Lwanda Magere na Utajiri wa Giza

Lwanda Magere na Utajiri wa Giza

Mimi sikuiona story yake ila Kama ilikua interesting watafute wanaonunua script kwa ajili ya movie huko Marekani 😘😘😘
 
Humu ndani sidhani Kama Kuna wanunuzi wengi wanapenda soft copies
 
Si kitangazwee huko huko telegram mlikokimbilia??? Mkatukimbia sis masikini sasa mnakuja tena kutupigia mayowee😆😆😆

Vaeni barakola mana hatujui huko mjin telegram kupoje??
Yaani sh 1000 ndio inakufanya upayuke hivi! Hata kama hali ni ngumu, this is too much aise.
Hatuna wivu, Ila alitu disappoint wengi kaja kujitaftia umaarufu Ili apige story si angesema tu mwanzo wa story. Dah Mimi hata ukinipa bure sisomi hicho kitabu mzuka ulishakata kabisa
 
Yani story hii ni elfu 5 tu??!!!
Mimi hata ingekua elfu 20 ningechukua tu maana sio kwa hizo shipa za kimkakati.
 
Ntakinunua, ila jamaa pia alipewa ban nafikiri kaja na id nyingine..
Pia kajitahidi kuchapisha kitabu fasta, hongera zake
 
Si kitangazwee huko huko telegram mlikokimbilia??? Mkatukimbia sis masikini sasa mnakuja tena kutupigia mayowee😆😆😆

Vaeni barakola mana hatujui huko mjin telegram kupoje??
Sijui kwanini watanzania tunapenda sana vitu vya bure yani hatupendi wenzetu wapigee hatua hata moja katika maisha yao. Mtu unamaindi hata story ya mtu akiamua kuigeuza fursa roho inakuuma kama vile mlishirikiana katika hiyo story.
 
Yes ukweli usemwe! Awali alitudharau but right now anaona tuna umhimu, si vzr kuwadisiapointi watu alafu urudi tena bila kuomba radhi ukihitaj kampani yao. Binafs siwez ata kukipigia chapoo kwa marafk zangu wapenda kusoma vitabu ambao hawapo jf[emoji57], yes bora ikae hivo[emoji850]
Bora angeendeleza story hapa hapa hafu askip some parts za story aziweke kwenye kitabu yeye kuona story inafatiliwa na wengi akaota mapembe hata huko telegram haja meet expectations zake
 
Yaani sh 1000 ndio inakufanya upayuke hivi! Hata kama hali ni ngumu, this is too much aise.
Hata 200 ni kubwa what is the essence of JF, maana Mimi nimejiunga JF na sio telegram, pia JF Kuna watu wa nondo ambazo zinasaidia kujenga nchi na hawatozi watu hela, so acheni kutetea huo ujinga wa telegram
 
Sijui kwanini watanzania tunapenda sana vitu vya bure yani hatupendi wenzetu wapigee hatua hata moja katika maisha yao. Mtu unamaindi hata story ya mtu akiamua kuigeuza fursa roho inakuuma kama vile mlishirikiana katika hiyo story.
Kwahyo na wewe kutumia JF unataka utozwe hela
 
Hata 200 ni kubwa what is the essence of JF, maana Mimi nimejiunga JF na sio telegram, pia JF Kuna watu wa nondo ambazo zinasaidia kujenga nchi na hawatozi watu hela, so acheni kutetea huo ujinga wa telegram
Huwa naheshimu mawazo yako ila nimegundua kitu kimoja kutoka kwako una dharau, chuki na wivu uliopitiliza kiwango wewe mpare, ndio maana hadi sasa ndoa unaitafuta kwa tochi unaishiwa kuchezewa na kuachwa hakuna mwanamme timamu ataoa mwanamke mwenye mdomo mchafu kama huu wako.
 
Huwa naheshimu mawazo yako ila nimegundua kitu kimoja kutoka kwako una dharau sana wewe mpare, ndio maana hadi sasa ndoa unaitafuta kwa tochi unaishiwa kuchezewa na kuachwa hakuna mwanamme timamu ataoa mwanamke mwenye mdomo mchafu kama huu wako.
[emoji23][emoji23][emoji23]hasira za nini acha upumbavu wewe ndoa labda mamako ndo atafte, leo nimekuwa mpare humu, Jana nilikuwa msukuma tena, leo natafta ndoa, mwaka Jana nilikuwa single mother leo mpare. Tafta hela umaskini mubaya Sana, ukiwa na hela stress zitakuisha.
Hafu Mimi staki mtu anione wa Mana humu.
 
naamini siyo jina lake halisi hilo kama sikosei lwanda magere ni shuja wa kenya kama mkwawa aliyepigana na wakoloni,hata khaligraph jones ana nyimbo inaitwa hivyo
 
Mimi na wewe ni nani ana stress ya maisha? Punguza chuki kwa watu usiowajua kulikuwa na umuhimu gani wewe kuanza kumchafua kijana ambaye amekuja kutangaza kitabu chake humu ndani? Ningekuona wa maana sana kama ungepita kimya pasipo kutia neno sasa maneno yako ya chuki yatakusaidia nini, punguza uchawi na sura yangu ngumu hiyo kama ya kiume.
Siwezi kupita kimya nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko, alipeleka story telegram kaona imebuma kaleta humu, imagine kila anayeanzisha Uzi atakwe kulipwa humu, au ambembelezwe story, yakimshinda arudi hyo waona sawa.
Tena ingetakiwa alipie tangazo lake, Kuna wengi wameanzisha story na hawakufanya alichofanya, unafikiria member humu hatuna shida.
Mimi Sina chuki husema ukweli plain mshanitukana wee wengine wamechoka wamelala sasa hivi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom