Lwakatare Hajawahi Kusimamia Ndoa Yangu

Lwakatare Hajawahi Kusimamia Ndoa Yangu

Mr. Rocky,
Leo ndo umeona hili tatizo? mbona uongo kuwa ndiye alisimamia ndoa ulipokuwa ukisemwa humu haukutoa angalizo hili?
Wapi walisema?

Huyo mke upo bar mpaka sasa?

Kama nzuri nataka nechepuke nae.

Mambo ya familia unayaleta JF.

Uchangiwe usichangiwe hapa JF inayisaidia nini?

Nipe namba ya huo mchepuko
 
Wanajamvi msaada tafadhari,mbona vijana wakimesapu cdm wanakuwa kama wamechanganyikiwa ie.Shonza ,Mtera,Nyakarungu,Kisandu,etc Now Ludovick?
 
Ujinga busara... na sumu ni sumu tu, iwe kwa mtu, paka, nyoka au hata mbwa

Ngiri na nguruwe pia lao ni moja, hawana tofauti kati ya nyani na tumbiri....

Lengo la mleta mada ni kuibua mtikisiko mwingine kwani ndio kazi yake
 
Ili kuweka kumbukumbu sawa na kusahihisha upotoshaji na uongo wa wapuuzi wanaodanganya watu kuwa huyu ndugu ndiye alifadhili harusi na ndoa yangu.
Kama kumbukumbu za kupokea elfu hamsini kwa M pesa zisivyofutika, kumbe umekuwa very cheap tangu unaoa du single walilipa ngapi?
 
View attachment 187933

Wakuu,

Kumekuwa na madai ya uongo na kupotosha hapa kwa muda mrefu hapa kuwa Lwakatare ndiye alisimamia ndoa yangu. madai haya yalitolewa kwa mara ya kwanza na Tundu Lissu hadharani na tangu hapo mashabiki wa chama chetu cha CHADEMA wameendelea kuamini kuwa ni kweli Lwakatare alikuwa msimamizi wa ndoa yangu.

Napenda leo kusema rasmi kuwa ndugu Lwakatare hajawahi kuwa msimamizi wa ndoa yangu kwa maana ya patron (best man) wala kwa maana ya kuwa mfadhili mkuu. aliyesimamia ndoa yangu ni kijana mwenzangu anaitwa Prosper Mberwa (pichani kulia kwangu, na mke wake Savera (pichani kushoto kwa mke wangu). hawa wengine waliosimama nasi ni ndugu zetu wanafamilia wa pande zote mbili.

Nalizimika kusema kuwa Lwakatare alichangia harusi yangu kama wengine na alichangia SH. ELFU 30. namshukuru kama wote walionichangia.Picha hii ni authentic,ilipigwa Morogoro Hotel, jioni ya siku ya ndoa yangu tarehe 28 july,2012.

sasa wanaosema Lwakatare ndiye aliyesimamia ndoa yangu wanapotosha umma kwa sababu gani? uongo huu wa nini? maana siyo vizuri watu wanaoaminika na jamii kudanganya. "you can fool some people all the time, and you can fool all the people for some time, but you can not fool all the people all the times". sasa baadhi anzeni kuona kuwa watu hawa mnaowaamini sana wakati mwingine hudanganya.

Hivi ni Harusi au Ndoa?
 
View attachment 187933

Wakuu,

Kumekuwa na madai ya uongo na kupotosha hapa kwa muda mrefu hapa kuwa Lwakatare ndiye alisimamia ndoa yangu. madai haya yalitolewa kwa mara ya kwanza na Tundu Lissu hadharani na tangu hapo mashabiki wa chama chetu cha CHADEMA wameendelea kuamini kuwa ni kweli Lwakatare alikuwa msimamizi wa ndoa yangu.

Napenda leo kusema rasmi kuwa ndugu Lwakatare hajawahi kuwa msimamizi wa ndoa yangu kwa maana ya patron (best man) wala kwa maana ya kuwa mfadhili mkuu. aliyesimamia ndoa yangu ni kijana mwenzangu anaitwa Prosper Mberwa (pichani kulia kwangu, na mke wake Savera (pichani kushoto kwa mke wangu). hawa wengine waliosimama nasi ni ndugu zetu wanafamilia wa pande zote mbili.

Nalizimika kusema kuwa Lwakatare alichangia harusi yangu kama wengine na alichangia SH. ELFU 30. namshukuru kama wote walionichangia.Picha hii ni authentic,ilipigwa Morogoro Hotel, jioni ya siku ya ndoa yangu tarehe 28 july,2012.

sasa wanaosema Lwakatare ndiye aliyesimamia ndoa yangu wanapotosha umma kwa sababu gani? uongo huu wa nini? maana siyo vizuri watu wanaoaminika na jamii kudanganya. "you can fool some people all the time, and you can fool all the people for some time, but you can not fool all the people all the times". sasa baadhi anzeni kuona kuwa watu hawa mnaowaamini sana wakati mwingine hudanganya.

tupe
link ya hapo waliposema ivo.
 
So what rubish. Take to the rubish pit. Huna hadhi ya kusimamiwa ndoa na Lwakatare. Tena hata huo mchango wa elfu thelathini bora angechambia chooni. Hujaachana na CDM tuuu wewe na genge lako? Tangu lini uwe mwanachama mwaminifu kwa CDM?? Bahati nzuri ulichotumwa CDM hukufanikiwa hata tuhuma za ughaidi uligonga mwamba. Jipange upya.
 
Ohhhhhh. Mkuu Pasco ushauri ulioutoa muda mfupi uliopita kwa huyu bwana ulikuwa na Mashiko sana ila naona kwasababu anazozijua yeye mwenyewe ameamua kuupuza

Naam amepuuza, na Anaendelea kutuonyesha how he is not normal in his Situation yeah Amechanganyikiwa...!!!

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
View attachment 187933

Wakuu,

Kumekuwa na madai ya uongo na kupotosha hapa kwa muda mrefu hapa kuwa Lwakatare ndiye alisimamia ndoa yangu. madai haya yalitolewa kwa mara ya kwanza na Tundu Lissu hadharani na tangu hapo mashabiki wa chama chetu cha CHADEMA wameendelea kuamini kuwa ni kweli Lwakatare alikuwa msimamizi wa ndoa yangu.

Napenda leo kusema rasmi kuwa ndugu Lwakatare hajawahi kuwa msimamizi wa ndoa yangu kwa maana ya patron (best man) wala kwa maana ya kuwa mfadhili mkuu. aliyesimamia ndoa yangu ni kijana mwenzangu anaitwa Prosper Mberwa (pichani kulia kwangu, na mke wake Savera (pichani kushoto kwa mke wangu). hawa wengine waliosimama nasi ni ndugu zetu wanafamilia wa pande zote mbili.

Nalizimika kusema kuwa Lwakatare alichangia harusi yangu kama wengine na alichangia SH. ELFU 30. namshukuru kama wote walionichangia.Picha hii ni authentic,ilipigwa Morogoro Hotel, jioni ya siku ya ndoa yangu tarehe 28 july,2012.

sasa wanaosema Lwakatare ndiye aliyesimamia ndoa yangu wanapotosha umma kwa sababu gani? uongo huu wa nini? maana siyo vizuri watu wanaoaminika na jamii kudanganya. "you can fool some people all the time, and you can fool all the people for some time, but you can not fool all the people all the times". sasa baadhi anzeni kuona kuwa watu hawa mnaowaamini sana wakati mwingine hudanganya.

Naomba unijibu yafuatayo Ludovik:
Hii habari ilikuwa hewani tangu ulipokamatwa na Lwakatare.je iweje muda wote upo kimya hadi leo?

Je kwanini move yako ulipeleka kwa Nchemba badala ya vyombo vya usalama?

Je kuna ugomvi wowote kati yako na Lwakatare?kama jibu ni hapana ilikuwaje ukakubali tangia ishu ya ile move kuwa mhusika wa kumrekodi Lwakatare?

Je kwanini kama ulikuwa na nia njema hili suala ulipeleka ccm kbla ya kuwaambia viongozi wakuu wa chadema?
 
Tukuamini vp kwamba sio kweli wakati unasema picha ni ya wanandugu? ok kama sio lwaka alisimamia ndoa yako je ni jambo gani lilifanya uchelewe kukanusha? Hebu post picha ukiwa hightable ili tuone ni nani alikuwepo? Then tuonyeahe reception! Thereafer tupia kanisani au kwakuwa ulikuwa hali ya chini picha ulopiga ni moja tu?
 
Wapi walisema?

Huyo mke upo bar mpaka sasa?

Kama nzuri nataka nechepuke nae.

Mambo ya familia unayaleta JF.

Uchangiwe usichangiwe hapa JF inayisaidia nini?

Nipe namba ya huo mchepuko


Acha ujinga kima wewe
 
Back
Top Bottom