Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,122
- 52,864
Una utajiri gani Kwanza?
Umeandika nonsense tupu hafu kukosa buku sio dhambi kabisa, so usinimalizie hasira KWA listori lenu kudoda huko telegram Hadi mumerudi huku. Mimi Niko JF na sikutaka kwenda huko kusudi. Mlifikiria story ilipopata views laki Moja JF ni sawa na telegram muwe mnatumia akili siku nyingine JF ni platform kubwa ya kufikia wengi. Bakini na likitabu lenu na litawadodea mpaka mshangaeSio kila kitu kinafaa kila mtu, deal na unavyovimudi. Hivyo unavyoviona ni nondo kuna wengine wanaviona ni upuuzi mtupu.
Vipo vitu vingi vimefanyika huko mtaani na chanzo chake ni hapa JF, so kusema huwezi kwenda telegram kwasababu wewe umejiunga na jf tu huo ni uzwazwa.
Anyway najua ile story uliipenda sana na ungetamani uendelee kuisoma ila kwa vile una maisha magumu kiasi kwamba umekosa sh 1000 ya kujiunga telegram naomba tu nikupe pole na nikushauri uongeza juhudi katika kudanga ili upate hela kwasababu hamna namna unaweza kupata hela tofauti na kujidangisha
Huenda kilikuwepo kabla...Ntakinunua, ila jamaa pia alipewa ban nafikiri kaja na id nyingine..
Pia kajitahidi kuchapisha kitabu fasta, hongera zake
Sorry, kuchapisha kitabu ni gharama kiasi mkuu?Huenda kilikuwepo kabla...
Lilikuwa latafutwa soko tu
Mimi sikuiona story yake ila Kama ilikua interesting watafute wanaonunua script kwa ajili ya movie huko Marekani 😘😘😘
Inategemeana na idadi ya copy na mchapishaji unayemtumia.Sorry, kuchapisha kitabu ni gharama kiasi mkuu?
Wewe hujaelewa nilichomaanisha hayo ya matangazo najua Sana tu hilo, what I meant ni kila mtu anayeanzisha mada aanze kulipwa au kuchangiwa hela, maana since I started using this forum ndo naona mtu akiandika alipwe si aende kuna site kubwa zinajulikana na watu wanaandika Ili kupata Access unanunua, sasa kila ntu akisema alipwe itakuwaje?Usidhani wanakufanyia hisani, uwepo wako na content zao kunawafanya wapate matangazo yani wanatengeneza pesa indirect. Ni sawa ufikirie wale wanaoweka video youtube wanakufanyia hisani, wale nao wanatengeneza pesa indirect kwa adsense na in video promotion. Sasa waandika hizo story wakitaka kutengeneza pesa wafanyeje?
That was poor strategy to me na sio personal matter, na hyo story niliikuta katikati kabisa karibia mwishoni, and by the way kwanini wasiwe wanapeleka huko telegram Moja KWA Moja kuliko kuanza mwanzo then you change. Maana to me hyo story ya kupotezea mda na sio serious matter ka story za siasani au intelligence hukoMarketing strategies, ndo maana hata movie unaoneshwa trailers. Au tips kadhaa.
Mimi naona kama mmechukulia issue very personal.
[emoji23][emoji23][emoji23]kunywa maji umejipangia mwenyeweWe nani hapa jf hadi utupangie Cha kufanya
Expectations zake unazijua wewe?
Hahaaa njaa Hadi wanaokosa bundleUnjaa Sana we demu
That's was my opinion as yours so relax, and I'm not blaming anyoneSiyo lazima, bali ubaki kuwa uamuzi wa mtu kutoa chote bure au kutoa kiasi. Asilaumiwe mtu kwa kutaka wanaotaka kuendelea kusoma walipie maana huenda anakula kwa kalamu yake, ni mwendo wa kukamata fursa.
Sianzishi hata kidogo Mimi wakujibu tu.Nawewe anzisha ya kwako
We acha ubaradhuri mtu atumie mda wake kuandika alafu wewe uanze kutangaza una soft copy utafikiri hicho kisa ni chako. Hiyo soft copy umeiba Telegram.Nina soft copy tuwasiliane
Basi wawe wanalipia tangazo na Kodi maana humu JF most story nyingi huishia humu mbona kitoabu story yake was very interest and majority tulijua mengi tofauti na uchawi very common, na sio kila Jambo utafanya Ili likutoe umaskini mengine ni kuelimishana tu, knowing na nature and culture yetu people don't read books so hatuhitaji kila Jambo liwe hela tu na kupeleka story huko kulipoteza mvuto kabisaWatu wengi wemekuwa wanaitumia hii platform kwa marketing, na binafsi nilisha jitune kwamba story za humu hasa hadithi za utunzi zinaishia mahali fulani then tunaambiwa kuendelea nunua kitabu au lipia WhatsApp group.
Hii ya huyu jamaa inaweza kuwa inatuumiza kwa sababu ilikuwa tamu na ilivuta sana hisia zetu, mimi nilishajiandaa muda tu kwamba itakatishwa, kuna muda nilipost comment ya joke kwamba itakatishwa, nilitumiwa dongo moja la ukweli nikawa mpole. Baada ya muda ikasimama.
Utapigwa shipa la kimkakati we endelea tuu na ujinga wako[emoji23][emoji23][emoji23]Nina soft copy tuwasiliane
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si kitangazwee huko huko telegram mlikokimbilia??? Mkatukimbia sis masikini sasa mnakuja tena kutupigia mayowee[emoji38][emoji38][emoji38]
Vaeni barakola mana hatujui huko mjin telegram kupoje??