Waungwana kwanza niwaulize na kuwakumbusha vipi CUF iko Imara kwani sio chama cha Mrema kile we go by the book .
Nitawarudisha nyuma kwenye historia.
CUF haitetereki kwa wanasiasa wenye tamaa ya kuhongwa ukiwa na njaa ya vyeo tuna ku dump na kukutizama msimamo wako.
Rudi Kwenye Historia ukileta mchezo utaekwa Pembeni hata ukawa na cheo gani.
Tulianza na Founder chairman, James Mapalala , alibebwa juu kwa juu na wananchi kuanzia Sikonge Tabora mpaka PEmba na alipoanza kurubuniwa na CCM aliwekwa Pembeni.
Nyaruba na kundi lao waliojaribu kuigawa CUF ionekane CUF ya Bara na Visiwani waliekwa Pembeni.
Naweza kuwatajia majina mengi ya waliotamba ndani ya CUF na walipotaka kuleta ufisadi waliekwa Pembeni.
Hiza Tambwe amemaliza kisiasa amebaki kutumiliwa na CCM
Shaib Akwilombe yuko wapi amebaki kutumiliwa na Chadema
Lwakatare alikua ndio Msemaji na powerful figure kwa Upande wa Bara ila alipo onesha udhaifu wake aliwekwa kwenye duara na alijistukia na ndio akatafuta njia ya Kukimbilia.
Wako Wengi ambao wataekwa Pembeni pindi wakileta usalitu wanasema wana ngangari hawarudi nyuma bali kusonga mbele.
CUF HAKUNA BIASHARA YA UFISADI CUF HAINUNUI WANASIASA.
Nitawakumbusha wana jamii si Munamkumbuka Masumbuko Lamwai na DR Amani Kaborou wa Kigoma si wamebaki Historia tu Mpinzani wa Kweli hagombei vyeo bali anagombea demokrasia ya kweli ukiwa na njaa ya vyeo au njaa ya Pesa ukitaka Ufisadi nenda CCM utapokewa kwa mikono miwili.
Nitawarudisha nyuma kwenye historia.
CUF haitetereki kwa wanasiasa wenye tamaa ya kuhongwa ukiwa na njaa ya vyeo tuna ku dump na kukutizama msimamo wako.
Rudi Kwenye Historia ukileta mchezo utaekwa Pembeni hata ukawa na cheo gani.
Tulianza na Founder chairman, James Mapalala , alibebwa juu kwa juu na wananchi kuanzia Sikonge Tabora mpaka PEmba na alipoanza kurubuniwa na CCM aliwekwa Pembeni.
Nyaruba na kundi lao waliojaribu kuigawa CUF ionekane CUF ya Bara na Visiwani waliekwa Pembeni.
Naweza kuwatajia majina mengi ya waliotamba ndani ya CUF na walipotaka kuleta ufisadi waliekwa Pembeni.
Hiza Tambwe amemaliza kisiasa amebaki kutumiliwa na CCM
Shaib Akwilombe yuko wapi amebaki kutumiliwa na Chadema
Lwakatare alikua ndio Msemaji na powerful figure kwa Upande wa Bara ila alipo onesha udhaifu wake aliwekwa kwenye duara na alijistukia na ndio akatafuta njia ya Kukimbilia.
Wako Wengi ambao wataekwa Pembeni pindi wakileta usalitu wanasema wana ngangari hawarudi nyuma bali kusonga mbele.
CUF HAKUNA BIASHARA YA UFISADI CUF HAINUNUI WANASIASA.
Nitawakumbusha wana jamii si Munamkumbuka Masumbuko Lamwai na DR Amani Kaborou wa Kigoma si wamebaki Historia tu Mpinzani wa Kweli hagombei vyeo bali anagombea demokrasia ya kweli ukiwa na njaa ya vyeo au njaa ya Pesa ukitaka Ufisadi nenda CCM utapokewa kwa mikono miwili.