Ni TANGANYIKA. Mwaka 1961 tarehe 9 desemba nchi inayoitwa TANGANYIKA iliyopo Afrika Mashariki ilipata Uhuru wake toka kwa Mwinglishi. Hakuna cha Tanzania wala Tanzania Bara hapa, tena hiyo nchi inayoitwa Tanzania Bara mbona kwenye ramani haipo?Hilo ni swali critical ndugu.
Hata wewe ukiulizwa nina uhakika hautakuwa na jibu la uhakika.
Hivi ni uhuru wa Tanganyika au Tanzania?