FOR 2015
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 538
- 221
Wengi wetu tuliamini haya kufanyika though tulikuwa na mashaka kutokana na Serikali ya CCM kuoeteza Credits kabisa katika misingi ya Sheria. Pamoja na kwamba kosa hilo lina Dhamana bado tunaendelea kujiuliza kamteka nani, kwa nini, lini, kapanga nani? Tujuze pia kuhusu Ndugu yetu Ludovick Joseph (Traitor) yeye imekuwaje.
Pongezi nyingi sana kwa jopo la mawakili hawa wa CHADEMA,,,,kweli CHADEMA sasa ni taasisi iliyokamaa na inaweza kuaminiwa na Wananchi 2015. LONG LIVE CHADEMA, LONG LIVE LWAKATARE.
Ta Muganyizi sasa naona Swahiba wako Kagasheki atakufa kwa Pressure,,huku kabanwa na Meya Amani huku Rwakatale, kule Msigwa na meno ya Tembo na Loliondo,,,,mmmmh namhurumia
Pongezi nyingi sana kwa jopo la mawakili hawa wa CHADEMA,,,,kweli CHADEMA sasa ni taasisi iliyokamaa na inaweza kuaminiwa na Wananchi 2015. LONG LIVE CHADEMA, LONG LIVE LWAKATARE.
Ta Muganyizi sasa naona Swahiba wako Kagasheki atakufa kwa Pressure,,huku kabanwa na Meya Amani huku Rwakatale, kule Msigwa na meno ya Tembo na Loliondo,,,,mmmmh namhurumia