Luxury Cars stolen from UK: SFO in action

..kuna wakati Mponjoli alikuja kumlilia shida zake ila Mzee huyu alimpa mgongo,

Hiyo statement in red ina utata Leo, inaweza kuwa misunderstood! Otherwise-your story is really interesting, ndio maana nasema watu wengi walioingia kwenye wizi, umalaya na uuzaji/utumiaji wa madawa ya kulevya hawakupenda kuwa hivyo, tusiwa judge watu hapa bila kujua individual circumstances zao.
 
Hapo ndipo panaponifanya kila mikilala naota JF nikiamka JF
SHUSHENI DATA ZAKE TUNAWEZA PATA NJIA YA UMTETEA..HATA POLICE UNARUHUSIWA KUKUBALI KOSA MAHAKAMANI UNAKATAA ......
 
Acheni kumzungumzia mtu anakesi mahakamani..au ndo mnamchoma kiaina?? ili asitoke????
Hasa nyie mnaojofanya kumjua...msitoe wivu wenu humu!!!
 
Ni nani basi auelekeze mjadala katika suala la wizi,hususan wa magari na ununuzi wa magari hayo katika nchi zinazoendelea.Hofu yangu ule mzani wa kupima viwango vya akili za watu usije ukatuweka wanaJF katika daraja la simple minds kwa kuendekeza a discussion on people badala ya ideas na Ideals.
 
WEWE KWELI UNAMFAHAMU MPONJOLI, NIMEKUBALI
Mponjoli Asobenye Malakasuka ni mtoto mwenye mafanikio sana kutoka katika familia ya watoto wapatao 30 wa familia ya mzee Asobenye Malakasuka.

Mzee Asobenye Malakasuka ni tajiri aliyefilisika na mmiliki wa kampuni iliyokufa ya Ghana Building Contractors ya Mbeya. Katika miaka ya 1990 - 1995 kampuni hii ilikuwa ni moja ya kampuni machachari sana ya ujenzi katika nchi ya Tanzania. Na Mzee Asobenye alipata tenda nyingi sana kutoka serikalini na alikuwa kwa kweli ni moja ya matajiri wakubwa sana Tanzania.

Alipata ajali mbaya sana ya gari ambayo mpaka leo imemuacha kiziwi kabisa na hawezi kusikia hata kidogo. Mzee huyu kwa sasa ni masikini wa kutupa na anaishi na mke wake wa tano hapo Victoria House Plot Number 36, Ali Hassan Mwinyi Road, Mwananyamala. Anaishi katika nyumba ya chumba kimoja na familia ya watu wapatao 5 na mtoto wake wa mwisho anaitwa Gwabosa ambaye ana umri wa miaka ipatayo 16, na katoto hako ni MALAYA hatari.

Sababu kubwa ya Mzee Malakasuka kuishi maisha haya ni ukweli kuwa huyu Mzee ni kiwembe sana kwa wanawake na katika kipindi chote cha utajiri wake aliwekeza sana kwa wanawake na hata kuna wakati Mponjoli alikuja kumlilia shida zake ila Mzee huyu alimpa mgongo, sasa nadhani ilimuudhi sana mwanae huyu. Ila kwa habari nilizo nazo last time nimekutana na Mponjoli Bongo around August 15-25 alikuwa na mawasiliano na Baba yake na akienda Bongo kwa kweli Baba yake alikuwa anapata mshiko wa kufa mtu. Ila mwanamke anayeishi nae sasa kabinti hako ka miaka kama 35 hivi ndo anayefanya watoto wa Mzee huyu kumsusa Baba yao kwani kila wanachompa Mama huyu anachukua na kufanyia mambo yake.

Mzee Malakasuka ana kama miaka 70 au 75 kwa sasa. Mtoto wake wa kwanza Frank huyo ambaye mnamsema hapo juu kuwa alikuwa kiwembe, YES ni Marehemu kwa sasa na lile gonjwa la kisasa. Tulimzika mwaka 2003 kama sijakosea na dada yake mwingine pia tulimzika. Nadhani Familia ya Frank yote ni marehemu kwa sasa. Kaka yake mwingine anaitwa Hebron Malakasuka nae nadhani karibia tutamzika, huyu alikuwa anaishi Uingereza sasa yuko Bongo na mke wake ambaye nakumbuka miaka ambayo mumewe alikuwa UK nilishakutana nae akitoka Guest House fulani hivi na mbaba mwingine. Of course wote ni waadhirika so kwa sasa nadhani wameamua tu kuishi kwa matumaini.

Mponjoli amekuwa ndiye mtoto pekee wa Asobenye Malakasuka ambaye aliibukia kuwa na hela nyingi tu na kufanya mambo mazuri. Amemjengea Mama yake nyumba nzuri sana huko Mbezi beach na kumuanzishia biashara mbalimbali. Ila kikwazo kikubwa ni mdogo wa Mponjoli anayependa raha bila kufanya kazi anaitwa NIco Asobenye Malakasuka. Huyo bwana yeye bia na bia yeye. Huyo ndiye aliyemfanya Mponjoli kurudi Bongo na kuuza magari yote ya biashara na kufunga miradi yake yote Bongo. Ila Mama yake na Mponjoli hana shida naishi maisha safi na mara nyingi amekuwa akimpelekea Mzee Malakasuka hela ya kula na kumsaidia hapa na pale.

Mponjoli ni shujaa wa familia ya Mzee Asobenye, wewe unadhani kuwa na ndugu zaidi ya 25 hao ni wa kuzaliwa nao je wajomba na shangazi na wengineo? Kijana huyu amekuwa akiwasomesha wote na kuwapa hela ya kula na kuishi hapo Tanzania. Mazingira ndiyo yaliyomfanya kijana huyu akawa kama alivyo. Mponjoli asilaumiwe hata kidogo. Ahurumiwe kwa mzigo aliokuwa nao Tanzania.

Hayo mengine ni mambo ya kibiinadamu na kila mtu ana udhaifu wake. Kama aliuwa malaya basi ni sababu katika yeye kuna Genes za Mzee Malakasuka. Nitasema mengi zaidi kuhusu Mponjoli binafsi wakati mwingine ila hiyo ni INTRODUCTION.

London Mponjoli ana dada yake anaitwa Feda nadhani na dada yake mmoja kajaa jaa sana huyo yeye ni kama gangstar fulani anaitwa Eddy. Nadhani watamkumbuka kaka yao na kumpiga tafu.

Huyo Feda alishaiibiaga Bank ya NBC na kutorokea UK, so si mbaya ukaona hawa ndiyo staili yao hiyo.




Kwa kweli kijana una data na unamfahamu mponjoli na familia yake vizuri, nimekunyooosheamikono.
 
Fair point Waridi!
Hili ni suala lililopo mahakamani kwa sasa,some of the things that have been said here are really obnoxious, Mponjoli is being judged here purely for his past but lets not all forget that he deserves to stand a fair trial and he is up to now- innocent(regardless of his past) until proven guilty.Hatumfahamu kila mtu anayesoma tunayoandika hapa, sasa tusije tuka prejudice hukumu atakayopewa Mtanzania mwenzetu huku ughaibuni.
 
jamaa mwizi, kwangu mimi hiyo ndio bottomline!! kwahiyo unataka kusema nini juu ya wale vibaka pale dizim?? nao pia wanashida.....so what?!!

Sidhani kama una ushahidi wa kutosha hadi kum label kuwa ni 'mwizi' zaidi ya haya uliyoyasoma hapa. Sijui utaificha wapi sura yako kama huyu jamaa atashinda hii kesi.Hata vibaka wa bongo- hujiingiza kwenye matendo hayo kutokana na ugumu wa maisha tu.
 
JF kwa data nimeinyoshea mikono. Hapa UK wanaoishi kwa deals mbalimbali nafikiri wapo wengi.

Tatizo la mambo ya uhalifu ni kwamba kuna siku 40 zitafika tu. Pia kutoakana na tamaa, huwa hawaachi haraka.
 
YNM,
Kwako hii issue naona ni personal ndio maana una furaha jamaa kudakwa. Kama nilivyosema- mimi simfahamu huyu jamaa,nimemjulia hapa. I kind of sympathise with him and his family kwa kuwa kwa story zilizopo hapa utaona kwamba yeye ndio kichwa kwenye familia yao,jamani tusichekelee wenzetu wakipatwa na matatizo.
 
Huyo jamaa simjui, ila namjua baba yake kwa mbali. And won't talk mambo personal; ngoja nitoe hisia zangu katika hili jinsi nionavyo mimi:

Wizi wa magari...si-ushabikii hata kidogo, watu wanatekwa kwa gun point kwenye traffic lights na kuachia funguo.. na sehemu nyingine wanauawa na magari yao ya kifahari waliyotumikia (au wanayotumikia -yale ya mikopo) yanachukuliwa hivi hivi, (omba asiwe ndugu yako mwenye mafanikio).

Wezi wa magari (vibosile) wanawapambe wao ambao huwapatia silaha kisha kuwaweka hao wapambe(wengi wao ma-teens) rehani , hivyo vijana hao hawawezi kuondoka kwenye circle za wizi maana siri zao zinajulikana (hasa za makosa ya kuua). Ni mithili ya circles katika u-pimp. But hii ni high crime.

Kingine ambacho nitakipinga hapa ni outlet za hayo magari baada ya kuibiwa. Wapi yanaenda?... tuseme yanaletwa Tz, nani anayenunua? Jibu mnalo... magari yanaibiwa huko Ulaya kisha yanakuja kuuzwa Bongo kwa wezi wa kodi za wananchi. Yaani kila kitu kinakuwa haramu; from source to sink. While in transit magari hayo yanakiuka customs zote ili kufika hapa bila kugunduliwa.

Kingine ambacho nataka kusema hapa kitaonesha msimamo ulio double-standard. Nacho ni kuwa, pamoja na kuwa wizi haukubaliki, lakini pia mnamwongelea huyo mtu kama kuwa alikuwa mjanja sana; basi mawazo yangu mimi hapa ni kuwa; ningesupport wizi huo kama tu angelikuwa anaenda huko ulaya na kuiba vitu kama: copyrights na michoro ya mitambo, machine, majengo, madaraja, jinsi ya kutengeneza madawa, machine za kuchambulia tanzanite, almasi n.k. Vitu ambavyo umma wa Tanzania na Africa unavihitaji na siyo ma -SL500,ma- TT, ma -lexus etc etc... yaliyojaa tamaa za kibinafsi na kilimbukeni.

Natumaini sijatukana mtu wala ku-jeopardise kesi ya mtu. Ahsanteni.

SteveD.
 
YNM,
Kwako hii issue naona ni personal ndio maana una furaha jamaa kudakwa. Kama nilivyosema- mimi simfahamu huyu jamaa,nimemjulia hapa. I kind of sympathise with him and his family kwa kuwa kwa story zilizopo hapa utaona kwamba yeye ndio kichwa kwenye familia yao,jamani tusichekelee wenzetu wakipatwa na matatizo.

Kana Ka Nsungu,

Una sympathize na mwizi? Huyu jamaa alikuwa na kazi halali tosha kabisa ya kumsaidia yeye na familia yake. Akaona hiyo haifai na badala yake kukimbilia kwenye wizi.

Inatakiwa ku sympathize na hao wanaodhurika na wizi wa wala sio mtu anaye commit crime.

Kila siku tunalalamika mambo ya mafisadi hapa, hata hao wana familia kubwa ndio maana wanaingia kwenye ufisadi.
 
Inatakiwa ku sympathize na hao wanaodhurika na wizi wa wala sio mtu anaye commit crime.
Kila siku tunalalamika mambo ya mafisadi hapa, hata hao wana familia kubwa ndio maana wanaingia kwenye ufisadi.

Mtz kumbuka kuwa mafisadi wanaibia watu maskini and they dont even use their brains wala kutokwa jasho.Hata pale 40 yao inapofika hawatupwi lupango kama Mponjoli, wanaendelea kupeta tu!
 
Kana ka Nsungu,

I hope you are not serious! Mtu ana kazi halali ya nini kujiingiza kwenye wizi? Amejitakia mwenyewe!

Kulingana na hiyo habari huyu bwana amedakwa na kushitakiwa kwa wizi, tena akiwa anaendesha gari iliyoibiwa, na nyumbani kwake vimekutwa vidhibiti, kesi April 23 inaanza.

Hili soo kajinunulia mwenyewe, watu wengi wana shida na familia kubwa tu lakini hawaibi, sasa for the sake of consistency, hizi excuses unazomtolea basi watolee na mafisadi wetu vilevile otherwise your reasoning here is as clear as mud.
 
Mtz kumbuka kuwa mafisadi wanaibia watu maskini and they dont even use their brains wala kutokwa jasho.Hata pale 40 yao inapofika hawatupwi lupango kama Mponjoli, wanaendelea kupeta tu!

Hey Kana Ka Nsungu, get serious!

Read the story properly, what we are trying to say here is the way the guy handles his life.

How can an intelligent thief drive a car knows is stolen car?

How can he keep stolen items in his house?

Read what other people have suggested the way was depoted in the US.

Yes our Mafisadis play with us, should we extend our stupidity even in other people's countries?

Please "MTOTO WA MZUNGU" come with clean hands. Do you want people to believe that you are symphatising with the boy because is your tribe mate???????????????



What I have discovered with JF is that; if you want to come to JF is like going to EQUITY; First, you should come with clean hands, secondly, JF never suffers a wrong without a remedy.


Njimba Nsalilwe na bandu bundu!
 
hapa kuna mbombo mengi na jambo kubwa inaonekana kuna watu wana chuki binafsi. Kama Dr Ponjo alikula demu wako sema acha maneno mengi. Kama una hasira kawafuatilie watu walio kula hela za BOT. Dr. Ponjo kawaibia wazungu kama wao wanavyotuibia kila siku huku kwetu Tanganyika. If u cant live the fast life, hayo ni matatizo yako.
 
NA kwa wale wanaotaka kumfananisha Dr. na vibaka wa mtaani, oneni aibu. The guy was doing big deals na sio wizi wa kijinga. Magari aliyoiba UK ni magari ya bei mbaya na yana insurance, so those people got paid. Hata dili alilopiga Dallas, alikuwa aniibia Benki na sio mtu binasfi na pia sio Benki ya TANZANIA. He does what he was to do to make his life the way he wants it to be, so if along the line Demu wako akapenda his way of living akampa mshijaki then u need to do some thing about ur life. that should tell u something
 
NA kwa wale wanaotaka kumfananisha Dr. na vibaka wa mtaani, oneni aibu. The guy was doing big deals na sio wizi wa kijinga. Magari aliyoiba UK ni magari ya bei mbaya na yana insurance, so those people got paid. Hata dili alilopiga Dallas, alikuwa aniibia Benki na sio mtu binasfi na pia sio Benki ya TANZANIA. He does what he was to do to make his life the way he wants it to be, so if along the line Demu wako akapenda his way of living akampa mshijaki then u need to do some thing about ur life. that should tell u something


Pablo, please take a breath!
 
Back
Top Bottom