Kushindwa kwa.ccm huko Arumeru kumetokana na wananchi kupiga kura za chuki dhidi ya ccm kutokana lugha ya ovyo aliyokuwa anatumia bwana Ludinde,hivyo basi ni wakati muafaka wa kumwajibisha huyu jamaa
Kushindwa kwa.ccm huko Arumeru kumetokana na wananchi kupiga kura za chuki dhidi ya ccm kutokana lugha ya ovyo aliyokuwa anatumia bwana Ludinde,hivyo basi ni wakati muafaka wa kumwajibisha huyu jamaa
Kushindwa kwa.ccm huko Arumeru kumetokana na wananchi kupiga kura za chuki dhidi ya ccm kutokana lugha ya ovyo aliyokuwa anatumia bwana Ludinde,hivyo basi ni wakati muafaka wa kumwajibisha huyu jamaa
Baada ya MB wa Mtera kuishiwa sera alianza kutoa sera za kumshagua SIOI ili kama kumpa lambilambi,kumpatia mshahara wa kuiongoza familia iliyoachwa na marehemu baba yake na pia kumfurahisha Rais KIKWETE,hakuishia hapo alianza kutoa matusi mazito kwa wapinzani wake husun chama cha CHADEMA,lkn nguvu ya umma imemfundisha kuwa hajui kusimama jukwaa na kunadi mgombea,naami jimboni kwake hakushinda ila alichakachua tu.HONGERA CDM,WATU WA ARUMERU MASHARIKI,VIONGOZI WA CDM,PIA NA MB MTEULE BW NASSARI,WITO WANGU FANYA KAZI KWA KUFUATA SHERIA BILA KUMSAHAU MUNGU.
Kwa mitusi ya huyu bwana, mm nadhani CDM iandae vijana huko Mtera jimboni kwake ili 2015, huyu bwana atoweke rasmi kwenye siasa za nchi hii, hatuwezi kuongozwa na wahuni. Kwa kinywa kichafu hivyo, atatunga sheria gani ikawa inafaa????Baada ya MB wa Mtera kuishiwa sera alianza kutoa sera za kumshagua SIOI ili kama kumpa lambilambi,kumpatia mshahara wa kuiongoza familia iliyoachwa na marehemu baba yake na pia kumfurahisha Rais KIKWETE,hakuishia hapo alianza kutoa matusi mazito kwa wapinzani wake husun chama cha CHADEMA,lkn nguvu ya umma imemfundisha kuwa hajui kusimama jukwaa na kunadi mgombea,naami jimboni kwake hakushinda ila alichakachua tu.HONGERA CDM,WATU WA ARUMERU MASHARIKI,VIONGOZI WA CDM,PIA NA MB MTEULE BW NASSARI,WITO WANGU FANYA KAZI KWA KUFUATA SHERIA BILA KUMSAHAU MUNGU.
bado wanasubiri kura za vijijini!wapi ff, rejao et al?