzisha sasa ni kujenga chuo cha Technologia hapa Bukoba, ili kuhakikisha vijana wengi wanapata mafunzo ya namna ya kujiajili mara wamalizapo shule.
*Katangaza kuwakutakuwa na party ya kumpongeza itakayokuwa katika hotel ya Spice Bukoba.

Maelekezo yake mengi yanaonesha njaa ndio imepeleka Chadema, yaani baada tu ya kukabidhiwa kadi akapitisha tena BAKULI HAPO HAPO akala laki saba.huyu anaweza kuwa matonya wa Chadema. barua zake kwa CUF alikuwa akiwaambia wampe pesa kila wakati akaona anazunguushwa akahama chama. siku Chadema wakiwa hawana kitu atahama kwenda TLP?
 
*Amekili kuwa yeye ni muumini wa ushirikiano katika vyama vya upinzani, na amewahi kuteuliwa kuwa mwenyekiti wa umoja wa vyama vinne vya upinzani ulioundwa ili kutafuata namna vyama vinavyoweza kushirikiana katika masuala ya uchaguzi na siri anayo kwa nini haikuwezekana.
*Amesema si lazima tu yeye peke yake ndiye awe mgombe katika jimbo hili la Bukoba mjini maana hajui kama chake kitamteua wakati ukifika. Lakini anasema yuko tayari kushirikiana na mgombea yeyote na kumpigia kampeni kama atakuwa anakubalika hata kama atakuwa ametoka katika chama chake cha zamani Kafu.
*Na kwa sababu hiyo ameamua kujikita hapa Bukoba na kuhakikisha uchaguzi wa serikali za mitaa upinzani unashinda na kuchukua council na hatimaye ubunge kwa mbunge yeyote wa upinzani anayekubali. Ameapa kufanya kila jitihada kuona anatimiza aima yake hiyo.
*Amesema sasa anahitaji wanachama walio hai katika chama na si kundi la ushabiki tu. Hao wawe na kadi kadi zakupigia kura wafahamike waliko, waorodheshwe katika daftari la chama, wajulikame simu zao au hata email zao.

SIO KWELI kwani CUF kaondoka kwa kukosa cheo vipi ataacha ubunge uende kwa mwingine? YEYE ANA VITU VIWILI PESA NA CHEO NDIO UGONJWA WAKE. CHADEMA WAMUANDALIE CHEO NA PESA.

APUNGUZE KUOMBAOMBA ZILE BARUA ZAKE ZINAONESHA ALIKUWA AKIJINADI NA ALIPITA SANA LUMUMBA LAKINI JAMAA WA CCM WAKAMKATAA NDIO AKAJIPELEKA CHADEMA. MIMI NDIYE MTU WA KWANZA KUSEMA KUWA ANAKWENDA CHADEMA KWANI ILIKUWA AENDE CCM NA OPTION YA PILI CHADEMA NDIKO KWENYE PESA.
 
wana jf,
rejea thread yangu yenye title:

Inapatikana hapa https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...are-wa-cuf-kuhamia-chadema-17.html#post495735
nilitoa taarifa ifuatayo:


Nikamalizia hivi:



Sasa angalia id ya bw. Ukoko alafu tafakari. Haja ya kutoa taarifa kwenye suala hili haihitajiki kwa mtu atakayepata mantiki toka hapo juu. Assume unaangalia tangazo la haki elimu, si kila kitu wanakutafunia. Simply, ...... At work!

Eni wei, najua wengine itawauma, ila ukweli kadi zimerejeshwa na kununuliwa kama vocha za tigo.

Bandugu naomba mie nijipe likizo kidogo maana nimechoka ile mbaya. Toka mida ile nahudumia mramba na rubisi.
sio kweli mimi nipo jf toka 2007 acha uongo na mjadala huu wa lwekatare ni mimi niliyeuleta hapa.
 
nimefuatilia sana matukio yote haya na kama kawaida yangu najaribu sana kutazama upande wa pili kinyume cha picha nzima inayotembea sasa hivi..
Pia kwa sababu nina marafiki na jamaa zangu wa karibu huko bk, mji ambao nimewahi kukaa ingawa sii muda mrefu miaka 80's baada ya vita nadhani pia mchango wangu unaweza kuwapa picha kamili ya huu upande ambao wewngi wetu tunashindwa au tunapuuza kuutazama..
Ni katika reality exploration zangu, nimekuwa mgumu kukubaliana na mawazo ya wengi kuhusiana na swala zima la lwakatare kuhamia chadema...inanitisha zaidi ya kufurahia kutokana na sababu mbili muhimu ambazo zinatandika wingu zito kwa wakazi wa bukoba mjini..

1. Kwanza, kuhama kwake kunazua majungu makubwa kati ya vyama ambavyo vilikuwa chanzo cha muungano wa vyama vya upinzani..majungu ambayo matokeo yake ni wazi kabisa kwamba watakuja gawana kura..na wakija gawana kura kati ya cuf na chadema basi bila shaka mnafahamu mshindi nani hapa!

2. Sababu za kuhama ambazo zinazotembea mjini zinahusu zaidi udini.. Yaani sababu kubwa ya lwakatare kuondoka/kuondolewa cuf na kupokelewa chadema ni kwa sababu ya dini yake... Hii ni sumu kubwa ktk maendeleo ya vyama vyote hivi viwili..tujihadhali sana na mtazamo huu kwa wananchi.
Navyojua mjini bukoba, kwa hesabu kubwa unajengwa na waislaam ambao kutokana na hizi hisia za udini kuingia kati ya swala hili, sidhani kama lwakatare atakuwa na mvuto mkubwa kwa waislaam isipokuwa wakristu ambao kwa taarifa nilizozipata wapo wengi wamehamia mjini hivyo kuufanya mji wa bukoba kuwa na mchanganyiko mkubwa.hivyo basi, sidhani kama kuna matunda ktk jambo hilim pande zote mbili kukubali kuachia uvumi huu ukitembea ovyo!

Kutokana na sababu hizi mbili naogopa sana kinachokuja huko mbele ya safari pamoja na kwamba wahaya umoja na muungano wa jamii zao haufuati sana dini..lakini kama kutatokea kichochezi kama hiki cha fitna na tenguzi, nachelea kusema makosa makubwa yamefanyika toka uongozi wa pande hizi mbili.

Unaweza kutokubaliana nami lakini haya ni mawazo yangu ambayo yametokana na hisia zilizoambatana na tetesi nilizozipata. Ushauri wangu nadhani ungekuwa kwamba kabla ya lwakatare hajahamia cvhadema viongozi wa pande hizi mbili wangekutana na kuzungumiza swala hili kiundani zaidi wakizingatia umuhimu wa muafaka walioujenga..kuzuka kwa fitna na uhasama kati ya vyama hivi na hasa udini ukitumiwa kuwa kiamsho cha fikra za lwakatare kunanipa wasiwasi mkubwa sana hata kama yeye anafahamu fika kuwa vitu hivi havihusiani..

Nitawaomba viongozi wa chadema na cuf kukaa kitako kueleishana kilichotokea na kujaribu kuondoa wingu hili kubwa linalozidi kutanda mjini bukoba na hasa uswahilini..sintapenda kuona kura za wanachi zikitazama kwanza dini ya mhusika au ushindani utokane na dini zao kwani wananchi watakuwa hawatumii tena akili zao kufikiri uwezo wa mhusika kisiasa. Kura zitagawanywa kulingana na dini za waumini jambo ambalo ni hatari sana kwa vyama vyote hivi viwili..

kuna mambo mengi yatamponza.

Sio rahisi kuwapata wanachama wote wa cuf wakamfuata huko watasema yeye kapewa pesa sisi tunapata nini?

Kitendo chake cha kutumiwa na chadema kuwarubuni wanachama na watendaji wa cuf kujiunga na chadema kitajenga chuki na cuf na kuwa chadema vs cuf badala ya ccm.
Hisia za udini zikapata mshawishi kama mkandara zitazidi kumbomoa.

Ni kweli amepotea step hata kama angeingia chadema lakini asingefanya kama kuwakomoa cuf na kuanza kuwapakazia kwenye mitandao na magazeti.

Kasoro alisozisema hakuzisema alipokuwa naibu katibu mkuu wala kwenye mkutano mkuu wa cuf ni mara tu baada ya kuona anaenda chadema.
 
Kila la kheri Lwakatare, tunatumaini utaendeleza wimbi la upinzani kuzidi kujitanua sehemu zote, kama tatizo lililokutoa CUF ni uhuru wa kutekeleza mipango yako. Binafsi, naheshimu mchango wa mtanzania yeyote ambaye anaona kuwa anawiwa kusaidia mapambano dhidi ya mfumo huu usioeleweka,licha ya vikwazo vingi na vitisho kutoka kwa ssm na vyombo vyake vya propaganda vinavyohakikisha wanaendelea kutawala kwa gharama yeyote ile.
 
sio kweli mimi nipo jf toka 2007 acha uongo na mjadala huu wa lwekatare ni mimi niliyeuleta hapa.

Sasa angali hapa:
Bw.Ukoko
user_offline.gif

Bw.Ukoko has no status.
Junior Member
Join Date: Fri Jun 2009
Posts: 2
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 0
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif

Credits: 5,585


icon1.gif
Bw.Ukoko said:
Lwakatare ahamia rasmi chadema na kudai CUF walikuwa wakimlipa sh 300,000 tu kwa mwez

Wakuu.
Leo katika pita pita zangu katika Mkoa wa Kager kikazi nimejikuta navutika kuudhuri mkutano wa CHADEMA uliolenga kumpatia Lwakatare kadi mpya ya chma hicho.

Kikukubwa hapa ni kwamba Lwakatare amesema kuwa alipokuwa n cheo ndani ya CUF alikuwa akilipwa sh 300,000 kwa mwezi hivyo amewaomba wananchi waone ni jinsi gani alivyokuwa anafanya kazi nyingi na kulipwa kiduchu.



Safi sana.

Swali langu ni, hivi Bw. Ukoko ndiye kanda2?

Bw. Ukoko ndiye aliandika yaliyorejewa hapo juu. Nami nilikuwa namzungumzia huyo huyo. Yawezekana Bw.Ukoko = kanda2 lakini si mwangalifu. Kisha soma profile ya Bw.Ukoko hapo kwenye attachment na mwisho amua mwenyewe.

bw-ukoko.html

bw-ukoko.html

bw-ukoko.html
 

Attachments

  • Bw. Ukoko.jpg
    Bw. Ukoko.jpg
    93.7 KB · Views: 36
Last edited:
Sasa angali hapa:
Bw.Ukoko
user_offline.gif

Bw.Ukoko has no status.
Junior Member
Join Date: Fri Jun 2009
Posts: 2
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 0
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif

Credits: 5,585


icon1.gif




Safi sana.

Swali langu ni, hivi Bw. Ukoko ndiye kanda2?

Bw. Ukoko ndiye aliandika yaliyorejewa hapo juu. Nami nilikuwa namzungumzia huyo huyo. Yawezekana Bw.Ukoko = kanda2 lakini si mwangalifu. Kisha soma profile ya Bw.Ukoko hapo kwenye attachment na mwisho amua mwenyewe.

bw-ukoko.html

bw-ukoko.html

bw-ukoko.html

Kwa hiyo wewe ndio Mchukia ufisadi = Lwekatare.
sababu anayejadiliwa Lwekatare wewe unajibu tena unaongea hadi kihaya.
kwani maoni yako huko juu ulisema kuwa wana CUF wameambiwa waje kwa wengi kujiunga JF na ukatoa mfano wa ukoko. kwa vile ulisema kwa ujumla ndio nikakujibu.ila ujue kuwa mimi member hapa toka 2007 kabla ya wewe kuja kujiunga 2008 mwishoni.
nina michango mingi zaidi ya 400.wewe una posts 99 tu tena asilimia 70 za Lwekatare.hivyo nazidi kuamini wewe=Mchukia Ufisadi ambaye ndiye Lwekatare.
 
Sisi wote tunashangaa sana sana katika hili maana huwa. Kila mtu ana haki ya kujiunga na vyama, but wale walikwenda upinzania kwa ajili ya ulaji warudi haraka CCM
 
Sisi wote tunashangaa sana sana katika hili maana huwa. Kila mtu ana haki ya kujiunga na vyama, but wale walikwenda upinzania kwa ajili ya ulaji warudi haraka CCM

Lwekatare ni kweli kafuata ulaji Chadema. ushahidi ni kuwa baada ya kupewa kadi ya uanachama ndio akapewa katiba na muongozo wa Chadema ina maana aliingia Chadema bila kusoma katiba na kujua Chadema wanasimamia nini?
unaweza kuingia dini ya ukristu/uislam bila kujua dini hizo zinasimamia nini? wenzetu wa ulaya hufanya utafiti kwanza wa sera na katiba za chama kabla ya kujiunga nacho.
 
njaa za viongozi wetu wala hatutashangaa sana
ni kweli amejiunga na chama kabla ya kusoma katiba na sera za chama na soon baada ya kujiunga kapitisha bakuli la njaa. Inatia aibu sana.
 
Lwakatare kashindwa kusema na njaa yake. Kazi ya wito na mshahara wa 300,000 havikumtosha anatafuta short cut ataangukia pua na huko vile vile
 
Kwa hiyo wewe ndio Mchukia ufisadi = Lwekatare.
sababu anayejadiliwa Lwekatare wewe unajibu tena unaongea hadi kihaya.
kwani maoni yako huko juu ulisema kuwa wana CUF wameambiwa waje kwa wengi kujiunga JF na ukatoa mfano wa ukoko. kwa vile ulisema kwa ujumla ndio nikakujibu.ila ujue kuwa mimi member hapa toka 2007 kabla ya wewe kuja kujiunga 2008 mwishoni.
nina michango mingi zaidi ya 400.wewe una posts 99 tu tena asilimia 70 za Lwekatare.hivyo nazidi kuamini wewe=Mchukia Ufisadi ambaye ndiye Lwekatare.

Omutwale
user_online.gif

Omutwale is a Strategist Edit
JF Premium Member
Join Date: Mon Feb 2008
Posts: 202
Thanks: 100
Thanked 205 Times in 74 Posts
Rep Power: 22
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif

Credits: 2,221,746,775
 
Back
Top Bottom